UN yafunga ofisi ya haki za binadamu nchini Burkina Faso

Shughuli za ofisi hiyo zilisimamishwa na mamlaka mjini Ouagadougou miezi mitatu iliyopita kufuatia taarifa kwa vyombo vya habari kutoka Umoja wa Mataifa iliyoihimiza serikali ya nchi hiyo kuheshimu nafasi ya wananchi kutumia haki zao za kiraia.
3 Julai, 2026
Burkina Faso, Mali na Niger zimeanza rasmi mchakato wa kujiondoa ICC

Burkina Faso, Mali, na Niger zimeanzisha mchakato wa kujiondoa katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC), mahakama hiyo imesema katika taarifa.
2 Julai, 2026
Raia wa Algeria wachagua bunge jipya

Raia wa Algeria wamejitokeza kupiga kura siku ya Alhamisi kuchagua bunge jipya lenye wabunge 407.
2 Julai, 2026
Watu 5 wauawa katika mlipuko wa bomu nchini Syria na wengine 16 kujeruhiwa

Mamlaka zimesema mlipuko huo ulisababishwa na kilupizi kilichowekwa ndani ya mkahawa jijini Damascus, Syria.
2 Julai, 2026

16 wapoteza maisha, 20 wajeruhiwa ajali ya basi Afrika Kusini

Tanzania: Rais Samia aitaka TRA kukusanya kodi kwa haki

Ubelgiji yaiondoa Senegal Kombe la Dunia 2026

Mlipuko wa kipindupindu waua watu 120 Sudan tangu Mei 2026

Wasichana 8 wa shule nchini Kenya washtakiwa kwa mauaji ya wanafunzi wenzao katika moto wa bweni
1 Julai, 2026
Zaidi ya 900 wakamatwa wakati wa maandamano ya kupinga wahamiaji Afrika Kusini
Waandalizi wa maandamano hayo wanasema wataendelea na maandamano kwa muda wa miezi mitatu ijayo.

1 Julai, 2026
Basi la kuwarejesha raia wa Malawi kutoka Afrika Kusini laanguka na kuwajeruhi wengi
Abiria 11 waliojeruhiwa walipelekwa katika hospitali ya Musina kwa matibabu.

30 Juni, 2026
Maelfu waandamana dhidi ya wahamiaji Afrika Kusini
Maelfu ya watu wameandamana nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne wakidai wahamiaji wasio na nyaraka halali wafukuzwe nchini humo na sheria za uhamiaji zifanyiwe marekebisho ili ziwe kali zaidi.

30 Juni, 2026
Vyombo vya habari vilivyofungwa na jeshi la Uganda vinasema mazungumzo yanaendelea ili kufungua tena
Wanajeshi wameendelea kuwazuia wafanyakazi kuingia katika majengo ya kampuni hiyo mjini Kampala huku majadiliano yakiendelea.

30 Juni, 2026
Raia wa Afrika Magharibi waliofurushwa Marekani waishitaki Ghana kwa kukubali mpango wa nchi ya tatu
Kesi hiyo inadai Ghana inakiuka sheria za ndani na kikanda kwa “kuwezesha uondoaji kwa nchi zisizo salama.”

30 Juni, 2026
Kenya na Rwanda zatia saini mkataba wa usafirishaji na uhifadhi wa mafuta kujiepusha na misukosuko
Nchi za Afrika Mashariki zinajaribu kuimarisha ustahimilivu wa nishati kufuatia kuyumba kwa soko la mafuta duniani hali ambayo imefichua hatari ya nchi zinazotegemea uagizaji bidhaa kutoka nje

30 Juni, 2026
Afrika Kusini inarejesha makwao watu 25,000 kabla ya tarehe 30 Juni, muda wa mwisho waliowekewa
Shirika la kitaifa la kijasusi la Afrika Kusini lilisema Jumatatu kwamba zaidi ya watu 25,000 wamerejeshwa makwao katika wiki za hivi karibuni kabla ya maandamano yaliyopangwa ya kupinga wahamiaji.

29 Juni, 2026
Boko Haram yawateka wanafunzi waliokuwa wakifanya mitihani kaskazini mashariki mwa Nigeria
Wanamgambo waliovaa sare bandia za jeshi na za walinzi wa misitu washambulia shule ya sekondari, wakazi waeleza shirika la habari la Anadolu.

29 Juni, 2026
DRC yapiga marufuku mikusanyiko mikubwa ili kudhibiti kuenea kwa Ebola
DRC imepiga marufuku mikusanyiko ya watu wengi katika mji mkuu wa Kinshasa, na majimbo mengine matatu ili kupunguza kuenea kwa virusi vya Ebola, Wizara ya Mambo ya Ndani imesema siku ya Jumapili.

29 Juni, 2026
Afrika CDC, WHO yazindua jukwaa la pamoja kusaidia kukabiliana na Ebola
Kituo cha Afrika cha Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa (Africa CDC) kilitangaza uzinduzi wa jukwaa jipya Jumapili kusaidia dharura ya afya ya bara la janga la Ebola katika eneo hilo.



