Ulimwengu

570af43d 439f 47f6 8807 93d4577960bb 1787048078684

Iran yasema imeshinda katika vita na diplomasia baada ya Trump kuitaka ijisalimishe

Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, anasema Tehran ilipambana kwa masharti yake yenyewe na kuwalazimu wale waliotaka “isalimu amri bila masharti” kufanya mazungumzo, baada ya Donald Trump kuitaka Iran “kuinua bendera nyeupe.”

Afrika Kusini yataka viongozi kuungana kushughulikia changamoto ya uhamiaji

Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini amewaomba viongozi wa nchi za ukanda huo siku ya Jumatatu kushirikiana katika kukabiliana na suala la wahamiaji wanaokwenda Afrika Kusini.

Trump atishia kuishambulia Oman iwapo ‘itakwamisha’ mazungumzo ya Marekani na Iran

Rais wa Marekani anasema wanafanya mawasiliano ya moja kwa moja na kikosi cha IRGC cha Iran na kutishia Oman kuhusu hatua yake katika majadiliano, huku akitoa wito kwa Israel kusitishga mashambulizi Gaza.

Trump afurahishwa na mkataba wa ulinzi wa Makkah uliosainiwa na Uturuki, Pakistan na Saudi Arabia

Rais wa Marekani amepongeza makubaliano hayo muhimu kama hatua kubwa ya kwanza kuelekea ushirikiano mkubwa zaidi wa kikanda na ulinzi imara wa pamoja katika Mashariki ya Kati, huku akiwapongeza viongozi wa nchi hizo tatu.

Afrika

79df495a 8430 44e9 b2a0 b9b1411e94bf 1787067582409

Nigeria yachunguza mauaji yaliyosababisha vifo vya watu wasiopungua 25 katika jimbo la Plateau

Plateau, lililoko katikati mwa Nigeria, limekumbwa na vurugu zinazohusishwa na migogoro ya ardhi, maeneo ya malisho na raslimali zingine.

Mlipuko wa Ebola nchini Congo unaweza kudhibitiwa ndani ya miezi mitatu: WHO

Kamati ya Dharura ya WHO inakutana siku ya Jumanne kujadili mlipuko huo, ambao ulitangazwa kuwa dharura ya kimataifa.

Hichilema ashinda Uchaguzi wa Zambia

Ushindi huo umemuwezesha Hichilema kuvuka kizingiti cha kikatiba cha kupata zaidi ya asilimia 50.

Bunge la Senegal lapitisha sheria inayomtaka rais kutangaza mali zake anapochaguliwa na anapoondoka

Bunge la Senegal limepitisha sheria inayomtaka rais, spika, na waziri mkuu kutangaza mali zao wanapoingia kwenye uongozi na wakati wanapoondoka madarakani.