27 Mei, 2025

Istanbul yaipita Frankfurt kama uwanja wa ndege unaotumika sana Ulaya kwa mizigo

Kundi la usafiri wa Ujerumani linasema kuwa Frankfurt imeachwa nyuma kwa sababu ya kuongezeka kwa gharama za ardhi, na urasimu.

aa 37647847

26 Mei, 2025

Uturuki yaadhimisha Siku ya Afrika na nafasi yake ya uangalizi ndani ya umoja huo

Kulingana na Wizara ya Mambo ya Nje, Uturuki ni moja kati ya wadau wa kimkakati wa Umoja wa Afrika.

uturuki

26 Mei, 2025

Kufundisha Kituruki kwa ulimwengu ni dhamira mpya ya Chuo Kikuu cha Anadolu

Maslahi ya kimataifa katika lugha ya Kituruki, ambayo yamezidishwa na TV na filamu, yamechochea fursa ya kitaaluma kupitia shahada ya kwanza ya ushiriki ya dijitali inayolenga wanafunzi wa kimataifa.

anadolu 20university

25 Mei, 2025

Uturuki inaadhimisha Siku ya Afrika, inaadhimisha miaka 20 ya hadhi ya waangalizi katika AU

Wizara ya mambo ya nje ya Uuturki ilisisitiza kuwa Uturuki ni mmoja wa washirika wa kimkakati wa Umoja wa Afrika

fab 1

24 Mei, 2025

Hakan Fidan anatarajia kuanza ziara rasmi ya siku mbili nchini Urusi siku ya Jumatatu

Ziara hiyo inalenga kuimarisha ushirikiano kati ya nchi hizo mbili katika masuala muhimu kama vile biashara, nishati na utalii, huku ikishughulikia masuala ya kikanda na kimataifa.

fab 1 2 3 4 5 6

24 Mei, 2025

Naibu waziri wa mambo ya nje wa Uturuki kuhudhuria mkutano wa Gaza nchini Uhispania

Mkutano huo utahudhuriwa na wanachama wa Gaza Contact Group, pamoja na Uhispania, Ireland, Norway, na Slovenia, ambazo zimetambua jimbo la Palestina.

fab 1 2 3 4

24 Mei, 2025

Tamasha la Ethnosport la Uturuki linawaenzi watoto waliouawa na Israel huko Gaza

Tamasha la 7 la Utamaduni wa Ethnosport linaangazia hasara ya kusikitisha ya maelfu ya watoto wa Kipalestina waliouawa huko Gaza na vikosi vya Israeli.

fab 1 2 3

23 Mei, 2025

Emine Erdogan: ‘Familia ndio msingi na nguzo imara ya jamii’

Mke wa Rais wa Uturuki Emine Erdogan ametoa wito kwa jumuiya ya kimataifa kulinda tunu za familia, dhidi ya vitisho mbalimbali.

emine 1

21 Mei, 2025

Uturuki yalaani shambulizi la Israeli dhidi ya Wanadiplomasia jijini Jenin, yataka uwajibikaji

Ankara imeishambulia Israeli baada ya askari wake kuwashambulia kwa risasi wanadiplomasia jijini Jenin, akiwemo afisa mdogo wa ubalozi wa Uturuki, ikiliita tukio hilo kuwa ni ukiukwaji wa sheria za kimataifa.

ministry

19 Mei, 2025

Mwanadiplomasia mkuu wa Uturuki akutana na Rais wa Serbia mjini Belgrade

Katika ziara yake, Fidan alikutana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Serbia Marko Djuric na viongozi wengine waandamizi katika ubalozi wa Uturuki ndani ya mji mkuu wa nchi hiyo.

aa 20250518 37996666 37996664 turkish foreign minister hakan fidan
Loading...