29 Mei, 2026

WHO yatangaza mgonjwa wa kwanza kupona mlipuko wa Ebola wa DRC

Shirika la Afya Duniani (WHO) linasema kupona kwa mgonjwa huyo ni kutokana na kutambua mapema, kutenga watu na kutoa matibabu ya haraka kunachangia kwa mtu kupona.

f4f9f49602c3e78d164892c6f40c37fffe15a655eaa1262027722979db416ec7

29 Mei, 2026

Maafisa wa uhamiaji Marekani washtumiwa kwa kumtesa raia wa Ghana aliyekuwa mjamzito

Tangu kuwasili Marekani, Gyasi amepelekwa hospitali mara mbili kwa matatizo ya ujauzito, ikiwemo kutokwa na damu nyingi na kisunzi.

f3412a1aaba2bb27739e2b4468f159de1bcf1fe6d71980e34df1715e41270977

29 Mei, 2026

Mahakama ya Kenya yasitisha kwa muda mpango wa kituo cha karantini cha Marekani nchini humo

Mahakama pia iliamuru kwamba Kenya hairuhusiwi kukubali mtu yeyote aliyeambukizwa au kushukiwa kuambukizwa Ebola chini ya makubaliano yaliyopangwa na Marekani, hadi kesi ya kupinga mpango huo isikizwe na kuamuliwa.

2026 05 28t201345z 1 lynxmpem4r1n6 rtroptp 3 health ebola congo

29 Mei, 2026

Kituo cha Afya Afrika kinalenga kupata chanjo ya Ebola kufikia mwishoni mwa 2026

WHO imesema utafiti wa chanjo na matibabu sharti yafanyike katika majaribio ya kimaabara peke huku maambukizi ya Ebola yakiendelea kwa kasi nchini DRC na Uganda wakati ambapo vituo vya afya vimekuwa vikishambuliwa.

34e79e84 38f5 44c9 8725 3d0dcfaa1a80

28 Mei, 2026

Kenya yaidhinisha kituo cha Marekani kwa karantini ya Ebola kutokana na mlipuko DRC, afisa asema

Kenya imeidhinisha mpango wa Marekani wa kufungua kituo cha karantini cha Ebola, afisa wa Marekani amesema

5cc31c0ead72281d17ef0b1a0475565bd635602a32dfea676ed8105abfaf1953

28 Mei, 2026

Bunge la Ufaransa lapiga kura kuondoa sheria za utumwa enzi za ukoloni

Wabunge wamepiga kura ya kufuta sheria za kusimamia utumwa enzi za ukoloni wa Ufaransa

a6741f1a8f12c89458ddc860091e49e2ee9380e302a022b43716dda9ae1483d7

28 Mei, 2026

“Tuko pamoja na nyinyi”: Mkuu wa WHO aelekea DRC huku maambukizi yakifika zaidi ya 1,000

Tedros anasema nchi hiyo imefanikiwa kukabiliana na Ebola mara 16, atoa wito kwa watu kuungana kusaidia kwa haraka

98008781397fa687a3179676758259945a134012a758bf2293c27342a203fd1a

28 Mei, 2026

Polisi Afrika Kusini wakamata dawa za kulevya za dola milioni 61 ndani ya lori kutoka Malawi

Katika miaka miwili iliopita, kumekuwa na matukio yasiopungua manne ya kufichua maabara za kutengeneza dawa nchini Afrika Kusini.

f3df5462ba7f9a3c8fc7cbc90ff4f25565136b0ac1174b1c28ddb3a699266014

28 Mei, 2026

Maambukizi ya Ebola ni zaidi ya 1,000 nchini DRC: Wizara ya Afya

Wizara imeeleza kuwa Ebola imeathiri maeneo 13 ya kiafya katika mikoa mitatu

2c33d9499635b2eb35e850e99eb19361d7c3578c4897d97e5352304d181ac2f2

28 Mei, 2026

Timu ya soka DRC ‘kuzingatia’ masharti ya Marekani kuhusu Ebola

Mamlaka nchini DRC zimeeleza kuwa idadi kubwa ya wachezaji wa kikosi hicho wanaishi barani Ulaya, jambo linalopunguza hatari ya kuathiriwa moja kwa moja na mlipuko huo.

d302ee6bdb67d64f9fa5a460dc0eb09d55113192faa7e86f6e0bb382b621a31b
Loading...