24 Aprili, 2025

Erdogan: Uturuki iko tayari kuandaa michezo ya Olimpiki wakati UEFA ikifungua ofisi zake Istanbul

Rais wa Uturuki ameeleza sifa za taifa lake katika suala la michezo duniani wakati wa hafla ya maandalizi ya mechi za Euro 2032.

uefa

23 Aprili, 2025

Uturuki inasherehekea siku ya Uhuru na Siku ya Watoto, ikiwa pia ni siku ya kuanzishwa kwa Bunge

Huku sauti za watoto zikirindima kote nchini, Uturuki inaadhimisha kuanzishwa kwa bunge pia, ambapo mbegu ya uhuru ilipandwa na kutoa fursa kwa vizazi vya baadaye.

turkey 20front 20image

23 Aprili, 2025

Tetemeko la ardhi lenye ukubwa wa 6.2 lapiga Istanbul, hakuna madhara yaliyoripotiwa

Tetemeko la ardhi Istanbul. Nawatakia mema raia wetu, na tunafuatilia kwa karibu yanayojiri, amesema Rais Recep Tayyip Erdogan

aa 20250423 37723322 37723315 istanbulda 62 buyuklugunde deprem scaled

23 Aprili, 2025

Uturuki inatoa salamu za rambirambi kwa wahanga wa shambulio la Kashmir

Watu wenye silaha waliwafyatulia risasi watalii huko Pahalgam, na kusababisha vifo vya takriban watu 26.

fab 1

23 Aprili, 2025

Rais Erdogan wa Uturuki apongeza msimamo thabiti wa Pakistan kuhusu Gaza

“Pakistani ni mojawapo ya nchi ambazo zilijibu kwa nguvu zaidi mauaji ya halaiki huko Gaza,” anasema Recep Tayyip Erdogan.

fab

21 Aprili, 2025

Algeria inalenga kuimarisha kiwango cha biashara na Uturuki hadi dola Bilioni 10-Waziri wa Algeria

Mawaziri wa mambo ya nje wa Algeria, Uturuki wenyeviti wenza waratibu mkutano wa tatu wa mipango kati ya Uturuki na Algeria.

fidan 20algeria

21 Aprili, 2025

Maelfu waandamana kupinga mashambulizi ya Israeli Gaza

Jijini Istanbul kumefanyika maandamano yaliyotoa wito wa kutaka kusitishwa kwa mapingano yanayoendelea Gaza, Palestina, huku washiriki wakitaka hatua zaidi kutoka mataifa ya Kiislamu na kulaani ukimya wa dunia.

aa 20250420 37691605 37691594 ihh luyor ayaga kalk yuruyusu basladi scaled

21 Aprili, 2025

Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki Fidan akutana na ujumbe wa Hamas kujadili kusitisha mapigano Gaza

Ankara inataka mwitikio mkubwa wa kimataifa kwa vikwazo vya Israel dhidi ya Gaza na inathibitisha kuunga mkono maridhiano ya Wapalestina katika mazungumzo ya ngazi ya juu na uongozi wa Hamas.

fab 1 2 3 4 5 6

21 Aprili, 2025

Maspika wa Bunge wa nchi 13 wanapaza sauti zao dhidi ya mashambulizi ya Israel huko Gaza

Maspika wa bunge kutoka nchi 13 walikusanyika mjini Istanbul, ambako walilaani mashambulizi yanayoendelea ya Israel dhidi ya Gaza, wakataka hatua za haraka za kimataifa, na kusisitiza kuunga mkono Palestina.

fab 1 2

21 Aprili, 2025

Ubalozi wa Uturuki mjini Cairo waandaa hafla kuhusu uhusiano wa Misri na NATO, jukumu la Mawasiliano

Katika kuadhimisha miaka 100 ya uhusiano wa kidiplomasia wa Utuurki-Misri, Balozi Salih Mutlu Sen anasisitiza umuhimu wa kuimarisha uhusiano na Cairo, pamoja na kushirikiana na Italia kutumika kama Kituo cha Mawasiliano cha NATO mnamo 2025-2026.

fab 1
Loading...