28 Januari, 2026

Iran yamnyonga ‘shushushu’ wa Israel

Kulingana na shirika la habari la Fars, mtu huyo anatuhumiwa kutoa taarifa za siri kwa shirika la ujasusi la Mossad la nchini Israel.

b9fe5069c9c27b192b09b29ddd7205173d46250b0cd8c6a453c3eeb4abc0b6f6

28 Januari, 2026

Mke wa rais wa zamani wa Korea Kusini afungwa jela kwa kupokea rushwa

Kim, anatuhumiwa kukubali kupokea zawadi za begi na mkufu wa thamani kutoka kanisa moja nchini humo.

8adf453bf5063a16f7cedc26635f6a5a79a7d7101c2173aece059ac97442de36

27 Januari, 2026

Meli ya kubeba ndege za kivita za Marekani kimeingia Mashariki ya kati

Kikosi cha mashambulizi cha wanamaji cha Marekani, kinachoongozwa na shehena ya ndege ya USS Abraham Lincoln, kinaingia katika maji ya Mashariki ya Kati – wakati Hezbollah inaungana na Tehran katika kuonya dhidi ya mashambuli

d3b9d90a60b801ca5cba3f44c1cab7fe3c8d452d5b02beb84cf499cc6454f18b

27 Januari, 2026

Trump: Iran “inataka kufanya mazungumzo” huku meli ya kivita ya Marekani ikiwasili Mashariki ya Kati

Rais Trump amesema Iran imekuwa ikijaribu kuwasiliana naye mara kwa mara wakati Marekani ikipeleka nguvu za kijeshi katika eneo hilo.

1769464758912 feo8l8 fcdac6595f4a59f44a6e22efd556a078594b1aa590998d5fb0cb6252247687d4

26 Januari, 2026

Thamani ya dhahabu yapanda kwa kiwango cha juu zaidi kutokana ni migogoro ya kimatiafa

Thamani ya dhahabu yafikia kiwango cha juu zaidi kuwahi kutokea, gramu 28.35 ya dhahabu sasa inauzwa dola 5,000 za Marekani, huku mvutano wa kisiasa wa kimataifa ukiongezeka.

gold prices 74422

26 Januari, 2026

Benki ya Dunia na Qatar kusaidia kusambaza umeme kwa watu milioni 300 barani Afrika

Makubaliano kati ya Benki ya Dunia na Qatar pia yanajumuisha kutengenezwa kwa ajira na kusaidia nchi zilizoathiriwa na migogoro ya silaha.

8270567202f3a82d277312fe07f3c35c1d2088ae11b99730d2f45aaf74053290

25 Januari, 2026

Waokoaji wahangaika kutafuta manusura katika maporomoko ya ardhi Indonesia

Makumi ya watu bado hawajulikani walipo huku waokoaji wa Indonesia wakipitia matope baada ya maporomoko ya ardhi kuzika nyumba na kusababisha vifo vya takriban watu 11.

2026 01 24t120656z 1285520921 rc2o7jav49xj rtrmadp 3 indonesia landslide

24 Januari, 2026

Iran italichukulia shambulio lolote la Marekani kama ‘vita vya kila namna dhidi yetu’ – afisa mkuu

Tehran haitatofautisha ukubwa au asili ya shambulio lolote linaloweza kutokea, anasema afisa huyo huku meli za kivita za Marekani ikiwa ni pamoja na meli ya USS Abraham Lincoln, na ndege za kivita zikielekea Mashariki ya Kati

1769214748030 n1zjve 951b207cea6bad780f490f14bc90fe89075285dadced578bed24bda66e664635

23 Januari, 2026

Trump: Marekani ina “nguvu kubwa” inayoelekea Iran

Tuna msafara mkubwa unaoelekea huko, labda hatutahitaji kuutumia. Tutaona, anasema Rais wa Marekani.

trump switzerland davos 45024

22 Januari, 2026

Venezuela yaiwekea soko huria sekta yake ya mafuta

Hatua hiyo, inakuja takribani wiki tatu, tangu Marekani imuondoe madarakani aliyekuwa rais wa nchi hiyo, Nicolas Maduro, ambaye mtangulizi wake Hugo Chavez alilazimisha utaifishwaji wa makampuni ya nje ya mafuta katikati ya miaka 2000.

1769111363370 v3z9wx 50bfb9fdca0479e25313fc3be8e2d5425d5c1820fe405c7ab19dddc8599e9891
Loading...