24 Julai, 2026

Mahakama ya Afrika Kusini yasitisha kwa muda mchakato wa kumng’oa madarakani Rais Ramaphosa

Ramaphosa, anatuhumiwa kutofichua kwa polisi na mamlaka ya kodi tukio la uvamizi na wizi wa mwaka 2020, ambapo Dola 580,000 za Marekani ziliibwa katika shamba lake la kifahari la Phala Phala.

41bc5426 d7a6 4a1f 907f 32f79969dc70 1784901180823

24 Julai, 2026

Kiwanda cha Dangote chabadili maamuzi kuhusu uuzwaji mafuta kwa sarafu ya Dola

Julai 14 mwaka huu, kiwanda hicho nchini Nigeria kilianza kuuza bidhaa zake za mafuta kwa Dola za Marekani katika soko la ndani, jambo ambalo limesababisha mjadala mkubwa.

98c5d9fd b7b6 47d0 a0ba 85c3c8592e5c 1784838508500

23 Julai, 2026

Tanzania: Wilaya ya Temeke yaongoza kwa uraibu wa dawa za heroin

Temeke ndiyo wilaya yenye idadi kubwa zaidi ya watu walioathirika na uraibu wa dawa za kulevya, ikifuatiwa na Kinondoni, Ilala, Ubungo na Kigamboni.

132b0a88 ac8f 43ad b98b 25cd976163df 1784837216481

23 Julai, 2026

Uingereza yasitisha mazoezi yake ya kijeshi Kenya baada ya kunyimwa leseni

Kupitia taarifa yake ya Alhamisi, Wizara ya Ulinzi ya Uingereza ilioneshwa kusikitishwa na maamuzi hayo, ikisisitiza kuwa itaendelea kudumisha uhusiano mwema na Kenya.

21a8b980 9fff 41f9 acc2 ba5bfb719826 1784835481010 main

23 Julai, 2026

Mali, Burkina Faso na Niger zaanza harakati za kuwania uenyeji wa AFCON 2032

Nchi ya Mali, Niger na Burkina Faso, ambazo ni washirika katika eneo la Sahel, zimewasilisha ombi la pamoja la kuandaa michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) mwaka 2032.

86058df1 c19e 4896 90c0 1e887d238012 1784791234576

22 Julai, 2026

Sudan yaripoti maambukizi yanayoshukiwa kuwa ya kipindupindu katika majimbo manne

Wizara ya Afya ya Sudan imesema maambukizi yanayoshukiwa kuwa ya kipindupindu yamegunduliwa katika majimbo ya Kordofan Kaskazini, Kordofan Magharibi, Darfur Kusini na Khartoum.

464e1696 0528 491a b80f d4b351f71348 1784721828480

22 Julai, 2026

Misri yaishutumu Ethiopia kwa ‘kuingiza isiasa’ katika uendeshaji wa Bwawa la Mto Nile

Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri, Badr Abdelatty, amesema usalama wa maji ni suala la “uhai wa taifa,” akihimza makubaliano ya kisheria, huku akidai kuwa uendeshaji wa upande mmoja wa bwawa hilo unaathiri upatikanaji wa maji nchini Misri na Sudan.

b96e087c da38 4130 8639 0575e6f2cfff 1784714862547

22 Julai, 2026

Maambukizi ya Ebola DRC yavuka 2,400; Taasisi ya Afya Afrika yataka hatua za haraka kuchukuliwa

Mkurugenzi Mkuu wa Africa CDC asema wakati wa kuchukua hatua ni sasa ili kuzuia virusi kuenea kwa kasi

81d78016 c42b 49bc a4f6 bc2f95bb890c 1784705976228

21 Julai, 2026

Tanzania yawaasa wasanii na watengeneza maudhui kulinda maadili ya jamii

Serikali ya Tanzania imesema itaendelea kuweka mazingira rafiki kwa sekta ya ubunifu kupitia mikopo na programu mbalimbali za kuwawezesha wasanii na wabunifu nchini.

1c50874c 2801 4ee0 8054 5dbd0d15a7a7 1784657922717

21 Julai, 2026

Chama cha Wanasheria nchini Kenya kimetangaza kususia huduma za mahakama

Jaji Mkuu wa Kenya, Martha Koome ni miongoni mwa majaji watakaoathiriwa na ususiaji huo wa kitaifa unaoanza Jumatano, Julai 22.

b759b00d 3742 46e1 b7e6 b26ffefac1ca 1784619892765
Loading...