Ulimwengu

1df459a3 70dc 4c8e 9472 34759e1f7b21 1787301276884

Uko pamoja nasi au dhidi yetu: Marekani yataka ushirikiano wa China dhidi ya Iran

Waziri wa Hazina wa Marekani, Scott Bessent, amesema nchi nyingine zinapaswa kuunga mkono hatua zinazochukuliwa na Marekani au zikabiliwe na matokeo.

Upinzani Kenya wataka ICC ichunguze ghasia za kisiasa na uhalifu wa magenge

Martha Karua amesema ICC inapaswa kuangalia upya mashtaka yaliyowahi kuwasilishwa dhidi ya Rais Ruto na kutathmini iwapo kesi hiyo inapaswa kufunguliwa tena.

Ufaransa yapitisha sheria ya ‘kusaidia watu kufa’

Chini ya sheria hiyo, wagonjwa watakuwa na haki ya kupewa dawa maalumu ambayo itaongeza kasi ya kifo kwa mgonjwa husika, ili kumuondolea mateso.

Qatar yasisitiza utekelezwaji kamili wa kusitishwa mapigano Gaza

Qatar inaendelea kusisitiza mpango wa utekelezwaji kamili wa usitishwaji mapigano Gaza licha ya upinzani wa Israel, huku ikitoa wito wa kumaliza hali ya taharuki kote katika kanda na kuanzishwa tena kwa mazungumzo kati ya Marekani na Iran.

Afrika

e0cdcad9 5692 4e3c 998f 4e8be3443c77 1787301453638

Tanzania: Tundu Lissu ana kesi ya kujibu

Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu amekutwa na kesi ya kujibu katika kesi ya uhaini inayomkabili inayoendelea katika Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala ya Dar es Salaam.

Watu wasiopungua 40 wafariki katika ajali ya boti jimbo la Sokoto nchini Nigeria

Boti lilizama katika jimbo la kaskazini magharibi la Sokoto nchini Nigeria, miili 40 ya watoto imepatikana kufikia sasa, afisa mmoja wa eneo hilo alisema siku ya Alhamisi.

Wachimba migodi Ghana wataka fedha zao $34.5 milioni zilokwama kutolewa

Chama cha Wafanyakazi wa Migodi nchini Ghana kinasema fedha zilizoko kwenye mfuko wa akiba na za kiinua mgongo ni za wafanyakazi zaidi ya 19,000.

Kundi la M23 laweka vikwazo vipya vya usafiri DRC kukabiliana na Ebola

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa Jumatano usiku, huduma za usafiri wa teksi za pamoja katika barabara inayounganisha Goma na Kirumba zitasimamishwa kwa mwezi mmoja kuanzia Jumamosi.