Wananchi wa Libya wanaandamana kwa sababu ya kuzorota kwa huduma za kijamii

Waandamanaji walichoma moto matairi ya magari katika maeneo ya Tajoura, Souq al-Jumaa, Al-Sarraj, Janzour, Zawiyat al-Dahmani na Al-Dhahra na kufunga barabara, imesema LANA.
27 Julai, 2026
Tanzania: Dhahabu yenye thamani ya Bilioni 1.2 yakamatwa jijini Dar es Salaam

Waziri wa Madini wa nchi hiyo, Anthony Mavunde amesema dhahabu hiyo ilikamatwa kupitia operesheni maalum ya vyombo vya dola na mamlaka za madini.
27 Julai, 2026
Trump aishukuru Morocco kwa kuipa barabara kuu jina lake

Rais wa Marekani amesema anatarajia kusafiri katika barabara hiyo mpya iliyojengwa ‘pengine hivi karibuni’
27 Julai, 2026
Tanzania: Nchimbi akagua uwanja wa AFCON 2027

Michuano ya AFCON 2027, maarufu kama 2027 Pamoja AFCON, yanaadaliwa kwa pamoja na Tanzania, Kenya, na Uganda, yakitarajiwa kuanza kuanzia Juni 19 hadi Julai 17, 2027.
27 Julai, 2026

Watumishi wa afya DRC wagoma huku maambukizi ya Ebola yakiongezeka

Jeshi la Sudan lakomboa maeneo zaidi yaliyokuwa chini ya udhibiti wa RSF

Kutoka kwa Kaunda hadi Hichilema: Marais wa Zambia tangu uhuru

Kauli ya Makamu wa Rais Tanzania kuhusu Katiba mpya ilivyoibua mjadala

Uganda yaanza rasmi kampeni ya usafi wa kila mwezi
24 Julai, 2026
Mahakama ya Afrika Kusini yasitisha kwa muda mchakato wa kumng’oa madarakani Rais Ramaphosa
Ramaphosa, anatuhumiwa kutofichua kwa polisi na mamlaka ya kodi tukio la uvamizi na wizi wa mwaka 2020, ambapo Dola 580,000 za Marekani ziliibwa katika shamba lake la kifahari la Phala Phala.

24 Julai, 2026
Kiwanda cha Dangote chabadili maamuzi kuhusu uuzwaji mafuta kwa sarafu ya Dola
Julai 14 mwaka huu, kiwanda hicho nchini Nigeria kilianza kuuza bidhaa zake za mafuta kwa Dola za Marekani katika soko la ndani, jambo ambalo limesababisha mjadala mkubwa.

23 Julai, 2026
Tanzania: Wilaya ya Temeke yaongoza kwa uraibu wa dawa za heroin
Temeke ndiyo wilaya yenye idadi kubwa zaidi ya watu walioathirika na uraibu wa dawa za kulevya, ikifuatiwa na Kinondoni, Ilala, Ubungo na Kigamboni.

23 Julai, 2026
Uingereza yasitisha mazoezi yake ya kijeshi Kenya baada ya kunyimwa leseni
Kupitia taarifa yake ya Alhamisi, Wizara ya Ulinzi ya Uingereza ilioneshwa kusikitishwa na maamuzi hayo, ikisisitiza kuwa itaendelea kudumisha uhusiano mwema na Kenya.

23 Julai, 2026
Mali, Burkina Faso na Niger zaanza harakati za kuwania uenyeji wa AFCON 2032
Nchi ya Mali, Niger na Burkina Faso, ambazo ni washirika katika eneo la Sahel, zimewasilisha ombi la pamoja la kuandaa michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) mwaka 2032.

22 Julai, 2026
Sudan yaripoti maambukizi yanayoshukiwa kuwa ya kipindupindu katika majimbo manne
Wizara ya Afya ya Sudan imesema maambukizi yanayoshukiwa kuwa ya kipindupindu yamegunduliwa katika majimbo ya Kordofan Kaskazini, Kordofan Magharibi, Darfur Kusini na Khartoum.

22 Julai, 2026
Misri yaishutumu Ethiopia kwa ‘kuingiza isiasa’ katika uendeshaji wa Bwawa la Mto Nile
Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri, Badr Abdelatty, amesema usalama wa maji ni suala la “uhai wa taifa,” akihimza makubaliano ya kisheria, huku akidai kuwa uendeshaji wa upande mmoja wa bwawa hilo unaathiri upatikanaji wa maji nchini Misri na Sudan.

22 Julai, 2026
Maambukizi ya Ebola DRC yavuka 2,400; Taasisi ya Afya Afrika yataka hatua za haraka kuchukuliwa
Mkurugenzi Mkuu wa Africa CDC asema wakati wa kuchukua hatua ni sasa ili kuzuia virusi kuenea kwa kasi

21 Julai, 2026
Tanzania yawaasa wasanii na watengeneza maudhui kulinda maadili ya jamii
Serikali ya Tanzania imesema itaendelea kuweka mazingira rafiki kwa sekta ya ubunifu kupitia mikopo na programu mbalimbali za kuwawezesha wasanii na wabunifu nchini.

21 Julai, 2026
Chama cha Wanasheria nchini Kenya kimetangaza kususia huduma za mahakama
Jaji Mkuu wa Kenya, Martha Koome ni miongoni mwa majaji watakaoathiriwa na ususiaji huo wa kitaifa unaoanza Jumatano, Julai 22.



