9 Julai, 2026

Tanzania: Watu 130 wakamatwa kwa kuhamasisha vitendo vya kihalifu

Jeshi la Polisi nchini humo, limedai kubaini madai ya mipango mbalimbali ikiwemo kuchoma shule, kuharibu miundombinu ya umeme, kupora mali pamoja na kupanga kushambulia baadhi ya viongozi, wananchi na askari wa vyombo vya ulinzi na usalama.

f89ceaa2 1418 4f95 8c5d 46b7ece892cf 1783616594658

9 Julai, 2026

Marekani yashambulia daraja muhimu la reli linalounganisha Iran, China na Urusi

Shirika la Habari la Fars la Iran limesema shambulio hilo la kombora la masafa marefu limelenga daraja la reli la Ogtay Khan lililoko katika mkoa wa Golestan, kaskazini mashariki mwa Iran, mapema Alhamisi.

d04c581f 227d 4487 9f14 f36181a20367 1783601193775

9 Julai, 2026

Vifo vya Ebola vyafikia 600 nchini DRC huku maambukizi yakiripotiwa katika jimbo jipya

Idadi ya maambukizi iliyothibitishwa imefikia zaidi ya 1,700 huku maambukizi yakiendelea kusambaa katika jamii, kwa mujibu wa mamlaka za afya.

36bed206 2033 44c6 afa2 ca12b129b6bd 1783598505624

9 Julai, 2026

CCM na ACT-Wazalendo wamaliza mgogoro wa kisiasa Zanzibar

Hatua hii ya uwasilishwaji wa Tamko la Pamoja la Muafaka wa Kisiasa inaashiria kumalizika kwa mkwamo wa kisiasa.

d6673e2d e47f 49a5 9683 b8e627a20b22 1783592587448

9 Julai, 2026

Somalia yapongeza upatanishi wa Uturuki baada ya upinzani kukubali mazungumzo ya katiba

Serikali ya Somalia imeipongeza Wizara ya Mambo ya Nje ya Uturuki kwa juhudi zake za kufanikisha mazungumzo kuhusu Katiba na mfumo wa uchaguzi wa nchi hiyo.

dc718f0023bcf831b647871742a1af438295492b21b7e1cccd36c3824dbba1aa

9 Julai, 2026

Iran yaionya Marekani baada ya mashambulizi mapya, yasema ni Iran pekee itakayoamua hatima ya Hormuz

Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Bagher Qalibaf, amesema Iran haitasalimu amri mbele ya shinikizo la Marekani kufuatia mashambulizi mapya ya Marekani yaliyolenga maeneo ya kusini mwa Iran.

af2593f8a52f405e630358fa4f95509058ecdd9853b253520b3e3fa8182a845e

8 Julai, 2026

Tanzania yanunua zaidi ya tani 28 za dhahabu ili kuongeza akiba ya fedha za kigeni

Ununuzi huu ni sehemu ya mkakati mpana wa serikali wa kutofautisha mali za akiba kutoka kwa fedha za kigeni huku ukitoa usaidizi wa ziada kwa akiba ya kimataifa ya nchi.

9ae200508c834981775eb0991393993148185df361e8caaebca9fa36c3759e99

8 Julai, 2026

Vita vya Sudan: Watu 10 wameuawa katika shambulio la droni kwenye sherehe ya harusi

Mtandao wa Madaktari wa Sudan unasema wanawake watano wa familia moja ni miongoni mwa wahanga, na kuishutumu RSF kwa kulenga kimakusudi gari la raia.

ab42ade1f4d7e46ed254c6580f6fca5621cf26dca770f8880774fac1794b4175

8 Julai, 2026

Wafanyakazi wa afya nchini DR Congo wagoma huku vifo vya Ebola vikikaribia 600

Wafanyakazi wa afya wanaandamana kupinga kucheleweshwa kwa mishahara na marupurupu yao tangu mlipuko huo ulipotangazwa tarehe 15 Mei.

2026 07 06t051426z 1 lynxmpem650an rtroptp 3 health ebola usa

7 Julai, 2026

Rais Mnangagwa apitisha sheria ya kumuongezea muda wa kukaa madarakani

Hata hivyo, sheria hiyo ambayo inaondoa uchaguzi wa urais, imepingwa na vyama vya upinzani vya nchini Zimbabwe.

51524b3406d3beff4f91e123a4f745e0b4457573bf697764d1fd922b5ab623f8
Loading...