Ulimwengu

Trump afurahishwa na mkataba wa ulinzi wa Makkah uliosainiwa na Uturuki, Pakistan na Saudi Arabia
Rais wa Marekani amepongeza makubaliano hayo muhimu kama hatua kubwa ya kwanza kuelekea ushirikiano mkubwa zaidi wa kikanda na ulinzi imara wa pamoja katika Mashariki ya Kati, huku akiwapongeza viongozi wa nchi hizo tatu.
Tukio hilo limetokea ndani ya hekalu la Ashok Dham liloloko katika wilaya ya Lakhisarai, wakati wakitoa ibada kwa mungu wa kihindu, maarufu kama Shiva.
Wito waa Papa Leo unaongeza shinikizo la kimataifa kuhusu jinsi Wapalestina wanavyotendewa katika Ukingo wa Magharibi, ambapo upanuzi wa makazi na vurugu za walowezi vimebaki kuwa kikwazo kikubwa kwa juhudi za amani ya kudumu
Khalil al-Hayya anaongoza ujumbe wa ngazi ya juu wa Hamas kwa ajili ya mazungumzo na maafisa wa Misri kuhusu juhudi za kuimarisha makubaliano ya kusitisha mapigano huko Gaza.
Afrika

Hatma ya Tundu Lissu kujulikana Agosti 21
Lissu anakabiliwa na shtaka moja la uhaini kinyume na kifungu cha 39(2)(d) cha Sheria ya Kanuni ya Adhabu, linalohusishwa na maneno aliyodaiwa kuyatamka kuhusu kusudio la kuzuia Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025.
Toka iingie madarakani, serikali ya kijeshi ya nchi hiyo, imethibiti kwa kiasi kikubwa, uhuru wa kutoa maoni, ikiwemo na kufuta utaratibu wa vyama vya kisiasa.
Hata hivyo, ushindi wa Hichilema umepokelewa tofauti na waangalizi wa kimataifa, wakisema mchakato huo haukuwa wa haki.
Jaji wa mahakama ya kitaifa amefungua njia kwa utawala wa Rais wa Marekani Donald Trump kuondoa kinga ya kisheria dhidi ya kufukuzwa nchini kwa karibu Wasomali 1,100.
Michezo

















