Tunji Disu Ateuliwa Kaimu Inspekta Jenerali wa Polisi Nigeria

Baada ya kustaafu kwa Inspekta Jenerali wa awali, Tunji Disu ameteuliwa kuwa Kaimu Inspekta Jenerali wa Polisi nchini Nigeria, akitarajiwa kuendeleza jitihada za usalama wa taifa.
25 Februari, 2026
Katibu Mkuu wa NDC Zambia akamatwa kwa picha ya Rais iliyohaririwa

Mamlaka nchini Zambia yamekamata Katibu Mkuu wa chama cha NDC baada ya kueneza mtandaoni picha iliyohaririwa ya Rais, ikichukuliwa kama uharibifu wa hadhi ya kiongozi.
25 Februari, 2026
Nigeria yakana kulipa fidia kuachiwa kwa mateka wa St Mary’s

Serikali ya Nigeria yasema haikulipa fedha yoyote kwa waasi ili kuhakikisha kuachiliwa kwa waliotekwa nyara katika shule ya St Mary’s.
25 Februari, 2026
Achraf Hakimi afikishwa mahakamani Ufaransa kwa tuhuma za ubakaji

Mchezaji wa PSG na timu ya taifa ya Morocco anakabiliwa na kesi ya ubakaji inayotokana na tukio la Februari 2023, huku akiendelea kukanusha vikali tuhuma hizo.
24 Februari, 2026

Benki ya Dunia yapanga kutoa dola bilioni 6 kwa Msumbiji

Wakati wa Ramadhani Libya wakabiliwa na bei kubwa na mgawanyiko wa kisiasa

Chad yafunga mpaka wake na Sudan baada ya uvamizi wa makundi ya silaha

Mapigano yazuka tena mashariki mwa DRC licha ya wito wa kusitisha vita

Somaliland yajitolea kuwapa Marekani ufikiaji wa madini na vituo vya kijeshi
22 Februari, 2026
Museveni ahimiza mazungumzo kumaliza vita vya Sudan
Rais wa Uganda akutana na kiongozi wa RSF na kusisitiza suluhu ya mazungumzo badala ya ushindi wa kijeshi.

21 Februari, 2026
Mahakama ya kijeshi Cameroon yawahukumu askari watatu kwa mauaji ya raia 21 mwaka 2020
Askari watatu wafungwa jela kwa kuhusika katika mauaji ya raia, wakiwemo watoto na mwanamke mjamzito, katika mgogoro wa maeneo yanayozungumza Kiingereza.

21 Februari, 2026
Ujasusi wa Urusi wachukua nafasi ya Wagner katika kampeni za ushawishi barani Afrika
Ripoti mpya yafichua kuwa shirika la ujasusi la SVR limechukua shughuli za ushawishi na propaganda zilizokuwa zinaendeshwa na kundi la Wagner barani Afrika.

20 Februari, 2026
Zimbabwe yazindua dawa mpya ya kuzuia HIV ya Lenacapavir
Dawa ya sindano inayotolewa mara mbili kwa mwaka inatajwa kuwa karibu asilimia 100 yenye ufanisi katika kuzuia maambukizi ya HIV.

20 Februari, 2026
Putin amkaribisha rais wa Madagascar na kuahidi kuimarisha ushirikiano
Urusi na Madagascar zinalenga kupanua uhusiano katika sekta mbalimbali pamoja na kushirikiana katika majukwaa ya kimataifa.

20 Februari, 2026
Mtoto wa mwisho wa Robert Mugabe akamatwa baada ya tukio la kumpiga risasi mfanyakazi
Mwana wa rais wa zamani wa Zimbabwe anahojiwa na polisi Afrika Kusini kufuatia shambulio la risasi lililomjeruhi mfanyakazi wa bustani.

19 Februari, 2026
Uvujaji wa gesi mgodini Nigeria wauwa watu 37, wengine 26 walazwa hospitalini
Polisi wasema wachimbaji walikumbwa na gesi zenye sumu katika mgodi wa jimbo la Plateau; uchunguzi umeanzishwa.

18 Februari, 2026
Uturuki kuimarisha miradi ya umeme na nishati nchini Ethiopia
Waziri wa Nishati anasema lengo ni kuimarisha ushirikiano katika uzalishaji wa umeme, miundombinu ya gridi ya taifa, uwekezaji katika nishati ya ukarabati na miradi ya umeme wa maji.

18 Februari, 2026
Gabon yatangaza kufunga mitandao ya kijamii kwa muda
Serikali ya Gabon imepiga marufuku matumizi ya mitandao ya kijamii, ikisema kuwa inahusika na kuchochea migogoro na migawanyiko ndani ya jamii.

17 Februari, 2026
Nigeria yaonya raia wake dhidi ya kujisajili kupigana vita nje ya nchi
Wizara ya mambo ya nje inasema baadahi ya raia wa Nigeria walipelekwa katika uwanja wa vita baada ya kulaghaiwa kutia saini mikataba ya kijeshi.


