Ghana yawaondoa mamia ya raia wake Afrika Kusini kufuatia vurugu za chuki

Wizara ya mambo ya nje inasema Rais John Dramani Mahama ameidhinisha mpango huo wa kuwaondoa raia wake 300 kutoka Afrika Kusini.
13 Mei, 2026
Rais wa Senegal Faye ‘anashughulikia mwenyewe’ mazungumzo kuhusu deni na IMF

Rais Bassirou Diomaye Faye amekutana na mkuu wa IMF Kristalina Georgieva pembeni mwa kongamano la nchini Kenya, na wawili hao walijadili uwezekano wa kutatua tatizo la madeni ya Senegal.
13 Mei, 2026
Polisi nchini Kenya watumia mabomu ya machozi kuwatawanya waandamanaji wanaopinga Ufaransa

Waandamanaji waliobeba mabango ya kupinga sera za kibeberu walizuiwa kukaribia ukumbi wa Mkutano wa Africa Forward unaofanyika jijini Nairobi, Kenya.
12 Mei, 2026
Rais Museveni wa Uganda aanza rasmi muhula mpya

Rais Yoweri Museveni ambae ameingia madarakani mwaka 1986, huu utakuwa ni muhula wake wa saba kuliongoza taifa hilo.
12 Mei, 2026

Kamanda wa jeshi Sudan ajiondoa RSF na kujiunga na jeshi

Katibu Mkuu UN asisitiza umuhimu wa mabadiliko ili Afrika ipate uwakilishi wa kudumu

Wajerumani watatu na rubani wafariki dunia kufuatia ajali ya ndege Namibia

Maandamano yenye vurugu dhidi ya wahamiaji hayaakisi maoni ya Afrika Kusini: Ramaphosa

Bandari ya Lamu nchini Kenya yapokea meli kubwa zaidi kuwahi kutia nanga Afrika Mashariki na Kati
11 Mei, 2026
Uganda na DRC kuimarisha ulinzi wa mipaka
Makubaliano hayo yatasainiwa mbele ya viongozi wa mataifa hayo, Félix Tshisekedi na Yoweri Museveni, siku ya Jumatatu.

11 Mei, 2026
Jeshi la Nigeria lakanusha kuhusu mashambulizi yake kuua raia, lasema majambazi 70 wameuawa
Makao Makuu ya Jeshi yanasema operesheni dhidi ya makundi yenye silaha katika eneo hilo itaendelea wakati maafisa wa usalama wakikabiliana na majambazi na kurudisha hali ya usalama.

11 Mei, 2026
Kenya yahodhi Mkutano kati ya Afrika na Ufaransa
Rais William Ruto wa Kenya amesema uamuzi wa kuandaa mkutano huo kwa mara ya kwanza katika nchi isiyozungumza Kifaransa, ni uthibitisho mkubwa wa kukua kwa uhusiano kati ya nchi hizo mbili.

10 Mei, 2026
Kenya na Ivory Coast zakubali kuanzisha balozi ili kuimarisha uhusiano wa kidiplomasia
Viongozi wote wawili pia walisisitiza umuhimu wa kuboresha muunganisho, ikijumuisha safari za ndege za moja kwa moja, na kuondoa vizuizi vya kibiashara ili kuharakisha mtiririko wa bidhaa na huduma.

10 Mei, 2026
Shambulio la waasi mashariki mwa DRC limesababisha vifo vya takriban watu 69
Shambulizi la waasi liliua takriban watu 69 katika jimbo la Ituri kaskazini mashariki mwa DRC, vyanzo vya ndani na usalama vilisema Jumamosi.

10 Mei, 2026
Dangote anazingatia Kenya kwa ujenzi wa kiwanda kipya cha kusafisha mafuta
Mtu tajiri zaidi barani Afrika Aliko Dangote anadhamiria kujenga kiwanda cha kusafisha mafuta huko Mombasa nchini Kenya, cha uwezo wa kusafisha mapipa 650,000.

10 Mei, 2026
Macron aanza ziara ya Afrika kwa kituo cha kwanza Misri
Ziara ya Rais Emmanuel Macron inajumuisha Kenya na Ethiopia na inakuja huku kukiwa na chuki kali dhidi ya Ufaransa katika bara hilo.

9 Mei, 2026
WHO inathibitisha maambukizi 6 ya hantavirus yaliyohusishwa na meli ya kitalii ya Uhispania
Meli hiyo inayoendeshwa na Uholanzi iliondoka Cabo Verde Jumatano baada ya kukwama kutokana na mlipuko wa virusi hivyo.

9 Mei, 2026
Niger yafungia mashirika 10 ya habari ya Ufaransa
Serikali ya Niger ilishutumu vyombo vya habari vya Ufaransa kwa kutangaza maudhui yenye uwezo wa kuhatarisha ”utulivu wa kitaasisi.”

8 Mei, 2026
Serikali ya Mali haitofanya mazungumzo na makundi ya kigaidi
Waziri wa Mambo ya Nje Abdoulaye Diop amewaambia mabalozi kuwa serikali “haina mpango wa majadiliano” na makundi hayo ambayo wanayalaumu kwa mashambulizi ya hivi karibuni.


