26 Mei, 2026

Thailand yaagiza wanaowasili kutoka DRC, Uganda kukaa karantini siku 21 kwa uangalizi wa Ebola

Thailand imeweka masharti ya lazima ya karantini ya siku 21 kwa wasafiri wanaotoka au waliopitia Jamhuri Kidemokrasia ya Congo au Uganda ili kudhibiti uwezekano wa maambukizi ya Ebola.

dc84a22d7c9468a2e18847c34fcd83aa7b68468910b2e5cff1daf0af2289ffd5

26 Mei, 2026

Ofisi ya Rais Tanzania yatetea haki ya uhamisho kwa watumishi wa umma

Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Juma Mkomi, amesisitiza umuhimu wa kuboresha usimamizi wa watumishi wa umma nchini.

85312a62c132ba22b91297317b75a97a5dfb08ac2c7318eff6aa2c470318e44b

26 Mei, 2026

Wabunge Tanzania wataka taifa kuheshimiwa kufuatia kauli za Marekani

Mjadala huo umeibuka baada ya kauli za wabunge wa Marekani kupendekeza kutafakari upya uhusiano wao na Tanzania

7f2e7621e6a4260436a417455f796b0fb5ef2e0ff8bce3c61027a178b1609e7a

26 Mei, 2026

Bunge la Senegal lamchagua aliyekuwa Waziri Mkuu Sonko kuwa spika mpya

Bunge la Senegal limemchagua aliyekuwa waziri mkuu kuwa spika

563471c2c06470dfa01915164a857fc5786308c18c7f8f6331ff9051d363089f

26 Mei, 2026

Watu watatu wauawa baada ya gari kugongana na ndovu katika mbuga nchini Uganda

Gari hilo lilikuwa limewabeba wafanyakazi wa Mamlaka ya Mapato Uganda.

cf286676161466eb68af0b4d391996a304b791ead44d488ab4fc1715e8164c53

26 Mei, 2026

Mamilioni ya mahujaji watekeleza nguzo muhimu ya Arafah

Hajj ni miongozi mwa nguzo tano za dini ya Kiislamu, kila Muislamu mwenye uwezo wa kifedha na afya anapaswa kutekeleza ibada hio angalau mara moja katika maisha yake.

013c45f7722fd3be78977b2fc4b48494f8461a400de392fe6d17f3046f78676f

26 Mei, 2026

Mkuu wa WHO kutembelea DRC huku tishio la mlipuko wa Ebola likiongezeka

Wakati mambukizi 101 na vifo 10 vilivyothibitishwa, Mkuu wa WHO Tedros Adhanom Ghebreyesus amesema kiwango halisi ni kikubwa zaidi.

2026 05 25t080906z 627705539 rc2rflaw8u9r rtrmadp 3 health ebola drc

25 Mei, 2026

Jeshi la Sudan ladhibiti eneo karibu na mpaka Ethiopian baada ya makabiliano na RSF

Jeshi la Sudan linasema Jumapili kuwa vikosi vyake vimedhibiti eneo la Al Baraka viungani mwa mji wa Al Kurmuk katika jimbo la Blue Nile karibu na mpaka wa Ethiopia.

033b15e450296dbc6e2f37fabe8756bc950ce50c6818d3ead48e22270da8a31b

25 Mei, 2026

Maporomoko ya ardhi katika mgodi haramu wa dhahabu Angola waua watu 28

Watu wasiopungua 28 wameuawa baada ya maporomoko ya ardhi kukumba mgodi haramu wa dhahabu mkoa wa kaskazini magharibi wa Bengo nchini Angola, mamlaka za nchini humo zilisema siku ya Jumatatu.

4ed947b3615c91c4cd9b9bec59c48bbe12acdc185e4e1e356dabbdb204d3f78d

25 Mei, 2026

Rais wa Uturuki Erdogan aadhimisha Siku ya Afrika, Umoja wa Afrika

Recep Tayyip Erdogan ametuma salamu kwa ‘kaka na dada zake wa Afrika’ kote barani, akieleza uhusiano thabiti wa kihistoria na ubinadamu

c41fc58f6b28b0b2fa57699d04bfe5602fcb667e27e404e744ada043c8404429
Loading...