FIFA yafikiria kuiondolea Urusi adhabu ya kushiriki michuano ya kimataifa

Timu za taifa za Urusi zilisimamishwa kushiriki michuano iliyoandaliwa na FIFA na UEFA, mwezi Februari 2022, baada ya taifa hilo kuivamia Ukraine.
3 Februari, 2026
Trump atishia kumshtaki mtangazaji wa Grammy wa Afrika Kusini, Trevor Noah

Mchekeshaji Noah, ambaye alitangaza kuwa huu utakuwa mwaka wake wa mwisho kuandaa Grammys baada ya zamu sita kama emcee, amekuwa akiepuka maoni ya kisiasa katika miaka iliyopita.
2 Februari, 2026
Kivuko cha mpaka cha Rafah kati ya Gaza na Misri chafunguliwa tena japo kwa masharti

Kufunguliwa kwa Rafah ilikuwa hitaji muhimu chini ya awamu ya kwanza ya mpango wa Kufunguliwa tena kwa Rafah lilikuwa hitaji muhimu chini ya awamu ya kwanza ya mpango mpana wa Trump wa kusitisha mapigano kati ya Israel na Hamas.
2 Februari, 2026
Khamenei wa Iran anaonya kuhusu vita vya kikanda iwapo Marekani itashambulia

Taharuki iko juu sana kati ya Tehran na Washington baada ya vitisho vya vita vya Trump.
1 Februari, 2026

Iran yatangaza majeshi ya Ulaya kuwa ni ‘makundi ya kigaidi’ katika hatua ya kulipiza kisasi

Serikali ya Marekani yafungwa kwa muda

Russia, Ukraine zakabidhiana miili ya wanajeshi waliouwawa

Iran: Tunadhibiti maeneo yetu na Hormuz dhidi ya mashambulizi

Rwanda yaishtaki Uingereza kwa kukiuka makubaliano ya mkataba wa uhamishaji wa wakimbizi
28 Januari, 2026
Iran yamnyonga ‘shushushu’ wa Israel
Kulingana na shirika la habari la Fars, mtu huyo anatuhumiwa kutoa taarifa za siri kwa shirika la ujasusi la Mossad la nchini Israel.

28 Januari, 2026
Mke wa rais wa zamani wa Korea Kusini afungwa jela kwa kupokea rushwa
Kim, anatuhumiwa kukubali kupokea zawadi za begi na mkufu wa thamani kutoka kanisa moja nchini humo.

27 Januari, 2026
Meli ya kubeba ndege za kivita za Marekani kimeingia Mashariki ya kati
Kikosi cha mashambulizi cha wanamaji cha Marekani, kinachoongozwa na shehena ya ndege ya USS Abraham Lincoln, kinaingia katika maji ya Mashariki ya Kati – wakati Hezbollah inaungana na Tehran katika kuonya dhidi ya mashambuli

27 Januari, 2026
Trump: Iran “inataka kufanya mazungumzo” huku meli ya kivita ya Marekani ikiwasili Mashariki ya Kati
Rais Trump amesema Iran imekuwa ikijaribu kuwasiliana naye mara kwa mara wakati Marekani ikipeleka nguvu za kijeshi katika eneo hilo.

26 Januari, 2026
Thamani ya dhahabu yapanda kwa kiwango cha juu zaidi kutokana ni migogoro ya kimatiafa
Thamani ya dhahabu yafikia kiwango cha juu zaidi kuwahi kutokea, gramu 28.35 ya dhahabu sasa inauzwa dola 5,000 za Marekani, huku mvutano wa kisiasa wa kimataifa ukiongezeka.

26 Januari, 2026
Benki ya Dunia na Qatar kusaidia kusambaza umeme kwa watu milioni 300 barani Afrika
Makubaliano kati ya Benki ya Dunia na Qatar pia yanajumuisha kutengenezwa kwa ajira na kusaidia nchi zilizoathiriwa na migogoro ya silaha.

25 Januari, 2026
Waokoaji wahangaika kutafuta manusura katika maporomoko ya ardhi Indonesia
Makumi ya watu bado hawajulikani walipo huku waokoaji wa Indonesia wakipitia matope baada ya maporomoko ya ardhi kuzika nyumba na kusababisha vifo vya takriban watu 11.

24 Januari, 2026
Iran italichukulia shambulio lolote la Marekani kama ‘vita vya kila namna dhidi yetu’ – afisa mkuu
Tehran haitatofautisha ukubwa au asili ya shambulio lolote linaloweza kutokea, anasema afisa huyo huku meli za kivita za Marekani ikiwa ni pamoja na meli ya USS Abraham Lincoln, na ndege za kivita zikielekea Mashariki ya Kati

23 Januari, 2026
Trump: Marekani ina “nguvu kubwa” inayoelekea Iran
Tuna msafara mkubwa unaoelekea huko, labda hatutahitaji kuutumia. Tutaona, anasema Rais wa Marekani.

22 Januari, 2026
Venezuela yaiwekea soko huria sekta yake ya mafuta
Hatua hiyo, inakuja takribani wiki tatu, tangu Marekani imuondoe madarakani aliyekuwa rais wa nchi hiyo, Nicolas Maduro, ambaye mtangulizi wake Hugo Chavez alilazimisha utaifishwaji wa makampuni ya nje ya mafuta katikati ya miaka 2000.


