Taarifa za kijasusi za Marekani zaonyesha kuwa Iran bado ina uwezo mkubwa wa kurusha makombora

Tathmini ya kijasusi zinaonyesha kuwa Iran imerejesha uwezo wa kutumia sehemu nyingi za kurushia makombora, ikiwemo maeneo 30 kati ya 33 ya makombora yaliyo karibu ya Mlango-Bahari wa Hormuz.
13 Mei, 2026
Pentagon yasema vita vya Marekani dhidi ya Iran vimegharimu Dola bilioni 29 hadi sasa

Makadirio mapya ya Pentagon kuhusu gharama za vita vya Marekani yametangazwa huku gharama za Israel zikikadiriwa kuwa Dola bilioni 17.5 na Iran ambayo imepata hasara zinazokadiriwa kufikia Dola bilioni 270, inadai fidia katika mazungumzo na Marekani.
12 Mei, 2026
Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki aonya dhidi ya kutumia Mlango wa Hormuz kama “silaha”

Waziri wa Mambo ya Nje Hakan Fidan anaonya kwamba usumbufu katika njia ya maji ya kimkakati utatishia utulivu wa kikanda na uchumi wa dunia.
12 Mei, 2026
Mabalozi wa Marekani wathibitisha Israel ilipeleka ulinzi wa Iron Dome UAE

Mabalozi wa Marekani Mike Huckabee na Mike Waltz wamethibitisha hadharani kuwa Israel ilipeleka mfumo wake wa ulinzi wa Iron Dome na wanajeshi UAE kusaidia nchi hiyo wakati wa vita vya Marekani na Israel
12 Mei, 2026

Kufungwa kwa Hormuz kunatishia usalama wa chakula kwa watu milioni 45: UN

Abiria wa meli ya MV Hondius kupelekwa Uholanzi baada ya usafiri wa ndege ya Australia kusitishwa

Wabunge wa Ufilipino wajiandaa kumng’oa madarakani Makamu wa Rais Sara Duterte

Korea Kusini yalaani mashambulizi ya meli Mlangoni Hormuz

Israel inawaachilia wanaharakati wawili kutoka msafara wa misaada wa Sumud wa Gaza
8 Mei, 2026
Meya wa Japan aliyezimia kwa muda mrefu ‘afukuzwa kazi’
Kulingana na baraza hilo la madiwani, uamuzi huo umefikiwa ili kuepuka kuvuruga utekelezwaji wa majukumu ya kila siku ndani ya halmashauri ya jiji hilo.

8 Mei, 2026
Taiwan yaidhinisha Dola bilioni 25 kwa ajili ya ulinzi
Hata hivyo, wabunge wa upinzani, wanadai kuwa kiasi hicho kitatumika kuinunulia Marekani silaha.

8 Mei, 2026
Argentina yailaumu WHO ‘kuingiza siasa’ katika ugonjwa wa ‘Hantavirus’ huku maambukizi yakiongezeka
Huku maambukizi yaliyothibitishwa yakikaribia mara mbili ikilinganishwa na mwaka jana, Argentina inapinga ‘kuingilia kati’ kwa WHO na inalaumu mabadiliko ya hali ya hewa kwa kuongezeka kwa maambukizi.

8 Mei, 2026
Mlipuko wa volcano waua 3 nchini Indonesia, wengine 20 hawajulikani walipo
Watu watatu wamefariki dunia kutokana na mlipuko wa volkano ya Mlima Dukono kwenye kisiwa cha Halmahera katika jimbo la North Maluku nchini Indonesia, huku wengine 20 hawajulikani walipo.

7 Mei, 2026
Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Marco Rubio kukutana na Papa Leo XIV
Mazungumzo hayo yanakuja wakati kukiwa na mvutano wa wazi kati ya Ikulu ya Vatican na Makao Makuu ya Kanisa Katoliki duniani.

7 Mei, 2026
Mhudumu wa Shirika la Ndege la KLM akutwa na virusi vya hanta
Kulingana na Shirika la Habari la RTL, mhudumu huyo wa ndege, anadaiwa kukutana na raia wa Kiholanzi aliyeshuka kutoka ndege ya KLM na baadaye kufariki dunia kwa ugonjwa wa hanta akiwa Afrika Kusini.

7 Mei, 2026
Iran yakana kuishambulia meli ya Korea Kusini Mlangoni mwa Bahari ya Hormuz
Katika taarifa yake iliyotolewa siku ya Alhamisi, Iran imesema kuwa haihusiki na madai ya jeshi lake kushambulia chombo hicho.

6 Mei, 2026
Iran itakubali tu “makubaliano ya haki na ya kina” na Marekani: Araghchi
Waziri wa Mambo ya Nje wa China Wang Yi amemwambia mwenzake wa Iran kwamba China “imehuzunishwa sana” na vita hivyo na inahisi kwamba kuna haja ya kusitishwa kamili kwa mapigano.

6 Mei, 2026
Donald Trump asitisha operesheni “Project Freedom” katika Mlango-Bahari wa Hormuz kwa muda
Rais wa Marekani amesema nchi yake itasitisha kwa muda operesheni yake ya kusindikiza meli huku ikiendelea kudumisha mzingiro, akidai kuwa “hatua kubwa imepigwa kuelekea Makubaliano Kamili na ya Mwisho na Wawakilishi wa Iran.”

5 Mei, 2026
Singapore: Wanyanyasaji mashuleni kukumbwa na adhabu ya viboko
Hata hivyo, makundi ya haki za kibinadamu yameshutumu uamuzi huo wa serikali ya nchi hiyo, licha ya serikali kusisitiza kuendelea nayo.


