Ulimwengu

e6025ac8 9546 4157 965f 31df5e2b8568 1786954994249

Trump afurahishwa na mkataba wa ulinzi wa Makkah uliosainiwa na Uturuki, Pakistan na Saudi Arabia

Rais wa Marekani amepongeza makubaliano hayo muhimu kama hatua kubwa ya kwanza kuelekea ushirikiano mkubwa zaidi wa kikanda na ulinzi imara wa pamoja katika Mashariki ya Kati, huku akiwapongeza viongozi wa nchi hizo tatu.

Watu 9 wafariki dunia wakimuabudu ‘mungu’ wa kihindu nchini India

Tukio hilo limetokea ndani ya hekalu la Ashok Dham liloloko katika wilaya ya Lakhisarai, wakati wakitoa ibada kwa mungu wa kihindu, maarufu kama Shiva.

Papa asukuma suluhisho la majimbo mawili katika wito wa kukomesha vurugu dhidi ya Wapalestina

Wito waa Papa Leo unaongeza shinikizo la kimataifa kuhusu jinsi Wapalestina wanavyotendewa katika Ukingo wa Magharibi, ambapo upanuzi wa makazi na vurugu za walowezi vimebaki kuwa kikwazo kikubwa kwa juhudi za amani ya kudumu

Kiongozi wa Hamas anaelekea Cairo kwa mazungumzo ya kusitisha mapigano Gaza

Khalil al-Hayya anaongoza ujumbe wa ngazi ya juu wa Hamas kwa ajili ya mazungumzo na maafisa wa Misri kuhusu juhudi za kuimarisha makubaliano ya kusitisha mapigano huko Gaza.

Afrika

bf9f3555 17fc 450e b5c2 a3cda09b3ed6 1786971744621

Hatma ya Tundu Lissu kujulikana Agosti 21

Lissu anakabiliwa na shtaka moja la uhaini kinyume na kifungu cha 39(2)(d) cha Sheria ya Kanuni ya Adhabu, linalohusishwa na maneno aliyodaiwa kuyatamka kuhusu kusudio la kuzuia Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025.

Mkosoaji wa serikali ya kijeshi ya Mali atupwa jela miaka 7

Toka iingie madarakani, serikali ya kijeshi ya nchi hiyo, imethibiti kwa kiasi kikubwa, uhuru wa kutoa maoni, ikiwemo na kufuta utaratibu wa vyama vya kisiasa.

Rais Hakainde Hichilema aongoza matokeo ya awali ya uchaguzi wa Zambia

Hata hivyo, ushindi wa Hichilema umepokelewa tofauti na waangalizi wa kimataifa, wakisema mchakato huo haukuwa wa haki.

Mamlaka za Marekani zinasitisha ulinzi dhidi ya kufukuzwa kwa Wasomali na raia wa Sudan Kusini

Jaji wa mahakama ya kitaifa amefungua njia kwa utawala wa Rais wa Marekani Donald Trump kuondoa kinga ya kisheria dhidi ya kufukuzwa nchini kwa karibu Wasomali 1,100.