Ulimwengu

Shambulio la papa limesababisha kifo cha mtu mmoja katika pwani ya Australia Magharibi
Kuna takriban mashambulizi 20 ya papa nchini Australia kila mwaka lakini ni nadra kuua kulingana na data kutoka kwa vikundi vya uhifadhi.
Utafiti huo unaonesha kuwa wastani wa dunia wa asilimia 67 ya watu wazima hawaipendi Israel, ilhali asilimia 25 iko upande wa nchi hiyo.
Mshauri wa Kiongozi Mkuu wa Iran ameonya kuwa kutakuwa na jibu kali zaidi iwapo kutazuka mzozo mpya, akihusisha usalama wa Lebanon na mazungumzo yanayoendelea katika eneo hilo pamoja na juhudi dhaifu za kudumisha usitishaji vita.
Mamlaka ya kulindawanyamapori imegundua operesheni haramu ya ufugaji wa wadudu iliyokuwa ikiendeshwa kwa ajili ya biashara ya magendo, yenye thamani inayokadiriwa kufikia Dola za Marekani 140,000.
Afrika

Janga la Ebola: Wafanyabiashara wapata hasara kubwa katika mpaka wa Uganda-DRC
Uganda ilifunga mpaka wake wa magharibi ili kuzuia kuenea kwa Ebola kutoka DRC, lakini hatua hiyo sasa inawaathiri wafanyabiashara.
Mawakili wa Omondi walidai wapelelezi walikataa kumwachilia mwanaharakati huyo kwa dhamana na kutaja mashtaka kuwa “ya kipuuzi.”
Takwimu hizo mpya zinaleta jumla ya maambukizi yaliyothibitishwa kufikia 452 tangu kuzuka kwa vifo 82 vilivyothibitishwa.
Uchaguzi huo ulikuwa hatua ya kurejea kwa utawala wa kidemokrasia baada ya mapinduzi ya mwaka 2021 katika nchi hiyo ya Afrika Magharibi.
Michezo

















