Ulimwengu

Ufaransa yapitisha sheria ya ‘kusaidia watu kufa’
Chini ya sheria hiyo, wagonjwa watakuwa na haki ya kupewa dawa maalumu ambayo itaongeza kasi ya kifo kwa mgonjwa husika, ili kumuondolea mateso.
Qatar inaendelea kusisitiza mpango wa utekelezwaji kamili wa usitishwaji mapigano Gaza licha ya upinzani wa Israel, huku ikitoa wito wa kumaliza hali ya taharuki kote katika kanda na kuanzishwa tena kwa mazungumzo kati ya Marekani na Iran.
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, anasema Tehran ilipambana kwa masharti yake yenyewe na kuwalazimu wale waliotaka “isalimu amri bila masharti” kufanya mazungumzo, baada ya Donald Trump kuitaka Iran “kuinua bendera nyeupe.”
Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini amewaomba viongozi wa nchi za ukanda huo siku ya Jumatatu kushirikiana katika kukabiliana na suala la wahamiaji wanaokwenda Afrika Kusini.
Afrika

Takriban watu 24 wameuawa baada ya watu wenye silaha kushambulia Jimbo la Plateau Nigeria
Washambuliaji walichoma moto nyumba 38 katika jamii ya Bin-Per, Kaskazini ya kati mwa Nigeria.
Kulingana na Mkurugenzi Mkuu wa TMA, Ladislaus Chang’a, mvua hizo zinatarajiwa kuanza katika wiki ya kwanza na ya pili ya mwezi Oktoba katika baadhi ya mikoa nchini humo.
Jaji wa mahakama ya Boston nchini Marekani siku ya Jumanne aliruhusu serikali ya Trump kuwaondolea kinga ya kupinga kurudishwa kwao raia karibu 5,000 wa Ethiopia.
Watu zaidi ya 5,000 walioondolewa katika makazi yao kutokana na mashambulizi ya wapiganaji wa RSF nchini Sudan wamewasili Damazin, mji mkuu wa jimbo la kusini mashariki la Blue Nile.
Michezo

















