12 Januari, 2026

Uturuki yaonya dhidi ya uingiliaji wa nje nchini Iran, yatoa wito wa suluhu za ndani

Uturuki imeonya kuwa uingiliaji wowote wa nje katika nchi jirani ya Iran utaongeza na kuzidisha migogoro, si tu nchini humo bali pia katika eneo lote.

04874cf2bdc6425bf96216ed8736a29795d2c2ce89b008f0b7ec8f535f6df0d3

6 Januari, 2026

Erdogan kwa Trump: Venezuela isiingizwe katika hali ya kutokuwa na usalama

Rais wa Uturuki ameeleza msimamo wa Uturuki kuwaunga mkono “watu wa Venezuela marafiki katika kupambania mafanikio, amani, na ustawi.”

bf6f88a576cac5f87add6b82f5ad8e955f24f63ef77e590be0f324ec7703cc8d

30 Desemba, 2025

Uturuki yapinga hatua ya Israel kuhusu Somaliland, yaahidi kuimarisha ushirikiano na Somalia

Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan ameitaja hatua ya Israel ya kuitambua Somaliland kuwa “haikubaliki,” huku Uturuki ikiahidi kuendelea kuunga mkono Somalia katika masuala ya uchimbaji wa rasilimali, ulinzi, na diplomasia.

31dc49f5f3206335a2f48c40ee8d95834df132e26c3c1e3f37159b3c76bd7090

24 Desemba, 2025

Ubalozi wa Uturuki unaomboleza kifo cha Mkuu wa Jeshi wa Libya

Ubalozi wa Uturuki nchini Libya umehuzunishwa na kifo cha Mkuu wa Jeshi wa nchi hiyo, Mohammed al-Haddad, ambaye alifariki katika ajali ya ndege pamoja na maafisa kadhaa wakuu wa kijeshi, alipokuwa akirejea kutoka ziara rasmi nchini Uturuki.

0b0064b4da2338d70b5e2ace1dfaea1597aec350435d716474e2f4e2cdcacc6e

24 Desemba, 2025

Uturuki yatangaza kupatikana kwa kisanduku cheusi cha ndege iliyomuua Mkuu wa Jeshi wa Libya

Mchakato wa kuchunguza na kutathmini vifaa hivi umeanza, amesema Waziri wa Mambo ya Ndani, Ali Yerlikaya.

ae23e6d77f71ec5694ae6efac91ae4f34df5c107804684e095c17d3c5bc85a2e

15 Desemba, 2025

Uturuki inataka kuongeza muda wa uwepo wake wa kijeshi nchini Libya

Uturuki imewasilisha hoja bungeni kutaka kuongezwa muda wa miezi 24 kwa wanajeshi wake Libya, ikitaja hali ya sintofahamu ya kisiasa inayoendelea, changamoto za kiusalama ambazo hazijatatuliwa na umuhimu wa kulinda amani na utulivu nchini humo.

ef6d84ba80254eb16f90f3c70163b2c69cd44210e67e4e6aeacd81d508325cdd

15 Desemba, 2025

Uturuki imelaani shambulio dhidi ya kambi ya UN nchini Sudan lililoua walinda amani sita

Ankara inasisitiza kuunga mkono juhudi za kutafuta suluhu la amani kwa migogoro inayoendelea nchini Sudan.

f4d857c5d5b2d4d6c328b9b0fb68f4ef61021087d225cbf48f27e997b589a821

24 Novemba, 2025

Viongozi wa Uturuki na Ethiopia wajadili uhusiano wa pande mbili, masuala ya kikanda kando ya G20

Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan, ambaye yuko Johannesburg, Afrika Kusini kwa mkutano wa G20, alikutana na Waziri Mkuu wa Ethiopia Abiy Ahmed kwa mazungumzo, Kurugenzi ya Mawasiliano ya Uturuki ilisema Jumamosi.

9f79e591 d750 4179 ae0d ff1f29ea0b81 main

17 Novemba, 2025

Shirika la YTB laorodhesha mafanikio ya Afrika mwaka 2024 katika kitabu chao

Shirika linalohudumia Waturuki wanaoishi Ughaibuni na Jamii Husika (YTB) limezindua kitabu chao cha Afrika 2024 ili kuonesha matukio muhimu yaliyotokea katika bara la Afrika.

09e48ad3baeef243861adf3c50c6fccacf696d01769c2a849645e05e3255ccf4 main

10 Septemba, 2025

Uturuki yatoa rambirambi kwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kufuatia shambulio la kigaidi

Watu kadhaa wauawa katika shambulio wakati wa mazishi mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.

1757504453280 bceh5h 6a0a35a5cde96786222173a633a77be519b90d6c2482148317321cf5a12ffad6
Loading...