17 Julai, 2026

Raia wa Marekani wawekwa karantini katika kituo cha Ebola nchini Kenya licha ya zuio la mahakama

Kenya haijawahi kurekodi maambukizi yoyote ya Ebola, huku raia wengi wa nchi hio wakiandamana kupinga kuingizwa nchini humo watu wanaoweza kuwa na virusi vya ugonjwa huo unaoenea kwa kasi.

cb7f937d afe8 4308 851e 9a44bdc8dcf7 1784318379624

17 Julai, 2026

Traoré wa Burkina Faso aonya dhidi ya kulinganishwa na Thomas Sankara

Kapteni Ibrahim Traoré amesema si sahihi kumlinganisha na aliyekuwa rais wa Burkina Faso, Thomas Sankara, akieleza kuwa mazingira ya kisiasa na kijamii ya sasa ni tofauti kabisa na yale ya miaka ya 1980.

55eab294 1b19 4125 bf1a c5ac5b0173cb 1784305833385

17 Julai, 2026

Mzee wa miaka 90 aweka rekodi ya kukwea kilele cha Mlima Kilimanjaro

Katika tukio hilo Dkt. Ulene alikata keki akiwa amezungukwa na waongoza watalii, wapagazi, na wapandaji wenzake huku wakimpongeza kwa ujasiri, wakimtakia afya njema na kumpongeza kwa azma yake ya kutimiza ndoto hiyo katika umri wa miaka 90.

fc26cf99 b3a2 4222 8a53 8c62c677370f 1784284580284

17 Julai, 2026

Tanzania: Uwanja wa ndege wa Arusha kutoa huduma saa 24

Uwanja wa ndege wa Arusha miongoni mwa viwanja muhimu vinavyohudumia sekta ya utalii nchini humo, na ni lango kuu kwa wasafiri wanaoelekea Hifadhi za Taifa za Serengeti, Ngorongoro, Tarangire, Ziwa Manyara na Mlima Kilimanjaro.

32cd88cf 3c18 4315 8a52 a64f1758f588 1784281466232

17 Julai, 2026

Wanafunzi 20 wafariki katika ajali ya basi la shule Uganda

Nchi hiyo ya Afrika Mashariki ina rekodi mbaya ya usalama wa barabarani, mara nyingi kukiripotiwa ajali za mabasi ya abiria na magari ya mizigo.

7a9a2626 cd99 4fa1 9b06 2a21c820f5dd 1784268821567

16 Julai, 2026

Uingereza yawekea vikwazo mitandao ya biashara ya dhahabu ya RSF kwa kuchochea vita vya Sudan

Uingereza siku ya Alhamisi iliweka vikwazo dhidi ya kile ilichosema ni mitandao haramu ya biashara ya dhahabu na fedha inayochochea vita vya Sudan.

8e26ea4b 8c84 42a6 b790 9ee88541bec7 1784230183865

16 Julai, 2026

Iran yalaani shambulio la Marekani karibu na hospitali ya kutibu watoto wenye saratani

Iran imelitaja shambulio hilo kuwa ni “uhalifu wa kivita wa kikatili” dhidi ya watoto, na imelilinganisha na mashambulizi ya Israel dhidi ya vituo vya huduma za afya.

996e7f66 82bb 4717 a97b 091e41a0ef0e 1784226608777

16 Julai, 2026

Uingereza yaichunguza TikTok kuhusu hatua za usalama kwa watoto

Mamlaka ya Mawasiliano ya nchini Uingereza (Ofcom) imesema unachunguza iwapo TikTok inafanya vya kutosha kulinda watoto dhidi ya maudhui yenye madhara kama inavyotakiwa na sheria za Uingereza.

547adbc2 4288 4f1d 9e94 7f9463dec018 1784213743966

16 Julai, 2026

Mahakama Tanzania yafuta kesi iliyopinga ubunge wa Baba Levo

Baadhi ya malalamiko yaliyowasilishwa na wanachama wa chama cha upinzani ACT Wazalendo, ni pamoja na madai ya tuhuma za utekaji na rushwa.

4523619a beac 4bbb a8f8 484276c80c72 1784203477553 main

16 Julai, 2026

Marekani yaipa Tanzania Dola milioni 1 kupambana na Ebola

Msaada huo, unatolewa kufuatia milipuko ya ugonjwa huo nchini DRC na Uganda.

db9ec5ed c7d3 445d 8f81 e8cff259ee25 1784192193320
Loading...