26 Juni, 2026

Tanzania kushuhudia punguzo la bei ya mafuta ifikapo mwezi Julai

Hali hiyo inatokana na kushuka kwa bei ya mafuta ghafi katika soko la dunia kufuatia kusitishwa kwa mapigano ya Mashariki ya Kati.

5ef92a1ed3182e8fc1631c5d115ed7e8e450a0d9ff7d420e2aa770e1a17e070d

25 Juni, 2026

Wanigeria 12 watupwa jela nchini Ujerumani kwa kuendesha mtandao wa utapeli wa kimapenzi

Raia hao wa Nigeria wanadaiwa kupatikana na hatia ya kuendesha mtandao huo wa kimataifa wenye kuwalaghai watu kimapenzi na baadaye kuwatapeli fedha.

159a290503f3878fa711d2f2b52c71dff4bc0f26a650444d2053de0c1dd4d280

25 Juni, 2026

Polisi nchini Kenya wafunga sehemu ya Nairobi kutokana na mikusanyiko ya kuadhimisha maandamano

Polisi waliweka vizuizi katika barabara kadhaa na kuzuia magari kuingia katika baadhi ya barabara za jiji la Nairobi.

d91adfedb14422d2ec6a2fb370439fc168ae940db94310d7ecccfd86814d5e9e

25 Juni, 2026

Zimbabwe: Bunge la Seneti lapitisha muswada wa kumbakisha Mnangagwa madarakani hadi 2030

Jumla ya maseneta 75 walipiga kura ya ndio, kuunga mkono muswada huo ambao utasogeza mbele uchaguzi ujao kutoka mwaka 2028 hadi 2030, na hivyo kumuongezea Mngangagwa miaka miwili zaidi ya kukaa madarakani.

73cb64a2a13a68597e4b69e98e527b1876f51c63fa0d17bb6b3e5e122bee9361

24 Juni, 2026

Polisi nchini Kenya wadai hawajapokea notisi ya maandamano ya GenZ ya June 25

Kamanda wa polisi Issa Mohamud alionya kwamba wakati Wakenya wana haki ya kikatiba ya kukusanyika na kuandamana kwa amani, mamlaka hazitavumilia vitendo vya uhalifu kama vile uporaji au uharibifu wa mali kama inavyotokea awali.

c6ecbb680a3acc9f467bcdb8ec57f52df04f5b5105ea42da3b332453f7cc2442

24 Juni, 2026

Niger yawasilisha ombi la kujiondoa katika Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu ICC

Lengo la Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu ni kuwashtaki wahusika wa uhalifu mkubwa zaidi.

781b953eba264abc37f752e6898e5dfdfe60cf512e6fe9c409a5cc8a00ca2400

24 Juni, 2026

Polisi wa Wanyamapori nchini Kenya wamewakamata washukiwa 3 wa ujangili wakiwa na meno 6 ya tembo

Kenya imeandikisha mafanikio makubwa katika kudhibiti hasara ya miongo kadhaa ya tembo iliyosababishwa na ujangili.

987682ef92751d858d89bef3ddeb3198f04ec7768beed1e6f64fc323ee2032cd

24 Juni, 2026

Ufaransa yarekodi maambukizi ya kwanza ya Ebola kwa daktari aliyerejea kutoka DR Congo

Mamlaka zinasema mfumo wa ufuatiliaji umewekwa kwa wafanyakazi wa misaada wa Ufaransa wanaorejea katika eneo la kitaifa.

cd5cd62c5e2e539e525b402e36f868d9c163c8881933469a6e20e1cef876ee07

24 Juni, 2026

Libya yapiga marufuku kuingia kwa raia wa mataifa manne ya Afrika

Serikali ya mashariki ya Libya imepiga marufuku kuingia kwa raia wa Sudan, Eritrea, Ethiopia na Somalia

126248f342b76da9b4f56b0092de08497febb4b28c30b6a934f1845ba3e4f282

24 Juni, 2026

Kenya yatia saini mkataba wa dola bilioni 1.2 na kampuni ya China kwa upanuzi wa uwanja wa ndege

Kenya inalenga kuendeleza hadhi yake ya kuwa sehemu muhimu ya usafiri wa anga katika kanda.

c88427facc4d76d84ba7d5c1033faba415f8b590549e695891df61d12eab7da5
Loading...