13 Mei, 2026

Jeshi la Nigeria lasema hakuna ushahidi wa kuuawa kwa raia katika mashambulizi soko la Zamfara

Jeshi linasema mashambulizi ya angani yalizingatia sheria ya kimataifa ya haki za binadamu na kulenga “eneo mahsusi la mkutano” wa viongozi wa wapiganaji.

b09af0b5b3010db6adc3ea9dfd34a3f522a01780ba00d051124f8e00b6b14cd1

13 Mei, 2026

Ghana yawaondoa mamia ya raia wake Afrika Kusini kufuatia vurugu za chuki

Wizara ya mambo ya nje inasema Rais John Dramani Mahama ameidhinisha mpango huo wa kuwaondoa raia wake 300 kutoka Afrika Kusini.

bf37605cc726bf65a1ffcff3aeb12822d8ac6b7e69dc6d65801d40da8047ed1d

13 Mei, 2026

Rais wa Senegal Faye ‘anashughulikia mwenyewe’ mazungumzo kuhusu deni na IMF

Rais Bassirou Diomaye Faye amekutana na mkuu wa IMF Kristalina Georgieva pembeni mwa kongamano la nchini Kenya, na wawili hao walijadili uwezekano wa kutatua tatizo la madeni ya Senegal.

ed6c39f822d198e9ed8cdd28eff34692b8f4c85fba7693305875e5e5f8d0cfdc

12 Mei, 2026

Polisi nchini Kenya watumia mabomu ya machozi kuwatawanya waandamanaji wanaopinga Ufaransa

Waandamanaji waliobeba mabango ya kupinga sera za kibeberu walizuiwa kukaribia ukumbi wa Mkutano wa Africa Forward unaofanyika jijini Nairobi, Kenya.

6ad1b2901b72c2c848794a0f1c380403e68a524a29b1042542a083b34f77b98b

12 Mei, 2026

Rais Museveni wa Uganda aanza rasmi muhula mpya

Rais Yoweri Museveni ambae ameingia madarakani mwaka 1986, huu utakuwa ni muhula wake wa saba kuliongoza taifa hilo.

b763662bcc04c81d8ceb8272cca63345ac7a658c6fb3292e3457b79856e492f8

12 Mei, 2026

Kamanda wa jeshi Sudan ajiondoa RSF na kujiunga na jeshi

Kujiondoa kwa Brigedia Ali Rizqallah, maarufu Savanah, ni wa pili tangu mwezi uliopita.

1777741669938 e0aai6 faf692e1b72be20253da03e27c43671d0e51ffc0ab614ec7a4d9193363215906

12 Mei, 2026

Katibu Mkuu UN asisitiza umuhimu wa mabadiliko ili Afrika ipate uwakilishi wa kudumu

Umoja wa Mataifa lazima ufanyiwe mabadiliko ili kuongeza uwakilishi wa Afrika, Katibu Mkuu Antonio Guterres alisema Jumatatu alipokuwa jijini Nairobi, nchini Kenya.

kenya un 9 285 main

11 Mei, 2026

Wajerumani watatu na rubani wafariki dunia kufuatia ajali ya ndege Namibia

Rubani wa ndege ndogo pamoja na abiria watatu wa kutoka Ujerumani wamefariki dunia baada ya ndege yao kuanguka katika eneo maarufu la utalii la Sossusvlei nchini Namibia, kampuni ya kukodisha ndege ilisema Jumatatu.

72a0feefd7127df9a446751ef43bd74eeedd2d9a738b8afe2894db1afaa02fe4

11 Mei, 2026

Maandamano yenye vurugu dhidi ya wahamiaji hayaakisi maoni ya Afrika Kusini: Ramaphosa

Mfululizo wa maandamano dhidi ya wahamiaji katika wiki za hivi karibuni kote Afrika Kusini, pamoja na madai ya mashambulizi dhidi ya wageni, yamesababisha Nigeria na Ghana kueleza wasiwasi wao.

a0651a73108d2db3db6e901009237b4e61fdf7194e38bf9548e7ed7cb36939a0

11 Mei, 2026

Bandari ya Lamu nchini Kenya yapokea meli kubwa zaidi kuwahi kutia nanga Afrika Mashariki na Kati

Habari za hivi punde, maoni, makala maalumu, uchambuzi wa kina na video kutoka TRT Afrika

3b98c34d5c23d4ec7da6526bdf7d47766a04d87b68341be3cb8857dfc2764bbe
Loading...