Ulimwengu

CIA yatilia shaka madai ya Israel ya kushambuliwa kwa Rais Trump
Hapo awali, jarida hilo lilidai kuwa, Rais Trump alihamishwa kwenye ndege nyingine badala ya Air Force One, baada ya kuwepo na hofu ya usalama kwenye ndege mpya ya Boeing 747-8 iliyozawadiwa Marekani na Qatar.
Taarifa ya pamoja inataka Iran kuachana na hukumu ya kifo na kuwaachia huru wale wote waliokamatwa bila hatia.
Kulingana na kiongozi huyo, uwezo wa kijeshi wa Iran umedhibitiwa vya kutosha, huku wanajeshi wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran (IRGC) wakisambaratika na kukimbia.
Zhu atakumbukwa kwa msimamo wake mkali dhidi ya ufisadi.
Afrika

Ugonjwa wa Ebola wazidi kusambaa nchini DRC
Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO), mlipuko huu unaenea kwa kasi zaidi kuliko milipuko yote ya Ebola iliyowahi kutokea, na tayari unachukuliwa kuwa mkubwa zaidi katika historia ya taifa hilo la Afrika ya Kati.
Idara ya kukabiliana na Majanga ya Zimbabwe (CPU) siku ya Jumatano ilisema kuwa kivuko hicho kilikuwa na abiria wasiopungua 114.
Mashambulio ya hivi karibuni ya ndege zisizo na rubani za RSF yamelenga maeneo ya kijeshi na miundombinu muhimu katika miji inayodhibitiwa na jeshi, mbali na viwanja vya mapigano katika maeneo kadhaa nchini Sudan.
Rais wa Marekani amesema walinzi wake na jeshi la Marekani walimshauri kutumia ndege nyingine kufuatia tishio linalodaiwa kutoka Iran baada ya mkutano wa kilele wa NATO.
Michezo
















