Ulimwengu

Upinzani Kenya wataka ICC ichunguze ghasia za kisiasa na uhalifu wa magenge
Martha Karua amesema ICC inapaswa kuangalia upya mashtaka yaliyowahi kuwasilishwa dhidi ya Rais Ruto na kutathmini iwapo kesi hiyo inapaswa kufunguliwa tena.
Chini ya sheria hiyo, wagonjwa watakuwa na haki ya kupewa dawa maalumu ambayo itaongeza kasi ya kifo kwa mgonjwa husika, ili kumuondolea mateso.
Qatar inaendelea kusisitiza mpango wa utekelezwaji kamili wa usitishwaji mapigano Gaza licha ya upinzani wa Israel, huku ikitoa wito wa kumaliza hali ya taharuki kote katika kanda na kuanzishwa tena kwa mazungumzo kati ya Marekani na Iran.
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, anasema Tehran ilipambana kwa masharti yake yenyewe na kuwalazimu wale waliotaka “isalimu amri bila masharti” kufanya mazungumzo, baada ya Donald Trump kuitaka Iran “kuinua bendera nyeupe.”
Afrika

Liberia yamshtaki aliyekuwa Makamu wa Rais, kwa tuhuma za dawa za kulevya
Mamlaka pia zimewafungulia mashitaka watu watatu wanaodaiwa kuwa wanachama wa mtandao huo — raia wawili wa Croatia na raia mmoja wa Ukraine, licha ya kuwa raia hawo hawapo nchini Liberia.
Hatua hiyo inakuja wakati Jumuiya ya Afrika Mashariki inaendelea kuboresha miundombinu ya kifedha ili kupunguza gharama kubwa za miamala na kurahisisha biashara kwa wajasiriamali wadogo na wa kati.
Kwa mujibu wa taarifa za polisi, tukio hilo lilitokea katika makazi ya kiongozi wa upinzani Brian Mundubile baada ya uchaguzi wa Agosti 13, 2026
Mkuu wa ujasusi wa Ecuador Michele Sensi-Contugi na mkewe, Stephany Hollihan Vasconez, ni miongoni mwa watu saba waliofariki katika ajali ya helikopta nchini Kenya siku ya Jumatano, serikali ya Ecuador ilitangaza.
Michezo
















