Waziri Mkuu wa zamani wa China, Zhu Rongji afariki dunia

Zhu atakumbukwa kwa msimamo wake mkali dhidi ya ufisadi.
12 Agosti, 2026
Mahakama Syria yamhukumu kifo Rais wa zamani Bashar al Assad

Mahakama nchini Syria imemhukumu Assad kwa kupanga mauaji, mateso, kufunga watu bila hatia na uhalifu dhidi ya ubinadamu.
11 Agosti, 2026
Zelensky: Urusi inaanda makombora kutoka Korea Kaskazini ili itushambulie

Kwa mara kadhaa sasa, Zelensky ametadhaharisha kuhusu ushirikiano wa kijeshi kati ya Urusi na Korea Kaskazini.
10 Agosti, 2026
Anayetuhumiwa kumuua Tupac Shakur afikishwa mahakamani

Waendesha mashtaka wanapanga kuthibitisha kwamba Duane Davis ndiye aliyefanya mipango na kutoa maelekezo yaliyopelekea kifo cha Tupac Shakur, pamoja na kutoa silaha iliyotumika kumuua.
10 Agosti, 2026

Marekani yathibitisha kuiunga mkono Yemen katika vita dhidi ya Wahouthi

Israel ‘yakataa’ mpango wa Trump wa vipengele 15 kwa ajili ya Gaza, asema Waziri Mkuu Netanyahu

Mamia wanaandamana nchini Afrika Kusini kupinga ghasia dhidi ya wahamiaji

Israel yafuta vibali vya kuingia nchini kwa wanaharakati wa Marekani wanaowaunga mkono Wapalestina

Mkuu wa Mossad anasemekana kuwafuta kazi maafisa waandamizi kwa kushindwa kuipindua serikali ya Iran
6 Agosti, 2026
Iran yatishia kushambulia mitambo ya umeme ya nchi za Ghuba iwapo Marekani itashambulia mitambo yake
Onyo hilo lilitolewa kufuatia kauli za Rais wa Marekani, Donald Trump, ambaye alitishia kuanzisha mashambulizi makubwa dhidi ya Iran.

5 Agosti, 2026
Nchi 20 za Kiislamu zajadili hatua za pamoja dhidi ya ukiukaji wa Israel katika Msikiti wa Al-Aqsa
Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki, Hakan Fidan, amesisitiza nafasi ya kihistoria na kisheria ya Jordan kama mlinzi na msimamizi wa maeneo matakatifu yaliyoko katika Jerusalem Mashariki inayokaliwa.

5 Agosti, 2026
Mawaziri wa bara Arabu, Waislamu wakutana Jordan kujadili kwa pamoja Jerusalem Mashariki inayokaliwa
Wanadiplomasia waandamizi wanakutana mjini Amman kujadili hatua ya pamoja ya kile wanachokitaja kuwa mashambulizi ya Israel yanayolenga kufuta urithi wa Jerusalem Mashariki na maeneo matakatifu ya Kiislamu na Kikristo.

4 Agosti, 2026
Wahamiaji 70,000 waondoka Hispania huku idadi ya vifo ikiongezeka
Waziri wa Mambo ya Ndani wa Hispania amethibitisha kuwa idadi rasmi ya waliokufa imefikia 75 baada ya kupatikana kwa miili mingine mitatu.

4 Agosti, 2026
Wanafunzi wa Korea Kusini matatani kwa ‘kuvunja’ na kuingia ndani ya kambi ya kijeshi ya Marekani
Wanafunzi hao, wanaume wanne na wanawake wanne, wanadaiwa kuingia ndani ya kambi ya jeshi la anga la Marekani, iliyoko karibu na jiji la Seoul.

4 Agosti, 2026
Wahamiaji wapatao 160 waokolewa baada ya meli yao kuwaka moto
Kwa muda mrefu sasa, Ufaransa imegeuka kuwa kivuko cha wahamiaji, wenye ndoto za kwenda kutafuta maisha nchini Uingereza.

4 Agosti, 2026
Chama cha soka cha Palestina chaituhumu FIFA kwa kushindwa kuiadhibu Israel
Chama hicho, kimeikosoa FIFA kwa kuendelea kukaa kimya na kutochukua hatua dhidi ya vitendo vya Israel dhidi ya Palestina.

3 Agosti, 2026
Trump aitaka Iran ichague kati ya makubaliano na kujislamisha
Rais wa Marekani Donald Trump ametoa kauli hiyo baada ya Iran kusema kuwa hakuna mazungumzo ya moja kwa moja yanayoendelea kati yake na Marekani.

3 Agosti, 2026
Australia yathibitisha vifo vya ndege vinavyotokana na mafua H5
Mamia ya ndege mwitu wamepatikana wamekufa katika pwani ya Kusini mwa Australia huku seerikali ikitahadharisha uwezekano wa vifo zaidi. Hakuna maambikizi kwa kuku.

3 Agosti, 2026
Iran: Hatuna mazungumzo yoyote na Marekani
Iran imekuwa na udhibiti wa njia hiyo toka kuanza kwa vita vya Mashariki ya Kati, Februari 28.



