30 Aprili, 2026

Atletico na Arsenal Wapigana Bila Mshindi Katika Mechi ya Jana.

Mechi ya jana kati ya Atletico Madrid na Arsenal imeisha kwa sare, huku kila timu ikipata bao moja.

arsenasl

30 Aprili, 2026

Simba Yachukua Ubingwa Amaan Complex, Yanga Yabaki na Majuto.

Simba imeshinda Kombe la Muungano baada ya bao la dakika za mwisho dhidi ya Yanga

simba

29 Aprili, 2026

Kombe la Dunia 2026 Kuanza Juni 11 Kwa Mfumo Mpya na Sheria Mpya

Mashindano makubwa zaidi katika historia ya FIFA yajiandaa kuanza kwa muundo mpya wa timu na kanuni.

728

29 Aprili, 2026

Kurudi kwa Wanawake Afghanistan Michezoni Kua Ishara ya Matumaini

Uamuzi wa FIFA kuruhusu timu ya wanawake wa Afghanistan kushiriki mashindano umeonekana kama hatua ya kihistoria.

89291980 439b 11f1 b861 d7bf71119519.jpg

28 Aprili, 2026

Uwezekano wa Mourinho Kurudi Real Madrid Wazua Mjadala

Habari za kurejea kwa Mourinho Real Madrid zimeibua maoni tofauti ndani na nje ya klabu.

w1200h675quality95fitcoverformatauto

28 Aprili, 2026

Mashabiki Wasubiri Tarehe ya Joshua dhidi ya Fury Baada ya Makubaliano Kufikiwa

Pambano la ndoto la mabingwa wawili wa zamani wa uzani wa juu sasa linasubiri ushindi wa Joshua na tangazo rasmi la tarehe.

720

28 Aprili, 2026

Kaitano Tembo Ateuliwa Kocha wa Muda wa Zimbabwe

Nahodha wa zamani wa taifa apewa jukumu la kuinoa Zimbabwe kuelekea Unity Cup ya London.

718

28 Aprili, 2026

Kipigo cha Al Ahly Chachochea Mbio za Ubingwa Ligi ya Misri

Kupoteza kwa Al Ahly kumeongeza ushindani kati ya timu zinazoongoza ligi.

default

28 Aprili, 2026

Kipigo cha Derby Chamaliza Kazi ya Kocha wa Fenerbahçe

Matokeo mabaya dhidi ya Galatasaray yamsababisha Tedesco kuondolewa.

438413

27 Aprili, 2026

Galatasaray Yaimarisha Nafasi ya Ubingwa Kwa Kuifunga Fenerbahçe

Ushindi wa derby umeongeza nafasi ya Galatasaray katika mbio za ubingwa,

438214
Loading...