6 Agosti, 2026

Iran yatishia kushambulia mitambo ya umeme ya nchi za Ghuba iwapo Marekani itashambulia mitambo yake

Onyo hilo lilitolewa kufuatia kauli za Rais wa Marekani, Donald Trump, ambaye alitishia kuanzisha mashambulizi makubwa dhidi ya Iran.

faef129f b86a 4bfe 8eff 868f92a1693b 1786039310649

5 Agosti, 2026

Nchi 20 za Kiislamu zajadili hatua za pamoja dhidi ya ukiukaji wa Israel katika Msikiti wa Al-Aqsa

Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki, Hakan Fidan, amesisitiza nafasi ya kihistoria na kisheria ya Jordan kama mlinzi na msimamizi wa maeneo matakatifu yaliyoko katika Jerusalem Mashariki inayokaliwa.

06649455 c339 450f 9ee7 5b462adfd72b 1785957783891

5 Agosti, 2026

Mawaziri wa bara Arabu, Waislamu wakutana Jordan kujadili kwa pamoja Jerusalem Mashariki inayokaliwa

Wanadiplomasia waandamizi wanakutana mjini Amman kujadili hatua ya pamoja ya kile wanachokitaja kuwa mashambulizi ya Israel yanayolenga kufuta urithi wa Jerusalem Mashariki na maeneo matakatifu ya Kiislamu na Kikristo.

9b72872a af4a 49e6 aa5c 1808ad687224 1785938283776

4 Agosti, 2026

Wahamiaji 70,000 waondoka Hispania huku idadi ya vifo ikiongezeka

Waziri wa Mambo ya Ndani wa Hispania amethibitisha kuwa idadi rasmi ya waliokufa imefikia 75 baada ya kupatikana kwa miili mingine mitatu.

dcf32505 0f29 45a1 af12 6fc3217243b3 1785861793449

4 Agosti, 2026

Wanafunzi wa Korea Kusini matatani kwa ‘kuvunja’ na kuingia ndani ya kambi ya kijeshi ya Marekani

Wanafunzi hao, wanaume wanne na wanawake wanne, wanadaiwa kuingia ndani ya kambi ya jeshi la anga la Marekani, iliyoko karibu na jiji la Seoul.

af6ca772 a279 480a 9ee0 36d6b10f06c6 1785851374664

4 Agosti, 2026

Wahamiaji wapatao 160 waokolewa baada ya meli yao kuwaka moto

Kwa muda mrefu sasa, Ufaransa imegeuka kuwa kivuko cha wahamiaji, wenye ndoto za kwenda kutafuta maisha nchini Uingereza.

31bec3e5 c5fc 4941 a1b5 3a6be3a7ea22 1785841420048

4 Agosti, 2026

Chama cha soka cha Palestina chaituhumu FIFA kwa kushindwa kuiadhibu Israel

Chama hicho, kimeikosoa FIFA kwa kuendelea kukaa kimya na kutochukua hatua dhidi ya vitendo vya Israel dhidi ya Palestina.

2fda4878 d03e 4529 8e0d 5bb97d367557 1785826140178

3 Agosti, 2026

Trump aitaka Iran ichague kati ya makubaliano na kujislamisha

Rais wa Marekani Donald Trump ametoa kauli hiyo baada ya Iran kusema kuwa hakuna mazungumzo ya moja kwa moja yanayoendelea kati yake na Marekani.

8bef7f2f 9117 4920 9b0d 9d4b95b79178 1785781459173

3 Agosti, 2026

Australia yathibitisha vifo vya ndege vinavyotokana na mafua H5

Mamia ya ndege mwitu wamepatikana wamekufa katika pwani ya Kusini mwa Australia huku seerikali ikitahadharisha uwezekano wa vifo zaidi. Hakuna maambikizi kwa kuku.

e3e9bd1c e2bb 4732 9901 25a9cd5d23f8 1782186312154

3 Agosti, 2026

Iran: Hatuna mazungumzo yoyote na Marekani

Iran imekuwa na udhibiti wa njia hiyo toka kuanza kwa vita vya Mashariki ya Kati, Februari 28.

688e8fd1 583e 45f3 aed6 96f2c3125bb6 1785750582160
Loading...