Ulimwengu

2a4f2218 65ef 4243 884c c524173b0903 1787128031266

Ufaransa yapitisha sheria ya ‘kusaidia watu kufa’

Chini ya sheria hiyo, wagonjwa watakuwa na haki ya kupewa dawa maalumu ambayo itaongeza kasi ya kifo kwa mgonjwa husika, ili kumuondolea mateso.

Qatar yasisitiza utekelezwaji kamili wa kusitishwa mapigano Gaza

Qatar inaendelea kusisitiza mpango wa utekelezwaji kamili wa usitishwaji mapigano Gaza licha ya upinzani wa Israel, huku ikitoa wito wa kumaliza hali ya taharuki kote katika kanda na kuanzishwa tena kwa mazungumzo kati ya Marekani na Iran.

Iran yasema imeshinda katika vita na diplomasia baada ya Trump kuitaka ijisalimishe

Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, anasema Tehran ilipambana kwa masharti yake yenyewe na kuwalazimu wale waliotaka “isalimu amri bila masharti” kufanya mazungumzo, baada ya Donald Trump kuitaka Iran “kuinua bendera nyeupe.”

Afrika Kusini yataka viongozi kuungana kushughulikia changamoto ya uhamiaji

Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini amewaomba viongozi wa nchi za ukanda huo siku ya Jumatatu kushirikiana katika kukabiliana na suala la wahamiaji wanaokwenda Afrika Kusini.

Afrika

0617aedd bf8d 49cf bf4c 34a72915c00c 1787132383892

Takriban watu 24 wameuawa baada ya watu wenye silaha kushambulia Jimbo la Plateau Nigeria

Washambuliaji walichoma moto nyumba 38 katika jamii ya Bin-Per, Kaskazini ya kati mwa Nigeria.

Tanzania yatoa tahadhari ya mvua za El Nino

Kulingana na Mkurugenzi Mkuu wa TMA, Ladislaus Chang’a, mvua hizo zinatarajiwa kuanza katika wiki ya kwanza na ya pili ya mwezi Oktoba katika baadhi ya mikoa nchini humo.

Jaji wa Marekani aruhusu serikali kufuta hadhi ya kinga kwa raia wa Ethiopia

Jaji wa mahakama ya Boston nchini Marekani siku ya Jumanne aliruhusu serikali ya Trump kuwaondolea kinga ya kupinga kurudishwa kwao raia karibu 5,000 wa Ethiopia.

Zaidi ya watu 5,000 walioondolewa katika makazi yao wawasili mji mkuu wa jimbo la Blue Nile

Watu zaidi ya 5,000 walioondolewa katika makazi yao kutokana na mashambulizi ya wapiganaji wa RSF nchini Sudan wamewasili Damazin, mji mkuu wa jimbo la kusini mashariki la Blue Nile.