Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran kuelekea Uturuki kwa mazungumzo muhimu siku ya Ijumaa

Uturuki inatarajiwa kusisitiza kupinga kwake hatua ya kijeshi dhidi ya Iran huku ikishinikiza kuwepo kwa uhusiano wa kina wa kiuchumi na uratibu wa kikanda.
29 Januari, 2026
Erdogan amesema Uturuki inapinga uingiliaji wa nje nchini Iran katika mazungumzo na Pezeshkian

Rais wa Uturuki Erdogan asema kupunguzwa kwa uhasama na utulivu wa kikanda bado ni jambo muhimu huku maandamano yakiendelea kote Iran.
23 Januari, 2026
Uturuki yaongeza muda wa vikosi vyake vya wanamaji katika Ghuba ya Aden kwa mwaka mmoja

Hatua hiyo inalenga kulinda meli za Uturuki, kuimarisha mapambano dhidi ya uharamia, na usalama wa baharini.
22 Januari, 2026
Erdogan na Trump wamejadili hali ya Syria, Uturuki kuratibu na Marekani kuhusu Gaza

Rais wa Uturuki, Recep Tayyip Erdogan, amesema kuwa “Syria iliyo na amani, isiyo na ugaidi na inayokua katika nyanja zote, itachangia utulivu wa eneo zima.”
21 Januari, 2026

Hakuna anayetaka kupigwa picha na Netanyahu tena, anasema Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki Fidan

Mkataba wa ulinzi kati ya Uturuki, Pakistan na Saudi Arabia ‘unajadiliwa’

Uturuki yapinga vikali hatua yoyote ya kijeshi dhidi ya Iran

Watalii wawili wa Uturuki wauawa katika shambulio la risasi Ethiopia

Uturuki na Somalia zasaini makubaliano ya ajira, kuimarisha ushirikiano wa nguvukazi
12 Januari, 2026
Uturuki yaonya dhidi ya uingiliaji wa nje nchini Iran, yatoa wito wa suluhu za ndani
Uturuki imeonya kuwa uingiliaji wowote wa nje katika nchi jirani ya Iran utaongeza na kuzidisha migogoro, si tu nchini humo bali pia katika eneo lote.

6 Januari, 2026
Erdogan kwa Trump: Venezuela isiingizwe katika hali ya kutokuwa na usalama
Rais wa Uturuki ameeleza msimamo wa Uturuki kuwaunga mkono “watu wa Venezuela marafiki katika kupambania mafanikio, amani, na ustawi.”

30 Desemba, 2025
Uturuki yapinga hatua ya Israel kuhusu Somaliland, yaahidi kuimarisha ushirikiano na Somalia
Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan ameitaja hatua ya Israel ya kuitambua Somaliland kuwa “haikubaliki,” huku Uturuki ikiahidi kuendelea kuunga mkono Somalia katika masuala ya uchimbaji wa rasilimali, ulinzi, na diplomasia.

24 Desemba, 2025
Ubalozi wa Uturuki unaomboleza kifo cha Mkuu wa Jeshi wa Libya
Ubalozi wa Uturuki nchini Libya umehuzunishwa na kifo cha Mkuu wa Jeshi wa nchi hiyo, Mohammed al-Haddad, ambaye alifariki katika ajali ya ndege pamoja na maafisa kadhaa wakuu wa kijeshi, alipokuwa akirejea kutoka ziara rasmi nchini Uturuki.

24 Desemba, 2025
Uturuki yatangaza kupatikana kwa kisanduku cheusi cha ndege iliyomuua Mkuu wa Jeshi wa Libya
Mchakato wa kuchunguza na kutathmini vifaa hivi umeanza, amesema Waziri wa Mambo ya Ndani, Ali Yerlikaya.

15 Desemba, 2025
Uturuki inataka kuongeza muda wa uwepo wake wa kijeshi nchini Libya
Uturuki imewasilisha hoja bungeni kutaka kuongezwa muda wa miezi 24 kwa wanajeshi wake Libya, ikitaja hali ya sintofahamu ya kisiasa inayoendelea, changamoto za kiusalama ambazo hazijatatuliwa na umuhimu wa kulinda amani na utulivu nchini humo.

15 Desemba, 2025
Uturuki imelaani shambulio dhidi ya kambi ya UN nchini Sudan lililoua walinda amani sita
Ankara inasisitiza kuunga mkono juhudi za kutafuta suluhu la amani kwa migogoro inayoendelea nchini Sudan.

24 Novemba, 2025
Viongozi wa Uturuki na Ethiopia wajadili uhusiano wa pande mbili, masuala ya kikanda kando ya G20
Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan, ambaye yuko Johannesburg, Afrika Kusini kwa mkutano wa G20, alikutana na Waziri Mkuu wa Ethiopia Abiy Ahmed kwa mazungumzo, Kurugenzi ya Mawasiliano ya Uturuki ilisema Jumamosi.

17 Novemba, 2025
Shirika la YTB laorodhesha mafanikio ya Afrika mwaka 2024 katika kitabu chao
Shirika linalohudumia Waturuki wanaoishi Ughaibuni na Jamii Husika (YTB) limezindua kitabu chao cha Afrika 2024 ili kuonesha matukio muhimu yaliyotokea katika bara la Afrika.

10 Septemba, 2025
Uturuki yatoa rambirambi kwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kufuatia shambulio la kigaidi
Watu kadhaa wauawa katika shambulio wakati wa mazishi mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.

