Ulimwengu

5ffe8ccd 1c64 4b7d 95c5 12f7db32dbd1 1785926582875

Papa asukuma suluhisho la majimbo mawili katika wito wa kukomesha vurugu dhidi ya Wapalestina

Wito waa Papa Leo unaongeza shinikizo la kimataifa kuhusu jinsi Wapalestina wanavyotendewa katika Ukingo wa Magharibi, ambapo upanuzi wa makazi na vurugu za walowezi vimebaki kuwa kikwazo kikubwa kwa juhudi za amani ya kudumu

Kiongozi wa Hamas anaelekea Cairo kwa mazungumzo ya kusitisha mapigano Gaza

Khalil al-Hayya anaongoza ujumbe wa ngazi ya juu wa Hamas kwa ajili ya mazungumzo na maafisa wa Misri kuhusu juhudi za kuimarisha makubaliano ya kusitisha mapigano huko Gaza.

Makubaliano yamefikiwa na Oman kuhusu njia za usafirishaji katika Mlango-bahari wa Hormuz: Iran

Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje anasema Tehran na Muscat bado zinajadili taarifa hiyo; kurejeshwa kikamilifu kwa usalama katika njia hiyo ya maji kunategemea kukomeshwa kwa hatua za Marekani.

Trump aapa kutangaza Mlango-Bahari wa Hormuz ‘eneo la Marekani’ Iran yatupilia mbali vitisho hivo

Rais wa Marekani Donald Trump anawahimiza Wamarekani kukubali bei ya juu ya mafuta, huku akiongeza kuwa hivi karibuni atatangaza Mlango-Bahari wa Hormuz kuwa eneo la Marekani. Iran inajibu kwa kusema haitishwi na vitisho vya Marekani.

Afrika

9623f2ff 1070 451b 954a c4fcca318d7b 1786884655020

Mamlaka za Marekani zinasitisha ulinzi dhidi ya kufukuzwa kwa Wasomali na raia wa Sudan Kusini

Jaji wa mahakama ya kitaifa amefungua njia kwa utawala wa Rais wa Marekani Donald Trump kuondoa kinga ya kisheria dhidi ya kufukuzwa nchini kwa karibu Wasomali 1,100.

Polisi wa Morocco wazuia wimbi jipya la wahamiaji kuelekea Ceuta ya Hispania

Mamlaka zinapeleka maafisa wa ziada wa usalama na ndege zisizo na rubani kufuatia wito kwenye mitandao ya kijamii wa kuvuka kwa wingi kuingia Ceuta na Melilla.

Mkuu wa jeshi la Sudan atangaza Khartoum kuwa salama, asema jeshi ni mali ya Wasudan wote.

Abdel Fattah al-Burhan anawahimiza Wasudan wote kurejea nchini.

Mtu mmoja hufariki dunia kila baada ya dakika 30 kutokana na Ebola nchini DRC: UN

Afisa mkuu wa Umoja wa Mataifa anayeshughulikia masuala ya kibinadamu anasema “Ebola inashindikana” nchini DRC na kutoa wito wa kuchukuliwa hatua zaidi za kimataifa.