Shughuli za Uwanja wa ndege wa Cape Town zatatizika baada ya ndege ya Kenya Airways kupata hitilafu

Kutokana na hali hiyo, ndege zote zinazotarajiwa kuwasili katika uwanja huo zimeelekezwa kwenye viwanja vingine vya ndege.
4 Agosti, 2026
Rais Ruto wa Kenya awajumuisha rasmi wazee wa vijijini 106,000 katika mfumo wa utawala wa kitaifa

Katika hotuba yake kwa wazee 10,000 aliowapokea Ikulu siku ya Jumanne, Ruto alisema mpango huo unawaingiza rasmi katika muundo wa utawala wa serikali, huku ukitambua nafasi yao kama kiungo muhimu kati ya wananchi na serikali.
4 Agosti, 2026
WHO yaomba msaada wa ziada kukabiliana na mlipuko wa Ebola nchini DRC

Mlipuko wa Ebola, ambao unakuwa ni wa 17 kutokea katika historia ya nchi hiyo, ulianza kuripotiwa Mei 15, baada ya kutokea vifo kadhaa katika eneo la Ituri.
4 Agosti, 2026
Kenya yazindua bima ya lazima kwa watalii

Mpangilio huo, unahusisha gharama za matibabu ya walau Dola 20,000, Dola 25,000 kwa ajili ya uokoaji wa dharura, Dola 5,000 za kurudishwa nyumbani, Dola 1,000 kwa ajili ya huduma za afya ya akili na Dola 300 kwa ajili ya madawa.
4 Agosti, 2026

14 wafariki katika maporomoko ya ardhi nchini Ethiopia

Joto kali laua simba watatu nchini Japan

Dar kuwaleta pamoja wanahisa wa Afrika

Naibu Waziri Mkuu wa Somalia aukana uraia wa Kenya kufuatia mzozo katika uwanja wa ndege

Morocco yatangaza hali ya dharura mikoani huku moto ukisambaa misituni
2 Agosti, 2026
WHO yatoa wito wa mifumo imara ya afya ili kuimarisha unyonyeshaji watoto
Shirika la afya duniani linasema kwamba unyonyeshaji unasalia kuwa mojawapo ya njia bora zaidi za kulinda afya na ukuaji wa watoto wachanga huku pia ukitoa faida kubwa za kiafya kwa akina mama.

2 Agosti, 2026
Wafungwa 50 watoroka kutoka gereza la Luebo DRC
Angalau wafungwa 50 walitoroka kutoka gereza moja katika jimbo la Kasai nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, maafisa walisema.

2 Agosti, 2026
Idadi ya waliofariki Ceuta yapanda hadi 72 huku zaidi ya wahamiaji 48,000 wakirejea Morocco
Idadi ya vifo kutokana na mzozo wa wahamiaji katika eneo la Hispania la Ceuta imefikia 72, huku zaidi ya wahamiaji 48,300 wakirejea nchini Morocco.

2 Agosti, 2026
Rais Samia Suluhu Hassan aihimiza Afrika kuondoa utegemezi wa huduma za afya kwa nchi za nje
Akizungumza wakati wa uzinduzi wa Hospitali ya Rufaa ya Julius Nyerere jijini Luanda, Angola, Rais Samia alisema kituo hicho kipya kinapaswa kuwa “kitovu cha umahiri katika tiba, mafunzo na utafiti.”

1 Agosti, 2026
Tanzania yanyakua ubalozi wa Afrika katika shindano la urembo la ‘Miss Supranational 2026’
Ushindi wa Tracy Nabukeera kama Balozi wa Bara la Afrika unaonekana kuimarisha hadhi ya Tanzania katika mashindano ya urembo ya kimataifa na kuangazia ushiriki wa nchi hiyo unaozidi kukua katika jukwaa la dunia.

1 Agosti, 2026
Marekani kufanya sharti la amana ya viza ya dola 20,000 kwa wageni kutoka Afrika kuwa la kudumu
Kulingana na rasimu ya taarifa, Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani inasema kuwa mpango huo unahakikisha kwa ufanisi uzingatiaji wa masharti ya viza.

1 Agosti, 2026
Mlipuko wa hivi karibuni wa Ebola nchini DRC ni wa pili kwa ukubwa duniani kuwahi kurekodiwa
Ni mlipuko wa mwaka 2014–2016 katika Afrika Magharibi pekee — ambao uliwaambukiza zaidi ya watu 28,000 na kusababisha vifo vya zaidi ya watu 11,000 — ndio uliokuwa mkubwa zaidi.

1 Agosti, 2026
Sera mpya ya Marekani: Raia wa Malawi lazima wasafiri hadi Kenya kupata viza
Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani imesema itasitisha huduma za kawaida za viza katika miji mingi barani Afrika, na kuwaelekeza waombaji kwenye vituo maalum vya kikanda.

1 Agosti, 2026
Wanamgambo wa RSF wanaojisalimisha wakabidhi vifaa vya kijeshi kwa jeshi la Sudan
Kitengo hicho ni cha ‘Kundi la 26’ la Vikosi vya Msaada wa Haraka, Shirika la Habari la Sudan linasema.

31 Julai, 2026
Rais wa Liberia Boakai awafuta kazi maafisa baada ya kupatikana kwa dawa za kulevya
Kufutwa huko kwa idadi kubwa ya maafisa kunafuatia kupatikana kwa dawa za kokeni zenye thamani ya dola milioni 317.



