Ulimwengu

29837333 99f8 44ad b1ae cd51131ebd75 1786614665365

Ufaransa, mataifa 25 yashtumu mauaji ya waandamanaji Iran

Taarifa ya pamoja inataka Iran kuachana na hukumu ya kifo na kuwaachia huru wale wote waliokamatwa bila hatia.

Trump: Marekani inaudhibiti Mlango Bahari wa Hormuz

Kulingana na kiongozi huyo, uwezo wa kijeshi wa Iran umedhibitiwa vya kutosha, huku wanajeshi wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran (IRGC) wakisambaratika na kukimbia.

Waziri Mkuu wa zamani wa China, Zhu Rongji afariki dunia

Zhu atakumbukwa kwa msimamo wake mkali dhidi ya ufisadi.

Mahakama Syria yamhukumu kifo Rais wa zamani Bashar al Assad

Mahakama nchini Syria imemhukumu Assad kwa kupanga mauaji, mateso, kufunga watu bila hatia na uhalifu dhidi ya ubinadamu.

Afrika

c22d1124 614e 4914 8822 49d5f5ede97b 1786610656374

Zimbabwe yatangaza hali ya dharura kufuatia ajali ya kivuko huku idadi ya waliofariki ikifika 44

Idara ya kukabiliana na Majanga ya Zimbabwe (CPU) siku ya Jumatano ilisema kuwa kivuko hicho kilikuwa na abiria wasiopungua 114.

Jeshi la Sudan latibua mashambulizi ya ndege za RSF zilizolenga Khartoum na Mto Nile

Mashambulio ya hivi karibuni ya ndege zisizo na rubani za RSF yamelenga maeneo ya kijeshi na miundombinu muhimu katika miji inayodhibitiwa na jeshi, mbali na viwanja vya mapigano katika maeneo kadhaa nchini Sudan.

Trump athibitisha kubadilisha ndege kufuatia vitisho vya Iran

Rais wa Marekani amesema walinzi wake na jeshi la Marekani walimshauri kutumia ndege nyingine kufuatia tishio linalodaiwa kutoka Iran baada ya mkutano wa kilele wa NATO.

Moto wazuka karibu na kiwanda cha kusafisha mafuta Libya baada ya mashambulizi

Mashambulizi hayo yalisababisha kukatika kwa umeme na kusababisha ukosefu wa umeme kusini mwa mji wa Zawiya.