EU yaweka vikwazo vya viza kwa Wasomali huku kukiwa na mkanganyiko wa kurejea kwa wahamiaji

Hatua hizo mpya zinakomesha viza za Schengen za kuingia mara nyingi kwa raia wa Somalia na kuongeza muda wa kushughulikia maombi hadi siku 45.
27 Juni, 2026
Marekani kupeleka matibabu ya majaribio ya Ebola nchini DRC kukabiliana na virusi vya Bundibugyo

Tofauti na virusi vya Zaire, ambavyo chanjo zilizoidhinishwa tayari zipo, hakuna chanjo au matibabu yaliyoidhinishwa mahususi kwa ajili ya Bundibugyo, na kufanya majibu ya sasa kutegemea zaidi hatua za kimatibabu za majaribio.
27 Juni, 2026
Polisi nchini Kenya watoa tahadhari kuhusu ongezeko la vijana wanaosajiliwa na walanguzi wa dawa

Kurugenzi ya Upelelezi DCI lilisema wasafirishaji haramu pia walikuwa wakigeukia dawa mpya za kutibu maradhi ya kichwa NPS iliyoundwa kuiga athari za mihadarati inayodhibitiwa
27 Juni, 2026
Burkina Faso yamaliza uhusiano wa kidiplomasia na Ufaransa

Burkina Faso ilisema uamuzi huo ulianza Juni 26 na kufuatia mapitio ya uhusiano na Paris.
27 Juni, 2026

Tanzania yapiga marufuku mikutano ya kisiasa kwa sababu ya tishio kwa usalama

Tanzania kushuhudia punguzo la bei ya mafuta ifikapo mwezi Julai

Wanigeria 12 watupwa jela nchini Ujerumani kwa kuendesha mtandao wa utapeli wa kimapenzi

Polisi nchini Kenya wafunga sehemu ya Nairobi kutokana na mikusanyiko ya kuadhimisha maandamano

Zimbabwe: Bunge la Seneti lapitisha muswada wa kumbakisha Mnangagwa madarakani hadi 2030
24 Juni, 2026
Polisi nchini Kenya wadai hawajapokea notisi ya maandamano ya GenZ ya June 25
Kamanda wa polisi Issa Mohamud alionya kwamba wakati Wakenya wana haki ya kikatiba ya kukusanyika na kuandamana kwa amani, mamlaka hazitavumilia vitendo vya uhalifu kama vile uporaji au uharibifu wa mali kama inavyotokea awali.

24 Juni, 2026
Niger yawasilisha ombi la kujiondoa katika Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu ICC
Lengo la Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu ni kuwashtaki wahusika wa uhalifu mkubwa zaidi.

24 Juni, 2026
Polisi wa Wanyamapori nchini Kenya wamewakamata washukiwa 3 wa ujangili wakiwa na meno 6 ya tembo
Kenya imeandikisha mafanikio makubwa katika kudhibiti hasara ya miongo kadhaa ya tembo iliyosababishwa na ujangili.

24 Juni, 2026
Ufaransa yarekodi maambukizi ya kwanza ya Ebola kwa daktari aliyerejea kutoka DR Congo
Mamlaka zinasema mfumo wa ufuatiliaji umewekwa kwa wafanyakazi wa misaada wa Ufaransa wanaorejea katika eneo la kitaifa.

24 Juni, 2026
Libya yapiga marufuku kuingia kwa raia wa mataifa manne ya Afrika
Serikali ya mashariki ya Libya imepiga marufuku kuingia kwa raia wa Sudan, Eritrea, Ethiopia na Somalia

24 Juni, 2026
Kenya yatia saini mkataba wa dola bilioni 1.2 na kampuni ya China kwa upanuzi wa uwanja wa ndege
Kenya inalenga kuendeleza hadhi yake ya kuwa sehemu muhimu ya usafiri wa anga katika kanda.

23 Juni, 2026
Tanzania: Young Africans yaitolea macho mechi dhidi ya Azam FC
Young Africans itamenyana na Azam FC, Juni 24, 2026 katika uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar.

23 Juni, 2026
Familia ya Lungu kuamua atakapozikwa: Mahakama yaamuru
Mahakama ilibatilisha uamuzi wa awali wa Mahakama Kuu ambayo ilikuwa imeamuru mabaki ya aliyekuwa rais wa Zambia hayati Edgar Lungu yakabidhiwe kwa serikali ya Zambia ili kurejeshwa nyumbani.

23 Juni, 2026
Waziri wa afya wa Kenya aagiza kusimamishwa mara moja kwa ujenzi wa Kituo cha Ebola cha Wamarekani
Waziri Aden Duale ambaye alifika kortini Jumanne aliachiliwa bila adhabu lakini kwa onyo kali baada ya kupatikana na hatia ya kudharau mahakama kwa kukosa kufuata maagizo ya awali ya kusimamishwa kazi.

23 Juni, 2026
Vyuo vikuu 10 bora Afrika: Afrika Kusini inaongoza katika viwango vya hivi karibuni
Chuo Kikuu cha Cape Town ndicho kinachoongoza barani Afrika ingawa kimewekwa nafasi ya 184 ulimwenguni, kulingana na ripoti taasisi ya hivi punde ya taasisi ya QS ya kuratibu vyuo.



