22 Februari, 2026

Museveni ahimiza mazungumzo kumaliza vita vya Sudan

Rais wa Uganda akutana na kiongozi wa RSF na kusisitiza suluhu ya mazungumzo badala ya ushindi wa kijeshi.

24

21 Februari, 2026

Mahakama ya kijeshi Cameroon yawahukumu askari watatu kwa mauaji ya raia 21 mwaka 2020

Askari watatu wafungwa jela kwa kuhusika katika mauaji ya raia, wakiwemo watoto na mwanamke mjamzito, katika mgogoro wa maeneo yanayozungumza Kiingereza.

23

21 Februari, 2026

Ujasusi wa Urusi wachukua nafasi ya Wagner katika kampeni za ushawishi barani Afrika

Ripoti mpya yafichua kuwa shirika la ujasusi la SVR limechukua shughuli za ushawishi na propaganda zilizokuwa zinaendeshwa na kundi la Wagner barani Afrika.

22

20 Februari, 2026

Zimbabwe yazindua dawa mpya ya kuzuia HIV ya Lenacapavir

Dawa ya sindano inayotolewa mara mbili kwa mwaka inatajwa kuwa karibu asilimia 100 yenye ufanisi katika kuzuia maambukizi ya HIV.

21

20 Februari, 2026

Putin amkaribisha rais wa Madagascar na kuahidi kuimarisha ushirikiano

Urusi na Madagascar zinalenga kupanua uhusiano katika sekta mbalimbali pamoja na kushirikiana katika majukwaa ya kimataifa.

20

20 Februari, 2026

Mtoto wa mwisho wa Robert Mugabe akamatwa baada ya tukio la kumpiga risasi mfanyakazi

Mwana wa rais wa zamani wa Zimbabwe anahojiwa na polisi Afrika Kusini kufuatia shambulio la risasi lililomjeruhi mfanyakazi wa bustani.

19

19 Februari, 2026

Uvujaji wa gesi mgodini Nigeria wauwa watu 37, wengine 26 walazwa hospitalini

Polisi wasema wachimbaji walikumbwa na gesi zenye sumu katika mgodi wa jimbo la Plateau; uchunguzi umeanzishwa.

1000000118 3

18 Februari, 2026

Uturuki kuimarisha miradi ya umeme na nishati nchini Ethiopia

Waziri wa Nishati anasema lengo ni kuimarisha ushirikiano katika uzalishaji wa umeme, miundombinu ya gridi ya taifa, uwekezaji katika nishati ya ukarabati na miradi ya umeme wa maji.

4007177356baaed657547ca6e04d4dadada35c4e8971044d594de6b03fd63664

18 Februari, 2026

Gabon yatangaza kufunga mitandao ya kijamii kwa muda

Serikali ya Gabon imepiga marufuku matumizi ya mitandao ya kijamii, ikisema kuwa inahusika na kuchochea migogoro na migawanyiko ndani ya jamii.

9dd345bb644b34d0ada5d00c866931f926001b45540c8cd49282b33440e5b2f1 main

17 Februari, 2026

Nigeria yaonya raia wake dhidi ya kujisajili kupigana vita nje ya nchi

Wizara ya mambo ya nje inasema baadahi ya raia wa Nigeria walipelekwa katika uwanja wa vita baada ya kulaghaiwa kutia saini mikataba ya kijeshi.

e73ace64b82ca765bc823aaa3de2d1a33f2abb78a030e5abf9e36e08d51ba468
Loading...