Ulimwengu

4714db72 5a10 46e6 b2fe a16fa4bd2bba 1787311778532

Japan yamnyonga mtu aliyeua watu 5

Takami alikutwa na hatia ya kuchoma moto jengo moja nchini humo, tukio lililotokea Julai 5, 2009.

Waziri Mkuu wa zamani wa Pakistan arudishwa jela baada ya kutoka hospitali

Siku ya Jumanne, Mahakama Kuu ya nchi hiyo, iliamuru Khan, mwenye umri wa miaka 73, apelekwe katika hospitali binafsi ya Shifa iliyoko jijini Islamabadm kwa ajili ya kuchukuliwa vipimo vya afya.

Uko pamoja nasi au dhidi yetu: Marekani yataka ushirikiano wa China dhidi ya Iran

Waziri wa Hazina wa Marekani, Scott Bessent, amesema nchi nyingine zinapaswa kuunga mkono hatua zinazochukuliwa na Marekani au zikabiliwe na matokeo.

Upinzani Kenya wataka ICC ichunguze ghasia za kisiasa na uhalifu wa magenge

Martha Karua amesema ICC inapaswa kuangalia upya mashtaka yaliyowahi kuwasilishwa dhidi ya Rais Ruto na kutathmini iwapo kesi hiyo inapaswa kufunguliwa tena.

Afrika

4d84e4ae 4b98 4ac1 854b e3a5e82708bc 1787315412716

Kiongozi wa upinzani Zambia ahitajika polisi kwa mahojiano

Mundubile na Zulu wamekanusha madai ya polisi kwamba muungano wao ulihusika katika uasi au shughuli za wanamgambo.

Mashambulizi ya RSF yaua watu 6, zaidi ya 1,000 wafurushwa Sudan: Ripoti

Mashambulizi katika vijiji 2 kusini-magharibi mwa mji mkuu wa Kordofan Kaskazini yasababisha makumi ya watu kuhama makazi yao.

Tanzania: Tundu Lissu ana kesi ya kujibu

Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu amekutwa na kesi ya kujibu katika kesi ya uhaini inayomkabili inayoendelea katika Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala ya Dar es Salaam.

Watu wasiopungua 40 wafariki katika ajali ya boti jimbo la Sokoto nchini Nigeria

Boti lilizama katika jimbo la kaskazini magharibi la Sokoto nchini Nigeria, miili 40 ya watoto imepatikana kufikia sasa, afisa mmoja wa eneo hilo alisema siku ya Alhamisi.