Ulimwengu

f4117150 f091 437d aa36 3901af2416e7 1786563527314

Trump: Marekani inaudhibiti Mlango Bahari wa Hormuz

Kulingana na kiongozi huyo, uwezo wa kijeshi wa Iran umedhibitiwa vya kutosha, huku wanajeshi wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran (IRGC) wakisambaratika na kukimbia.

Waziri Mkuu wa zamani wa China, Zhu Rongji afariki dunia

Zhu atakumbukwa kwa msimamo wake mkali dhidi ya ufisadi.

Mahakama Syria yamhukumu kifo Rais wa zamani Bashar al Assad

Mahakama nchini Syria imemhukumu Assad kwa kupanga mauaji, mateso, kufunga watu bila hatia na uhalifu dhidi ya ubinadamu.

Zelensky: Urusi inaanda makombora kutoka Korea Kaskazini ili itushambulie

Kwa mara kadhaa sasa, Zelensky ametadhaharisha kuhusu ushirikiano wa kijeshi kati ya Urusi na Korea Kaskazini.

Afrika

a8658bcb 7a8e 4d29 b185 195991bb2d46 1786544117235

Jeshi la Sudan latibua mashambulizi ya ndege za RSF zilizolenga Khartoum na Mto Nile

Mashambulio ya hivi karibuni ya ndege zisizo na rubani za RSF yamelenga maeneo ya kijeshi na miundombinu muhimu katika miji inayodhibitiwa na jeshi, mbali na viwanja vya mapigano katika maeneo kadhaa nchini Sudan.

Trump athibitisha kubadilisha ndege kufuatia vitisho vya Iran

Rais wa Marekani amesema walinzi wake na jeshi la Marekani walimshauri kutumia ndege nyingine kufuatia tishio linalodaiwa kutoka Iran baada ya mkutano wa kilele wa NATO.

Moto wazuka karibu na kiwanda cha kusafisha mafuta Libya baada ya mashambulizi

Mashambulizi hayo yalisababisha kukatika kwa umeme na kusababisha ukosefu wa umeme kusini mwa mji wa Zawiya.

Ajali ya kivuko yaua 95 Zimbabwe

Chombo hicho, ambacho kinatoa huduma za usafiri kati ya mji wa kaskazini wa Kariba na vijiji vya karibu, kilikumbwa na dhoruba kali, kabla ya kupinduka na kuzama ndani ya ziwa hilo.