Ulimwengu

9fa874ee 691c 4904 ae97 1f7f965b43cb 1786735821620

Trump apuuzia hali za afya za wanajeshi wa Marekani wanaopigana na Iran

Vyombo vya habari vya Marekani, wakiwemo wataalamu wa masuala ya kivita, wamewanukuu ndugu za wanajeshi hao, wakisema kuwa hali za afya za wapiganaji hao zinazidi kudhoofika.

Colombia: Idadi ya waliokufa kwa tetemeko yafikia 285

Kulingana na Idara ya taifa ya majanga ya nchini humo (UNGRD), hadi kufikia sasa, watu 3,975 wamejeruhiwa na wengine 379 hawajulikani walipo.

Hispania yaokoa mabaki ya wafalme wa kale

Uokoaji huo, umefanyika wakati wa eneo la monasteri hiyo, lilipokumbwa na moto nyika unaoendelea maeneo tofauti ya nchi hiyo.

CIA yatilia shaka madai ya Israel ya kushambuliwa kwa Rais Trump

Hapo awali, jarida hilo lilidai kuwa, Rais Trump alihamishwa kwenye ndege nyingine badala ya Air Force One, baada ya kuwepo na hofu ya usalama kwenye ndege mpya ya Boeing 747-8 iliyozawadiwa Marekani na Qatar.

Afrika

ecdee377 f031 4813 b077 da55dc03c068 1786647660852

Zambia yasitisha zoezi la kuhesabu kura baada ya vurugu

Rais Hichilema katika ujumbe wake kupitia ukurasa wa X amewaomba wananchi “kuwa wavumilivu, na wazalendo.

Ugonjwa wa Ebola wazidi kusambaa nchini DRC

Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO), mlipuko huu unaenea kwa kasi zaidi kuliko milipuko yote ya Ebola iliyowahi kutokea, na tayari unachukuliwa kuwa mkubwa zaidi katika historia ya taifa hilo la Afrika ya Kati.

Zimbabwe yatangaza hali ya dharura kufuatia ajali ya kivuko huku idadi ya waliofariki ikifika 44

Idara ya kukabiliana na Majanga ya Zimbabwe (CPU) siku ya Jumatano ilisema kuwa kivuko hicho kilikuwa na abiria wasiopungua 114.

Jeshi la Sudan latibua mashambulizi ya ndege za RSF zilizolenga Khartoum na Mto Nile

Mashambulio ya hivi karibuni ya ndege zisizo na rubani za RSF yamelenga maeneo ya kijeshi na miundombinu muhimu katika miji inayodhibitiwa na jeshi, mbali na viwanja vya mapigano katika maeneo kadhaa nchini Sudan.