Ulimwengu

Iran yasema imeshinda katika vita na diplomasia baada ya Trump kuitaka ijisalimishe
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, anasema Tehran ilipambana kwa masharti yake yenyewe na kuwalazimu wale waliotaka “isalimu amri bila masharti” kufanya mazungumzo, baada ya Donald Trump kuitaka Iran “kuinua bendera nyeupe.”
Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini amewaomba viongozi wa nchi za ukanda huo siku ya Jumatatu kushirikiana katika kukabiliana na suala la wahamiaji wanaokwenda Afrika Kusini.
Rais wa Marekani anasema wanafanya mawasiliano ya moja kwa moja na kikosi cha IRGC cha Iran na kutishia Oman kuhusu hatua yake katika majadiliano, huku akitoa wito kwa Israel kusitishga mashambulizi Gaza.
Rais wa Marekani amepongeza makubaliano hayo muhimu kama hatua kubwa ya kwanza kuelekea ushirikiano mkubwa zaidi wa kikanda na ulinzi imara wa pamoja katika Mashariki ya Kati, huku akiwapongeza viongozi wa nchi hizo tatu.
Afrika

Nigeria yachunguza mauaji yaliyosababisha vifo vya watu wasiopungua 25 katika jimbo la Plateau
Plateau, lililoko katikati mwa Nigeria, limekumbwa na vurugu zinazohusishwa na migogoro ya ardhi, maeneo ya malisho na raslimali zingine.
Kamati ya Dharura ya WHO inakutana siku ya Jumanne kujadili mlipuko huo, ambao ulitangazwa kuwa dharura ya kimataifa.
Ushindi huo umemuwezesha Hichilema kuvuka kizingiti cha kikatiba cha kupata zaidi ya asilimia 50.
Bunge la Senegal limepitisha sheria inayomtaka rais, spika, na waziri mkuu kutangaza mali zao wanapoingia kwenye uongozi na wakati wanapoondoka madarakani.
Michezo

















