Rais wa Uturuki ashtumu Israeli kwa mashambulizi ya Gaza, atoa wito kwa dunia kuwajibika

Recep Tayyip Erdogan ameishtumu Israeli kwa ‘mauaji ya kikatili,’ akiangazia kuhusu ukimya uliopo kutoka kwa mataifa duniani
21 Aprili, 2025
Uwanja wa Ndege wa Istanbul unakuwa wa kwanza Ulaya kuzindua ndege tatu kuruka kwa wakati mmoja

“Hii siyo tu mara ya kwanza kwa Uturuki, bali katika sekta ya anga barani Ulaya. Baada ya Marekani, Uturuki ndio nchi pekee ambayo imeanzisha utaratibu huo,” amesema Waziri.
21 Aprili, 2025
Erdogan: Wale wanaozuia utulivu wa Syria watakabiliana na Uturuki na Damascus kwa pamoja

Erdogan kuendeleza ushirikiano na serikali ya Syria kulinda umoja wa nchi hiyo, kuzuia juhudi za uvunjifu wa amani zinazoungwa mkono na mataifa ya kigeni, na kupinga majaribio ya kurudisha nyuma maendeleo yaliyopatikana tangu mabadiliko ya Disemba 8
16 Aprili, 2025
Uturuki yalaani shambulio baya katika kambi ya wakimbizi ya Sudan

Ankara yataka kusitishwa kwa mzingiro wa Al Fasher baada ya shambulio kwenye kambi ya Zamzam kuua raia na wafanyikazi wa misaada.
15 Aprili, 2025

Emine Erdogan apokea tuzo ya ‘Kiongozi Bora wa Kike Ulimwenguni’ katika Global Donors Forum

Uturuki ‘tegemeo’ Afrika, kiwango cha biashara chafika dola bilioni 36: Naibu Waziri wa Mambo ya Nje

Maandalizi ya mkutano wa Rais wa Uturuki, Marekani yanaendelea: Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki
Loading...


