Trump apuuza pingamizi la Netanyahu kuhusu uuzaji wa ndege za kivita za F-35 kwa Uturuki

Rais wa Marekani Trump anaielezea Uturuki kama mshirika mkuu, anamtaja Rais wa Uturuki Erdogan kuwa rafiki, na kusema hakuna anayeweza kuamrisha kile ambacho Marekani inapaswa au isipaswe kuuza.
28 Julai, 2026
Lilikuwa ni jambo la kifahari kuandaa mkutano wa NATO jijini Ankara, asema Erdogan

“Tunaendelea kupokea jumbe na simu shukrani,” anasema Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki.
26 Julai, 2026
“Matamshi ya upande mmoja”: Uturuki yaikosoa tathmini ya EU kwa kukosa usawa na maono ya kimkakati

Mkuu wa Mawasiliano wa Uturuki amesema kuwa waraka huo unapuuza nafasi muhimu isiyoweza kubadilishwa ya nchi hiyo katika usalama wa Euro-Atlantiki, nafasi ambayo ilithibitishwa wazi wakati wa mkutano wa NATO uliofanyika jijini Ankara.
17 Julai, 2026
Uturuki yalaani shambulio la kombora la Wahouthi dhidi ya Saudi Arabia

Wizara ya Mambo ya Nje ya Uturuki imethibitisha mshikamano wake na Saudi Arabia huku ikizitaka pande zote kujiepusha na hatua zinazoweza kuongeza mvutano katika eneo hilo.
14 Julai, 2026

Kuunga mkono Uturuki kufuatia jaribio la mapinduzi ilikuwa muhimu : Waziri wa zamani wa Uingereza

Uturuki na Misri zatia saini makubaliano ya kuweka msingi wa ushirikiano katika sekta ya ulinzi

Uturuki inaadhimisha kumbukumbu ya miaka 31 ya mauaji ya halaiki ya Srebrenica

Usalama wa Ulaya hauwezi kufungiwa ndani ya EU, asema Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki Fidan

Ulaya itatumia mkutano wa NATO mjini Ankara kumwonyesha Trump uthabiti wake katika ulinzi
4 Julai, 2026
Rais wa Uturuki Erdogan amempokea Waziri Mkuu wa Pakistan Sharif mjini Istanbul
Ujumbe wa ngazi ya juu kutoka Uturuki na Pakistan unatarajiwa kukutana kufuatia mazungumzo ya pande mbili.

3 Julai, 2026
Erdogan na Meloni wajadili kuimarisha ushirikiano wa ulinzi kabla ya mkutano wa NATO jijini Ankara
Rais wa Uturuki amesema nchi yake inalenga kuimarisha ushirikiano na Italia, hususan katika sekta ya ulinzi, kabla ya mkutano wa viongozi wa NATO utakaofanyika nchini jijini Ankara, Uturuki.

30 Juni, 2026
Rais Erdogan aishutumu Israel kwa tuhuma za uongo dhidi ya Uturuki
Rais wa Uturuki, Recep Tayyip Erdogan, amesema historia ya Uturuki inajumuisha sifa ya kuwapa hifadhi watu waliokimbia mateso ya Wanazi.

29 Juni, 2026
Uturuki ni muhimu kwa NATO na usalama wa kikanda: Kallas wa EU
Mkuu wa sera ya mambo ya nje wa Umoja wa Ulaya (EU), Kaja Kallas, ametoa wito wa kuimarishwa kwa umoja ndani ya NATO, ushirikiano wa karibu zaidi katika masuala ya ulinzi, na ushirikiano wa karibu na Uturuki kabla ya mkutano ujao wa muungano huo.

28 Juni, 2026
Uturuki inahimiza hatua madhubuti dhidi ya wahusika wa nje wanaounga mkono RSF nchini Sudan
Balozi wa Uturuki mjini Khartoum Fatih Yildiz anasema mashambulizi ya hivi karibuni ya RSF huko El-Obeid ni ya kutisha hhuku akiangazia ujenzi mpya, fursa za uwekezaji nchini Sudan.

16 Juni, 2026
Somalia imepokea vifaa vya kisasa kutoka Uturuki kukuza ukulima
Somalia imepokea vifaa vya kisasa kutoka Shirika la Ushirikiano na Uratibu la Uturuki la TIKA siku ya Jumapili kwa ajili ya kuboresha na kusasisha shughuli za ukulima na umwagiliaji katika Wizara.

13 Mei, 2026
Uturuki yapinga madai “yasiyo na msingi kabisa” ya kuingilia siasa za Somalia
Uturuki imesema kuwa ushirikiano wake na Somalia unalenga kuimarisha taasisi za usalama wa taifa na kuboresha uwezo wa kupambana na ugaidi nchini kote.

6 Mei, 2026
Uturuki yazindua ‘Yildirimhan’, kombora la balistiki lenye uwezo wa kufika mabara mengine
Kombora hili lenye kasi kubwa na uwezo wa masafa marefu linaashiria hatua kubwa katika kuimarika kwa uwezo wa ulinzi wa Uturuki, huku nchi hiyo ikionesha mifumo ya kizazi kijacho katika maonesho yake makubwa zaidi ya anga na ulinzi.

4 Mei, 2026
Mradi wa Development Road Watajwa Kuwa Nguzo Mpya ya Ushirikiano wa Uturuki na Iraq
Miundombinu ya barabara na reli ya kilomita 1,200 yapewa nafasi muhimu katika ushirikiano wa pande mbili.

30 Aprili, 2026
Mashirika Mengine ya Ndege Yaweza Kufuatia Hatua ya Turkish Airlines Mashariki ya Kati
Wadau wa anga waona kurejea kwa Turkish Airlines kunaweza kuhamasisha mashirika mengine kurejesha safari zao.



