Ulimwengu

Ufaransa, mataifa 25 yashtumu mauaji ya waandamanaji Iran
Taarifa ya pamoja inataka Iran kuachana na hukumu ya kifo na kuwaachia huru wale wote waliokamatwa bila hatia.
Kulingana na kiongozi huyo, uwezo wa kijeshi wa Iran umedhibitiwa vya kutosha, huku wanajeshi wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran (IRGC) wakisambaratika na kukimbia.
Zhu atakumbukwa kwa msimamo wake mkali dhidi ya ufisadi.
Mahakama nchini Syria imemhukumu Assad kwa kupanga mauaji, mateso, kufunga watu bila hatia na uhalifu dhidi ya ubinadamu.
Afrika

Zimbabwe yatangaza hali ya dharura kufuatia ajali ya kivuko huku idadi ya waliofariki ikifika 44
Idara ya kukabiliana na Majanga ya Zimbabwe (CPU) siku ya Jumatano ilisema kuwa kivuko hicho kilikuwa na abiria wasiopungua 114.
Mashambulio ya hivi karibuni ya ndege zisizo na rubani za RSF yamelenga maeneo ya kijeshi na miundombinu muhimu katika miji inayodhibitiwa na jeshi, mbali na viwanja vya mapigano katika maeneo kadhaa nchini Sudan.
Rais wa Marekani amesema walinzi wake na jeshi la Marekani walimshauri kutumia ndege nyingine kufuatia tishio linalodaiwa kutoka Iran baada ya mkutano wa kilele wa NATO.
Mashambulizi hayo yalisababisha kukatika kwa umeme na kusababisha ukosefu wa umeme kusini mwa mji wa Zawiya.
Michezo
















