Ulimwengu

84b339ad 7e95 4cb3 8c8a aa1fbd3c40d5 1786781161128

Trump aapa kutangaza Mlango-Bahari wa Hormuz ‘eneo la Marekani’ Iran yatupilia mbali vitisho hivo

Rais wa Marekani Donald Trump anawahimiza Wamarekani kukubali bei ya juu ya mafuta, huku akiongeza kuwa hivi karibuni atatangaza Mlango-Bahari wa Hormuz kuwa eneo la Marekani. Iran inajibu kwa kusema haitishwi na vitisho vya Marekani.

Trump apuuzia hali za afya za wanajeshi wa Marekani wanaopigana na Iran

Vyombo vya habari vya Marekani, wakiwemo wataalamu wa masuala ya kivita, wamewanukuu ndugu za wanajeshi hao, wakisema kuwa hali za afya za wapiganaji hao zinazidi kudhoofika.

Colombia: Idadi ya waliokufa kwa tetemeko yafikia 285

Kulingana na Idara ya taifa ya majanga ya nchini humo (UNGRD), hadi kufikia sasa, watu 3,975 wamejeruhiwa na wengine 379 hawajulikani walipo.

Hispania yaokoa mabaki ya wafalme wa kale

Uokoaji huo, umefanyika wakati wa eneo la monasteri hiyo, lilipokumbwa na moto nyika unaoendelea maeneo tofauti ya nchi hiyo.

Afrika

81764d0b 9e4a 4220 905a 1ad2cf84af67 1786870769541

Polisi wa Morocco wazuia wimbi jipya la wahamiaji kuelekea Ceuta ya Hispania

Mamlaka zinapeleka maafisa wa ziada wa usalama na ndege zisizo na rubani kufuatia wito kwenye mitandao ya kijamii wa kuvuka kwa wingi kuingia Ceuta na Melilla.

Mkuu wa jeshi la Sudan atangaza Khartoum kuwa salama, asema jeshi ni mali ya Wasudan wote.

Abdel Fattah al-Burhan anawahimiza Wasudan wote kurejea nchini.

Mtu mmoja hufariki dunia kila baada ya dakika 30 kutokana na Ebola nchini DRC: UN

Afisa mkuu wa Umoja wa Mataifa anayeshughulikia masuala ya kibinadamu anasema “Ebola inashindikana” nchini DRC na kutoa wito wa kuchukuliwa hatua zaidi za kimataifa.

Tanzania yaingia mkataba mpya wa kufadhili matibabu ya moyo kwa watoto zaidi ya 300

Ushirikiano huo, chini ya Taasisi ya Jakaya Kikwete (JKCI), utahusisha huduma mbalimbali maalum za moyo ikiwemo upasuaji, taratibu za kuziba matundu au kasoro za moyo