Ulimwengu

Japan yamnyonga mtu aliyeua watu 5
Takami alikutwa na hatia ya kuchoma moto jengo moja nchini humo, tukio lililotokea Julai 5, 2009.
Siku ya Jumanne, Mahakama Kuu ya nchi hiyo, iliamuru Khan, mwenye umri wa miaka 73, apelekwe katika hospitali binafsi ya Shifa iliyoko jijini Islamabadm kwa ajili ya kuchukuliwa vipimo vya afya.
Waziri wa Hazina wa Marekani, Scott Bessent, amesema nchi nyingine zinapaswa kuunga mkono hatua zinazochukuliwa na Marekani au zikabiliwe na matokeo.
Martha Karua amesema ICC inapaswa kuangalia upya mashtaka yaliyowahi kuwasilishwa dhidi ya Rais Ruto na kutathmini iwapo kesi hiyo inapaswa kufunguliwa tena.
Afrika

Mashambulizi ya RSF yaua watu 6, zaidi ya 1,000 wafurushwa Sudan: Ripoti
Mashambulizi katika vijiji 2 kusini-magharibi mwa mji mkuu wa Kordofan Kaskazini yasababisha makumi ya watu kuhama makazi yao.
Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu amekutwa na kesi ya kujibu katika kesi ya uhaini inayomkabili inayoendelea katika Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala ya Dar es Salaam.
Boti lilizama katika jimbo la kaskazini magharibi la Sokoto nchini Nigeria, miili 40 ya watoto imepatikana kufikia sasa, afisa mmoja wa eneo hilo alisema siku ya Alhamisi.
Chama cha Wafanyakazi wa Migodi nchini Ghana kinasema fedha zilizoko kwenye mfuko wa akiba na za kiinua mgongo ni za wafanyakazi zaidi ya 19,000.
Michezo

















