Ulimwengu

3da474c6 3bb2 4114 a4f0 a935f13a3c35 1786640084615

CIA yatilia shaka madai ya Israel ya kushambuliwa kwa Rais Trump

Hapo awali, jarida hilo lilidai kuwa, Rais Trump alihamishwa kwenye ndege nyingine badala ya Air Force One, baada ya kuwepo na hofu ya usalama kwenye ndege mpya ya Boeing 747-8 iliyozawadiwa Marekani na Qatar.

Ufaransa, mataifa 25 yashtumu mauaji ya waandamanaji Iran

Taarifa ya pamoja inataka Iran kuachana na hukumu ya kifo na kuwaachia huru wale wote waliokamatwa bila hatia.

Trump: Marekani inaudhibiti Mlango Bahari wa Hormuz

Kulingana na kiongozi huyo, uwezo wa kijeshi wa Iran umedhibitiwa vya kutosha, huku wanajeshi wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran (IRGC) wakisambaratika na kukimbia.

Waziri Mkuu wa zamani wa China, Zhu Rongji afariki dunia

Zhu atakumbukwa kwa msimamo wake mkali dhidi ya ufisadi.

Afrika

dcbbb8d3 b61d 4b2a a5b5 4f9291d2ba42 1786638262343

Ugonjwa wa Ebola wazidi kusambaa nchini DRC

Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO), mlipuko huu unaenea kwa kasi zaidi kuliko milipuko yote ya Ebola iliyowahi kutokea, na tayari unachukuliwa kuwa mkubwa zaidi katika historia ya taifa hilo la Afrika ya Kati.

Zimbabwe yatangaza hali ya dharura kufuatia ajali ya kivuko huku idadi ya waliofariki ikifika 44

Idara ya kukabiliana na Majanga ya Zimbabwe (CPU) siku ya Jumatano ilisema kuwa kivuko hicho kilikuwa na abiria wasiopungua 114.

Jeshi la Sudan latibua mashambulizi ya ndege za RSF zilizolenga Khartoum na Mto Nile

Mashambulio ya hivi karibuni ya ndege zisizo na rubani za RSF yamelenga maeneo ya kijeshi na miundombinu muhimu katika miji inayodhibitiwa na jeshi, mbali na viwanja vya mapigano katika maeneo kadhaa nchini Sudan.

Trump athibitisha kubadilisha ndege kufuatia vitisho vya Iran

Rais wa Marekani amesema walinzi wake na jeshi la Marekani walimshauri kutumia ndege nyingine kufuatia tishio linalodaiwa kutoka Iran baada ya mkutano wa kilele wa NATO.