Mwanafunzi wa Kituruki aliyeachiliwa Marekani awashukuru waliomuunga mkono

Rumeysa Ozturk, aliyeshikiliwa nchini Marekani kwa kuonyesha kuiunga mkono Palestina, amewashukuru walioonyesha mshikamano baada ya kuachiliwa katika kituo cha Louisiana, vyombo vya habari vimeripoti
10 Mei, 2025
Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki Fidan afichua alivyosalimika jaribio la kuuawa kwa sumu

Wanadiplomasia mkubwa wa Uturuki Hakan Fidan ameelezea alivyosalimika jaribio la kuuawa kupitia sumu ya zebaki na aseniki.
10 Mei, 2025
Rais wa Uturuki Erdogan awapongeza watu wa Ulaya wakati wakiadhimisha Siku ya Ulaya

Katika kipindi hiki kigumu, Umoja wa Ulaya uliyo thabiti ni muhimu kwa maslahi ya kila mtu, amesema Recep Tayyip Erdogan.
9 Mei, 2025
Uturuki yasema ripoti ya Bunge la Ulaya “inapotosha na haina msingi”

Ankara inasema ripoti ya Bunge la Ulaya ya mwaka 2023-2024 kuhusu Uturuki inakuza msimamo hasi dhidi ya Uturuki na kuzorotesha uhusiano na Umoja wa Ulaya kwa madai “yasiyo na msingi na yenye kuelemea upande mmoja.”
9 Mei, 2025

Waandishi wa habari wasifia Ziara ya Uturuki ya mbio za baiskeli

‘Meli ya Wema’ ya pili ya Uturuki yawasili Sudan na misaada

Waziri wa mambo ya nje wa Uturuki Hakan Fidan aelekea Qatar kwa mazungumzo kuhusu Gaza

Spika wa bunge la Uturuki ahudhuria mazishi ya Papa Francis huko Vatican

Rais wa Uturuki, waziri mkuu wa New Zealand wajadili uhusiano wa pande mbili huko Istanbul
24 Aprili, 2025
Erdogan: Uturuki iko tayari kuandaa michezo ya Olimpiki wakati UEFA ikifungua ofisi zake Istanbul
Rais wa Uturuki ameeleza sifa za taifa lake katika suala la michezo duniani wakati wa hafla ya maandalizi ya mechi za Euro 2032.

23 Aprili, 2025
Uturuki inasherehekea siku ya Uhuru na Siku ya Watoto, ikiwa pia ni siku ya kuanzishwa kwa Bunge
Huku sauti za watoto zikirindima kote nchini, Uturuki inaadhimisha kuanzishwa kwa bunge pia, ambapo mbegu ya uhuru ilipandwa na kutoa fursa kwa vizazi vya baadaye.

23 Aprili, 2025
Tetemeko la ardhi lenye ukubwa wa 6.2 lapiga Istanbul, hakuna madhara yaliyoripotiwa
Tetemeko la ardhi Istanbul. Nawatakia mema raia wetu, na tunafuatilia kwa karibu yanayojiri, amesema Rais Recep Tayyip Erdogan

23 Aprili, 2025
Uturuki inatoa salamu za rambirambi kwa wahanga wa shambulio la Kashmir
Watu wenye silaha waliwafyatulia risasi watalii huko Pahalgam, na kusababisha vifo vya takriban watu 26.

23 Aprili, 2025
Rais Erdogan wa Uturuki apongeza msimamo thabiti wa Pakistan kuhusu Gaza
“Pakistani ni mojawapo ya nchi ambazo zilijibu kwa nguvu zaidi mauaji ya halaiki huko Gaza,” anasema Recep Tayyip Erdogan.

21 Aprili, 2025
Algeria inalenga kuimarisha kiwango cha biashara na Uturuki hadi dola Bilioni 10-Waziri wa Algeria
Mawaziri wa mambo ya nje wa Algeria, Uturuki wenyeviti wenza waratibu mkutano wa tatu wa mipango kati ya Uturuki na Algeria.

21 Aprili, 2025
Maelfu waandamana kupinga mashambulizi ya Israeli Gaza
Jijini Istanbul kumefanyika maandamano yaliyotoa wito wa kutaka kusitishwa kwa mapingano yanayoendelea Gaza, Palestina, huku washiriki wakitaka hatua zaidi kutoka mataifa ya Kiislamu na kulaani ukimya wa dunia.

21 Aprili, 2025
Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki Fidan akutana na ujumbe wa Hamas kujadili kusitisha mapigano Gaza
Ankara inataka mwitikio mkubwa wa kimataifa kwa vikwazo vya Israel dhidi ya Gaza na inathibitisha kuunga mkono maridhiano ya Wapalestina katika mazungumzo ya ngazi ya juu na uongozi wa Hamas.

21 Aprili, 2025
Maspika wa Bunge wa nchi 13 wanapaza sauti zao dhidi ya mashambulizi ya Israel huko Gaza
Maspika wa bunge kutoka nchi 13 walikusanyika mjini Istanbul, ambako walilaani mashambulizi yanayoendelea ya Israel dhidi ya Gaza, wakataka hatua za haraka za kimataifa, na kusisitiza kuunga mkono Palestina.

21 Aprili, 2025
Ubalozi wa Uturuki mjini Cairo waandaa hafla kuhusu uhusiano wa Misri na NATO, jukumu la Mawasiliano
Katika kuadhimisha miaka 100 ya uhusiano wa kidiplomasia wa Utuurki-Misri, Balozi Salih Mutlu Sen anasisitiza umuhimu wa kuimarisha uhusiano na Cairo, pamoja na kushirikiana na Italia kutumika kama Kituo cha Mawasiliano cha NATO mnamo 2025-2026.



