24 Juni, 2026

Polisi nchini Kenya wadai hawajapokea notisi ya maandamano ya GenZ ya June 25

Kamanda wa polisi Issa Mohamud alionya kwamba wakati Wakenya wana haki ya kikatiba ya kukusanyika na kuandamana kwa amani, mamlaka hazitavumilia vitendo vya uhalifu kama vile uporaji au uharibifu wa mali kama inavyotokea awali.

c6ecbb680a3acc9f467bcdb8ec57f52df04f5b5105ea42da3b332453f7cc2442

24 Juni, 2026

Niger yawasilisha ombi la kujiondoa katika Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu ICC

Lengo la Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu ni kuwashtaki wahusika wa uhalifu mkubwa zaidi.

781b953eba264abc37f752e6898e5dfdfe60cf512e6fe9c409a5cc8a00ca2400

24 Juni, 2026

Polisi wa Wanyamapori nchini Kenya wamewakamata washukiwa 3 wa ujangili wakiwa na meno 6 ya tembo

Kenya imeandikisha mafanikio makubwa katika kudhibiti hasara ya miongo kadhaa ya tembo iliyosababishwa na ujangili.

987682ef92751d858d89bef3ddeb3198f04ec7768beed1e6f64fc323ee2032cd

24 Juni, 2026

Ufaransa yarekodi maambukizi ya kwanza ya Ebola kwa daktari aliyerejea kutoka DR Congo

Mamlaka zinasema mfumo wa ufuatiliaji umewekwa kwa wafanyakazi wa misaada wa Ufaransa wanaorejea katika eneo la kitaifa.

cd5cd62c5e2e539e525b402e36f868d9c163c8881933469a6e20e1cef876ee07

24 Juni, 2026

Libya yapiga marufuku kuingia kwa raia wa mataifa manne ya Afrika

Serikali ya mashariki ya Libya imepiga marufuku kuingia kwa raia wa Sudan, Eritrea, Ethiopia na Somalia

126248f342b76da9b4f56b0092de08497febb4b28c30b6a934f1845ba3e4f282

24 Juni, 2026

Kenya yatia saini mkataba wa dola bilioni 1.2 na kampuni ya China kwa upanuzi wa uwanja wa ndege

Kenya inalenga kuendeleza hadhi yake ya kuwa sehemu muhimu ya usafiri wa anga katika kanda.

c88427facc4d76d84ba7d5c1033faba415f8b590549e695891df61d12eab7da5

23 Juni, 2026

Tanzania: Young Africans yaitolea macho mechi dhidi ya Azam FC

Young Africans itamenyana na Azam FC, Juni 24, 2026 katika uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar.

bcb1fa679fb02554f2e49a1a6e037fc569a9b338fc01cc0ad07f583609663f19

23 Juni, 2026

Familia ya Lungu kuamua atakapozikwa: Mahakama yaamuru

Mahakama ilibatilisha uamuzi wa awali wa Mahakama Kuu ambayo ilikuwa imeamuru mabaki ya aliyekuwa rais wa Zambia hayati Edgar Lungu yakabidhiwe kwa serikali ya Zambia ili kurejeshwa nyumbani.

17448a23ab7fa2e5c1bb0b63a55cfb1ff26404cbf3063e1e9f23aa95c2a754ba

23 Juni, 2026

Waziri wa afya wa Kenya aagiza kusimamishwa mara moja kwa ujenzi wa Kituo cha Ebola cha Wamarekani

Waziri Aden Duale ambaye alifika kortini Jumanne aliachiliwa bila adhabu lakini kwa onyo kali baada ya kupatikana na hatia ya kudharau mahakama kwa kukosa kufuata maagizo ya awali ya kusimamishwa kazi.

a0aaf2c31af051cca75869971ab11cd51a036b288e8b197e5fbb20d35dc7cd0e

23 Juni, 2026

Vyuo vikuu 10 bora Afrika: Afrika Kusini inaongoza katika viwango vya hivi karibuni

Chuo Kikuu cha Cape Town ndicho kinachoongoza barani Afrika ingawa kimewekwa nafasi ya 184 ulimwenguni, kulingana na ripoti taasisi ya hivi punde ya taasisi ya QS ya kuratibu vyuo.

863a7552e5e19aef383bfb927e4ec97a2891c95a2064c3d230afa03e97bc1585
Loading...