Ulimwengu

2026 06 28t124250z 2062982288 rc203ma36rh9 rtrmadp 3 france crash

Ajali mbaya ya ndege nchini Ufaransa, uchunguzi waanza

Mamlaka zinasema waziri wa mambo ya ndani wa Ufaransa anatarajiwa kuzuru eneo la ajali.

Umoja wa Mataifa unakadiria karibu watu milioni 6.8 waliathiriwa na tetemeko la ardhi la Venezuela

Uchambuzi wa satelaiti umeonyesha kuwa karibu theluthi moja ya majengo katika mji wa Catia La Mar, ambao umeathirika vibaya, yameharibika, huku mashirika ya misaada yakikimbizana kutoa makazi, maji na huduma za matibabu.

Lebanon, Israel na Marekani watia saini mpango wa makubaliano ya amani

Maafisa wa Lebanon na Israel wanayasifu makubaliano hayo kama hatua ya kwanza ya kumaliza uhasama wa miongo kadhaa, huku maelezo ya mapatano hayo yakiwa bado hayajafichuliwa.

Rais Zelenskyy wa Ukraine ‘atenga’ siku 40 za kuishambulia Urusi

Hata hivyo, kiongozi huyo hakutoa taarifa zaidi kuhusu namna operesheni hiyo itakavyoendeshwa.

Afrika

2026 06 28t082029z 685464797 rc2gyw9mi609 rtrmadp 3 uganda politics

Mkuu wa jeshi la Uganda aamuru kufungwa kwa mashirika mawili ya habari na kuzingira ofisi zao

Magazeti ya Daily Monitor na NTV Uganda yanamilikiwa na Nation Media Group yenye makao yake nchini Kenya, mojawapo ya makampuni makubwa zaidi ya habari ya Afrika Mashariki.

Ufaransa inazingatia hatua baada ya Burkina Faso kuvunja uhusiano

Burkina Faso inaishutumu Ufaransa kwa kuunga mkono “mitandao ya waasi” na “magaidi”.

Kenya, Afrika Kusini zajumuishwa katika mpango wa ‘Viza unapowasili’ na UAE

Hata hivyo, mpango huo unapatikana tu kwa wamiliki wa pasipoti ambao pia wana kibali cha kuishi au viza ya Marekani, Uingereza, EU, Australia, Canada, Japan, New Zealand, Singapore au Korea Kusini

EU yaweka vikwazo vya viza kwa Wasomali huku kukiwa na mkanganyiko wa kurejea kwa wahamiaji

Hatua hizo mpya zinakomesha viza za Schengen za kuingia mara nyingi kwa raia wa Somalia na kuongeza muda wa kushughulikia maombi hadi siku 45.