7 Agosti, 2026

Tanzania kukutanisha wadau watakaojadili changamoto za Mto Nile

Jukwaa hilo litawakutanisha serikali, watunga sera, watafiti, sekta binafsi, mashirika ya kiraia na washirika wa maendeleo kujadili usimamizi wa pamoja wa maji, uhifadhi wa mazingira na maendeleo endelevu.

62d4c4b5 19c3 4456 9218 fde2da8818bb 1786107128869

7 Agosti, 2026

Rwanda yapokea wakimbizi wa kisiasa 177 kutoka Libya

Uhamisho wa wakimbizi hao wa kisiasa ni sehemu ya makubaliano kati ya UNHCR na Umoja wa Afrika, kwa lengo la kuwaisaidia wakimbizi waliokwama Libya.

d8abc9fb 04cb 4218 a0ae 9e2118364f5a 1786099916562 scaled

7 Agosti, 2026

Mlipuko wa Ebola DRC wazidi maambukizi 4,000

Wataalamu wanaeleza kuwa hii ni kutokana na kuchelewa kubaini, kuzidiwa katika uchunguzi na mapigano ya kijeshi kama baadhi ya sababu ambazo zimekwamisha juhudi za kukabiliana na ugonjwa huo.

2cd4c428 2381 450e a197 c4ccf11b6ff4 1786095337074

6 Agosti, 2026

Bunge la Uganda lapitisha ombi la serikali kupeleka wanajeshi Gaza

Bunge la Uganda limeidhinisha kupelekwa kwa wanajeshi wa nchi hiyo Gaza kama sehemu ya Kikosi cha Kimataifa.

e6e13b6c ca63 4464 a3c3 b42b509b264c 1786034172243

6 Agosti, 2026

Kamati ya majadiliano ya Libya yaanza mchakato wa kumteua mkuu wa tume ya uchaguzi

Kamati hiyo inataka kuwa na mfumo ambao utakubalika kitaalamu na kisiasa kwa uchaguzi wa urais na bunge.

9836d109 0aab 483c 94f4 b3896e68b689 1786021213088

6 Agosti, 2026

Taasisi ya kupambana na rushwa Nigeria yafungia akaunti za serikali ya jimbo

Hatua hii imezidisha msuguano kati ya taasisi hiyo ya serikali kuu na ile ya Jimbo la Osun, ambayo imeshtumu EFCC kwa kufanya kazi nje ya misingi ya kisheria

ffb9aa6f 38b6 4249 ab97 1fcf1dd20967 1786007999955

6 Agosti, 2026

Rwanda yafunga zaidi ya viwanda 130 vya pombe haramu

Kwa mujibu wa Utafiti wa Saba wa Demografia na Afya wa Rwanda, asilimia 15 ya wanaume na asilimia 7 ya wanawake hunywa pombe kila siku.

5cd38795 7190 476b b25a 9616ebea8765 1786002631472

5 Agosti, 2026

Rais Museveni wa Uganda awasili Tanzania kwa ziara ya kazi

Rais Museveni wa Uganda amesema Uganda na Tanzania zimekuwa na uhusiano bora kwa miaka mingi.

e4226ade b510 4d1a 8d63 6e110f83ba31 1785952572082

5 Agosti, 2026

Tanzania: Gharama za petroli zazidi kupungua

Kulingana na EWURA, kwa sasa petroli itauzwa kwa Dola 1.46 (Shilingi 3,898) dizeli Dola 1.50 (Shilingi 3,978) kwa lita, kufuatia marekebisho hayo ya be.

9198ec06 ed03 4af2 9065 de5999606511 1785923785321

5 Agosti, 2026

Uganda kuweka uzio wa umeme kupambana na wanyamapori waharibifu

Mpango huo, unalenga kupambana na changamoto ya migongano kati ya binadamu na wanyamapori, kulingana na waziri wa utalii wa nchi hiyo, Susan Nakawuki.

97824548 f50a 46bc a58c 56a3da03cc37 1785920334433 scaled
Loading...