DRC: Vifo vilivyotokana na Ebola vyavuka 900

Kulingana na takwimu ya Wizara ya Afya ya nchi hiyo, idadi ya maambukizi imefikia 2,344, vikiwemo vifo 930.
20 Julai, 2026
Tanzania yazindua ujenzi wa reli ya SGR Tabora hadi Kigoma

Kwa sasa, ujenzi huo umefikia zaidi ya asilimia 10, ukitegemewa kuzalisha jira 15,000 kwa wananchi wa Kigoma na Tabora.
20 Julai, 2026
Shirikisho la Utalii la Kenya lapinga wito wa Gachagua kwa watalii na wawekezaji kutozuru Kenya

Aliyekuwa Naibu Rais wa Kenya, Rigathi Gachagua, ametoa wito kwa watalii na wawekezaji kutozuru Kenya hadi baada ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2027, kwa madai ya ukosefu wa usalama.
20 Julai, 2026
ECOWAS yaunga mkono mradi wa bomba la gesi kati ya Nigeria na Morocco

Mradi huo wa bomba, ulitiwa saini muongo mmoja uliopita kati ya Mfalme wa Morocco na rais wa Nigeria.
20 Julai, 2026

Uganda yamuomboleza Moses Ali ‘Simba wa Adjumani’

Tanzania, Misri ruksa raia wake kuingia Sudan Kusini bila viza

Tanzania yaikaribishwa Misri kuwekeza katika miundombinu ya bandari ya Bagamoyo na Dar es Salaam

Rais wa Misri awasili nchini Tanzania kwa ziara ya kitaifa

Wanajeshi wa Afrika Kusini wafariki wakikabiliana na wachimba madini haramu
17 Julai, 2026
Raia wa Marekani wawekwa karantini katika kituo cha Ebola nchini Kenya licha ya zuio la mahakama
Kenya haijawahi kurekodi maambukizi yoyote ya Ebola, huku raia wengi wa nchi hio wakiandamana kupinga kuingizwa nchini humo watu wanaoweza kuwa na virusi vya ugonjwa huo unaoenea kwa kasi.

17 Julai, 2026
Traoré wa Burkina Faso aonya dhidi ya kulinganishwa na Thomas Sankara
Kapteni Ibrahim Traoré amesema si sahihi kumlinganisha na aliyekuwa rais wa Burkina Faso, Thomas Sankara, akieleza kuwa mazingira ya kisiasa na kijamii ya sasa ni tofauti kabisa na yale ya miaka ya 1980.

17 Julai, 2026
Mzee wa miaka 90 aweka rekodi ya kukwea kilele cha Mlima Kilimanjaro
Katika tukio hilo Dkt. Ulene alikata keki akiwa amezungukwa na waongoza watalii, wapagazi, na wapandaji wenzake huku wakimpongeza kwa ujasiri, wakimtakia afya njema na kumpongeza kwa azma yake ya kutimiza ndoto hiyo katika umri wa miaka 90.

17 Julai, 2026
Tanzania: Uwanja wa ndege wa Arusha kutoa huduma saa 24
Uwanja wa ndege wa Arusha miongoni mwa viwanja muhimu vinavyohudumia sekta ya utalii nchini humo, na ni lango kuu kwa wasafiri wanaoelekea Hifadhi za Taifa za Serengeti, Ngorongoro, Tarangire, Ziwa Manyara na Mlima Kilimanjaro.

17 Julai, 2026
Wanafunzi 20 wafariki katika ajali ya basi la shule Uganda
Nchi hiyo ya Afrika Mashariki ina rekodi mbaya ya usalama wa barabarani, mara nyingi kukiripotiwa ajali za mabasi ya abiria na magari ya mizigo.

16 Julai, 2026
Uingereza yawekea vikwazo mitandao ya biashara ya dhahabu ya RSF kwa kuchochea vita vya Sudan
Uingereza siku ya Alhamisi iliweka vikwazo dhidi ya kile ilichosema ni mitandao haramu ya biashara ya dhahabu na fedha inayochochea vita vya Sudan.

16 Julai, 2026
Iran yalaani shambulio la Marekani karibu na hospitali ya kutibu watoto wenye saratani
Iran imelitaja shambulio hilo kuwa ni “uhalifu wa kivita wa kikatili” dhidi ya watoto, na imelilinganisha na mashambulizi ya Israel dhidi ya vituo vya huduma za afya.

16 Julai, 2026
Uingereza yaichunguza TikTok kuhusu hatua za usalama kwa watoto
Mamlaka ya Mawasiliano ya nchini Uingereza (Ofcom) imesema unachunguza iwapo TikTok inafanya vya kutosha kulinda watoto dhidi ya maudhui yenye madhara kama inavyotakiwa na sheria za Uingereza.

16 Julai, 2026
Mahakama Tanzania yafuta kesi iliyopinga ubunge wa Baba Levo
Baadhi ya malalamiko yaliyowasilishwa na wanachama wa chama cha upinzani ACT Wazalendo, ni pamoja na madai ya tuhuma za utekaji na rushwa.

16 Julai, 2026
Marekani yaipa Tanzania Dola milioni 1 kupambana na Ebola
Msaada huo, unatolewa kufuatia milipuko ya ugonjwa huo nchini DRC na Uganda.



