Ulimwengu

9aeb9200 35fd 4659 8409 7ebbdac1eac0 1786977007080

Trump atishia kuishambulia Oman iwapo ‘itakwamisha’ mazungumzo ya Marekani na Iran

Rais wa Marekani anasema wanafanya mawasiliano ya moja kwa moja na kikosi cha IRGC cha Iran na kutishia Oman kuhusu hatua yake katika majadiliano, huku akitoa wito kwa Israel kusitishga mashambulizi Gaza.

Trump afurahishwa na mkataba wa ulinzi wa Makkah uliosainiwa na Uturuki, Pakistan na Saudi Arabia

Rais wa Marekani amepongeza makubaliano hayo muhimu kama hatua kubwa ya kwanza kuelekea ushirikiano mkubwa zaidi wa kikanda na ulinzi imara wa pamoja katika Mashariki ya Kati, huku akiwapongeza viongozi wa nchi hizo tatu.

Watu 9 wafariki dunia wakimuabudu ‘mungu’ wa kihindu nchini India

Tukio hilo limetokea ndani ya hekalu la Ashok Dham liloloko katika wilaya ya Lakhisarai, wakati wakitoa ibada kwa mungu wa kihindu, maarufu kama Shiva.

Papa asukuma suluhisho la majimbo mawili katika wito wa kukomesha vurugu dhidi ya Wapalestina

Wito waa Papa Leo unaongeza shinikizo la kimataifa kuhusu jinsi Wapalestina wanavyotendewa katika Ukingo wa Magharibi, ambapo upanuzi wa makazi na vurugu za walowezi vimebaki kuwa kikwazo kikubwa kwa juhudi za amani ya kudumu

Afrika

cfa00af3 5afa 4c65 a60a 66319273e32d 1786990999540

Bunge la Senegal lapitisha sheria inayomtaka rais kutangaza mali zake anapochaguliwa na anapoondoka

Bunge la Senegal limepitisha sheria inayomtaka rais, spika, na waziri mkuu kutangaza mali zao wanapoingia kwenye uongozi na wakati wanapoondoka madarakani.

Hatma ya Tundu Lissu kujulikana Agosti 21

Lissu anakabiliwa na shtaka moja la uhaini kinyume na kifungu cha 39(2)(d) cha Sheria ya Kanuni ya Adhabu, linalohusishwa na maneno aliyodaiwa kuyatamka kuhusu kusudio la kuzuia Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025.

Mkosoaji wa serikali ya kijeshi ya Mali atupwa jela miaka 7

Toka iingie madarakani, serikali ya kijeshi ya nchi hiyo, imethibiti kwa kiasi kikubwa, uhuru wa kutoa maoni, ikiwemo na kufuta utaratibu wa vyama vya kisiasa.

Rais Hakainde Hichilema aongoza matokeo ya awali ya uchaguzi wa Zambia

Hata hivyo, ushindi wa Hichilema umepokelewa tofauti na waangalizi wa kimataifa, wakisema mchakato huo haukuwa wa haki.