Ulimwengu

Pentagon yasema vita vya Marekani dhidi ya Iran vimegharimu Dola bilioni 29 hadi sasa
Makadirio mapya ya Pentagon kuhusu gharama za vita vya Marekani yametangazwa huku gharama za Israel zikikadiriwa kuwa Dola bilioni 17.5 na Iran ambayo imepata hasara zinazokadiriwa kufikia Dola bilioni 270, inadai fidia katika mazungumzo na Marekani.
Waziri wa Mambo ya Nje Hakan Fidan anaonya kwamba usumbufu katika njia ya maji ya kimkakati utatishia utulivu wa kikanda na uchumi wa dunia.
Mabalozi wa Marekani Mike Huckabee na Mike Waltz wamethibitisha hadharani kuwa Israel ilipeleka mfumo wake wa ulinzi wa Iron Dome na wanajeshi UAE kusaidia nchi hiyo wakati wa vita vya Marekani na Israel
Ulimwengu umezingatia zaidi athari za kiuchumi na usumbufu wa biashara ya mafuta na gesi, lakini Umoja wa Mataifa (UN) unaonya kwamba kuzuiwa kwa njia hiyo pia kunatishia usalama wa chakula duniani, hasa barani Afrika na Asia.
Afrika

Ghana yawaondoa mamia ya raia wake Afrika Kusini kufuatia vurugu za chuki
Wizara ya mambo ya nje inasema Rais John Dramani Mahama ameidhinisha mpango huo wa kuwaondoa raia wake 300 kutoka Afrika Kusini.
Rais Bassirou Diomaye Faye amekutana na mkuu wa IMF Kristalina Georgieva pembeni mwa kongamano la nchini Kenya, na wawili hao walijadili uwezekano wa kutatua tatizo la madeni ya Senegal.
Waandamanaji waliobeba mabango ya kupinga sera za kibeberu walizuiwa kukaribia ukumbi wa Mkutano wa Africa Forward unaofanyika jijini Nairobi, Kenya.
Rais Yoweri Museveni ambae ameingia madarakani mwaka 1986, huu utakuwa ni muhula wake wa saba kuliongoza taifa hilo.
Michezo
















