Hatua ya pili ya mazungumzo ya Urusi na Ukraine yakamilika jijini Istanbul

Ukraine inasema imetaka kurudishwa kwa watoto kutoka Urusi
2 Juni, 2025
Klabu ya Alves Kablo ya nchini Uturuki yashinda Ligi ya Mabingwa kwa upande wa walemavu

Timu ya walemavu ya Alves Kablo imetwaa ubingwa huo baada ya kuibugiza Wisla Krakow ya Poland kwa jumla ya mabao 6-1, katika mchezo wa fainali uliofanyika jijini Ankara.
2 Juni, 2025
Familia Imara, Jamii Imara: Rais Erdogan anasisitiza umuhimu wa kukuza maadili ya familia

Rais wa Uturuki Erdogan anapongeza bodi ya wakurugenzi na wafanyakazi wa Istanbul Family Foundation, pamoja na wale waliosaidia kuandaa Kongamano la 3 la Kimataifa la Familia, na pia aliwasalimu washiriki na wageni wote.
31 Mei, 2025
Uturuki inatarajia kuwa mwenyeji wa Trump, Putin na Zelenskyy lengo kumaliza vita Urusi na Ukraine

‘Tumeonesha kuwa mazungumzo ya Urusi na Ukraine jijini Istanbul yanaweza kuleta matokeo yenye tija,’ Hakan Fidan amesema wakati wa ziara yake nchini Ukraine
30 Mei, 2025

Erdogan aisindikiza meli ya kuzalisha gesi ya Uturuki Bahari Nyeusi

Sarajevo kuhodhi vikao vya umma ya Mahakama Maalum ya Gaza inayochunguza uhalifu wa vita vya Israeli

Uturuki yafanya maandalizi mazuri kwa mahujaji 84,000, yasifu ushirikiano na Saudia

Uturuki, Urusi wasisitiza dhamira yao ya umoja wa Syria na mazungumzo ya amani ya Ukraine

Baghladesh yatafuta msaada Uturuki kurudisha misitu, na kuhifadhi mazingira
27 Mei, 2025
Istanbul yaipita Frankfurt kama uwanja wa ndege unaotumika sana Ulaya kwa mizigo
Kundi la usafiri wa Ujerumani linasema kuwa Frankfurt imeachwa nyuma kwa sababu ya kuongezeka kwa gharama za ardhi, na urasimu.

26 Mei, 2025
Uturuki yaadhimisha Siku ya Afrika na nafasi yake ya uangalizi ndani ya umoja huo
Kulingana na Wizara ya Mambo ya Nje, Uturuki ni moja kati ya wadau wa kimkakati wa Umoja wa Afrika.

26 Mei, 2025
Kufundisha Kituruki kwa ulimwengu ni dhamira mpya ya Chuo Kikuu cha Anadolu
Maslahi ya kimataifa katika lugha ya Kituruki, ambayo yamezidishwa na TV na filamu, yamechochea fursa ya kitaaluma kupitia shahada ya kwanza ya ushiriki ya dijitali inayolenga wanafunzi wa kimataifa.

25 Mei, 2025
Uturuki inaadhimisha Siku ya Afrika, inaadhimisha miaka 20 ya hadhi ya waangalizi katika AU
Wizara ya mambo ya nje ya Uuturki ilisisitiza kuwa Uturuki ni mmoja wa washirika wa kimkakati wa Umoja wa Afrika

24 Mei, 2025
Hakan Fidan anatarajia kuanza ziara rasmi ya siku mbili nchini Urusi siku ya Jumatatu
Ziara hiyo inalenga kuimarisha ushirikiano kati ya nchi hizo mbili katika masuala muhimu kama vile biashara, nishati na utalii, huku ikishughulikia masuala ya kikanda na kimataifa.

24 Mei, 2025
Naibu waziri wa mambo ya nje wa Uturuki kuhudhuria mkutano wa Gaza nchini Uhispania
Mkutano huo utahudhuriwa na wanachama wa Gaza Contact Group, pamoja na Uhispania, Ireland, Norway, na Slovenia, ambazo zimetambua jimbo la Palestina.

24 Mei, 2025
Tamasha la Ethnosport la Uturuki linawaenzi watoto waliouawa na Israel huko Gaza
Tamasha la 7 la Utamaduni wa Ethnosport linaangazia hasara ya kusikitisha ya maelfu ya watoto wa Kipalestina waliouawa huko Gaza na vikosi vya Israeli.

23 Mei, 2025
Emine Erdogan: ‘Familia ndio msingi na nguzo imara ya jamii’
Mke wa Rais wa Uturuki Emine Erdogan ametoa wito kwa jumuiya ya kimataifa kulinda tunu za familia, dhidi ya vitisho mbalimbali.

21 Mei, 2025
Uturuki yalaani shambulizi la Israeli dhidi ya Wanadiplomasia jijini Jenin, yataka uwajibikaji
Ankara imeishambulia Israeli baada ya askari wake kuwashambulia kwa risasi wanadiplomasia jijini Jenin, akiwemo afisa mdogo wa ubalozi wa Uturuki, ikiliita tukio hilo kuwa ni ukiukwaji wa sheria za kimataifa.

19 Mei, 2025
Mwanadiplomasia mkuu wa Uturuki akutana na Rais wa Serbia mjini Belgrade
Katika ziara yake, Fidan alikutana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Serbia Marko Djuric na viongozi wengine waandamizi katika ubalozi wa Uturuki ndani ya mji mkuu wa nchi hiyo.
