Wachimba migodi haramu wasiopungua 14 wauawa katika mgodi Afrika Kusini

Hakukuwa na taarifa kamili kuhusu wachimba migodi hao, ikiwemo uraia wao, huku maafisa wakielekea eneo la tukio.
11 Agosti, 2026
Umoja wa Mataifa yaonya ukosefu wa usalama umewaondoa watu zaidi ya 5000 katika makazi yao Darfur

Wengi walioondolewa katika makazi yao ni nyumba zilizoko upande wa pili wa mpakani nchini Chad, kulingana na Shirika la Kimataifa kuhusu Uhamiaji (IOM).
10 Agosti, 2026
Watu 11 wauawa katika matukio tofauti ya ufyatuaji risasi Cape Town, Afrika Kusini

Polisi waanzisha uchunguzi kufuatia mashambulizi yaliyotokea katika viton ya Khayelitsha, Langa na Gugulethu, ambapo watu wengine wawili walijeruhiwa.
10 Agosti, 2026
Siku ya Kimataifa ya Watu wa Asili: Ardhi, Utambulisho na mapambano ya kuhifadhi utamaduni

Umoja wa Mataifa unasema Watu wa Asili wanaunda zaidi ya asilimia sita ya idadi ya watu duniani na ni walinzi wa urithi wa kitamaduni na mifumo ikolojia muhimu.
9 Agosti, 2026

Jimbo la Kano Nigeria laandaa harusi ya pamoja kwa wanandoa 1,500

Kizza Besigye: Kiongozi wa upinzani nchini Uganda ‘anaumwa vibaya’ arudishwa gerezani

Tanzania na Uganda zakubaliana kujenga kituo cha kikanda cha nishati jijini Tanga

Rais wa Tanzania Samia atangaza uchunguzi mpya kuhusu machafuko ya baada ya uchaguzi

Rais Samia wa Tanzania atoa onyo dhidi ya uharibifu wa mali za umma
7 Agosti, 2026
Tanzania kukutanisha wadau watakaojadili changamoto za Mto Nile
Jukwaa hilo litawakutanisha serikali, watunga sera, watafiti, sekta binafsi, mashirika ya kiraia na washirika wa maendeleo kujadili usimamizi wa pamoja wa maji, uhifadhi wa mazingira na maendeleo endelevu.

7 Agosti, 2026
Rwanda yapokea wakimbizi wa kisiasa 177 kutoka Libya
Uhamisho wa wakimbizi hao wa kisiasa ni sehemu ya makubaliano kati ya UNHCR na Umoja wa Afrika, kwa lengo la kuwaisaidia wakimbizi waliokwama Libya.

7 Agosti, 2026
Mlipuko wa Ebola DRC wazidi maambukizi 4,000
Wataalamu wanaeleza kuwa hii ni kutokana na kuchelewa kubaini, kuzidiwa katika uchunguzi na mapigano ya kijeshi kama baadhi ya sababu ambazo zimekwamisha juhudi za kukabiliana na ugonjwa huo.

6 Agosti, 2026
Bunge la Uganda lapitisha ombi la serikali kupeleka wanajeshi Gaza
Bunge la Uganda limeidhinisha kupelekwa kwa wanajeshi wa nchi hiyo Gaza kama sehemu ya Kikosi cha Kimataifa.

6 Agosti, 2026
Kamati ya majadiliano ya Libya yaanza mchakato wa kumteua mkuu wa tume ya uchaguzi
Kamati hiyo inataka kuwa na mfumo ambao utakubalika kitaalamu na kisiasa kwa uchaguzi wa urais na bunge.

6 Agosti, 2026
Taasisi ya kupambana na rushwa Nigeria yafungia akaunti za serikali ya jimbo
Hatua hii imezidisha msuguano kati ya taasisi hiyo ya serikali kuu na ile ya Jimbo la Osun, ambayo imeshtumu EFCC kwa kufanya kazi nje ya misingi ya kisheria

6 Agosti, 2026
Rwanda yafunga zaidi ya viwanda 130 vya pombe haramu
Kwa mujibu wa Utafiti wa Saba wa Demografia na Afya wa Rwanda, asilimia 15 ya wanaume na asilimia 7 ya wanawake hunywa pombe kila siku.

5 Agosti, 2026
Rais Museveni wa Uganda awasili Tanzania kwa ziara ya kazi
Rais Museveni wa Uganda amesema Uganda na Tanzania zimekuwa na uhusiano bora kwa miaka mingi.

5 Agosti, 2026
Tanzania: Gharama za petroli zazidi kupungua
Kulingana na EWURA, kwa sasa petroli itauzwa kwa Dola 1.46 (Shilingi 3,898) dizeli Dola 1.50 (Shilingi 3,978) kwa lita, kufuatia marekebisho hayo ya be.

5 Agosti, 2026
Uganda kuweka uzio wa umeme kupambana na wanyamapori waharibifu
Mpango huo, unalenga kupambana na changamoto ya migongano kati ya binadamu na wanyamapori, kulingana na waziri wa utalii wa nchi hiyo, Susan Nakawuki.



