Ulimwengu

Trump afurahishwa na mkataba wa ulinzi wa Makkah uliosainiwa na Uturuki, Pakistan na Saudi Arabia
Rais wa Marekani amepongeza makubaliano hayo muhimu kama hatua kubwa ya kwanza kuelekea ushirikiano mkubwa zaidi wa kikanda na ulinzi imara wa pamoja katika Mashariki ya Kati, huku akiwapongeza viongozi wa nchi hizo tatu.
Tukio hilo limetokea ndani ya hekalu la Ashok Dham liloloko katika wilaya ya Lakhisarai, wakati wakitoa ibada kwa mungu wa kihindu, maarufu kama Shiva.
Wito waa Papa Leo unaongeza shinikizo la kimataifa kuhusu jinsi Wapalestina wanavyotendewa katika Ukingo wa Magharibi, ambapo upanuzi wa makazi na vurugu za walowezi vimebaki kuwa kikwazo kikubwa kwa juhudi za amani ya kudumu
Khalil al-Hayya anaongoza ujumbe wa ngazi ya juu wa Hamas kwa ajili ya mazungumzo na maafisa wa Misri kuhusu juhudi za kuimarisha makubaliano ya kusitisha mapigano huko Gaza.
Afrika

Rais Hakainde Hichilema aongoza matokeo ya awali ya uchaguzi wa Zambia
Hata hivyo, ushindi wa Hichilema umepokelewa tofauti na waangalizi wa kimataifa, wakisema mchakato huo haukuwa wa haki.
Jaji wa mahakama ya kitaifa amefungua njia kwa utawala wa Rais wa Marekani Donald Trump kuondoa kinga ya kisheria dhidi ya kufukuzwa nchini kwa karibu Wasomali 1,100.
Mamlaka zinapeleka maafisa wa ziada wa usalama na ndege zisizo na rubani kufuatia wito kwenye mitandao ya kijamii wa kuvuka kwa wingi kuingia Ceuta na Melilla.
Abdel Fattah al-Burhan anawahimiza Wasudan wote kurejea nchini.
Michezo

















