Uturuki inapambana na moto wa nyikani huku hali ya joto kali ikichochea janga kote Ulaya

Makumi ya moto mkali wa misitu imeathiri nchi hiyo kila siku tangu mwishoni mwa Juni, ambayo ni sehemu ya mawimbi ya maafa yanayosababishwa na mabadiliko ya tabianchi yanayokumba Ulaya Kusini na Mediterenia.
28 Julai, 2025
Erdogan, Macron wanazungumza kuhusu mgogoro wa Gaza katika simu

Rais wa Uturuki aonya juu ya kuongezeka kwa mzozo wa kibinadamu huko Gaza, aita suluhisho la serikali mbili ‘muhimu’ na kupongeza utambuzi wa Ufaransa wa Palestina..
28 Julai, 2025
Uturuki yazindua bomu lake lenye nguvu zaidi lisilo la nyuklia la GAZAP

Silaha za Kisukuma GAZAP na NEB-2 zilizoletwa na Wizara ya Ulinzi ya Uturuki katika IDEF 2025.
27 Julai, 2025
Uturuki yasaini makubaliano ya kuuzia Indonesia ndege 48 za kivita za KAAN

Makubaliano hayo yanajumuisha uhamisho wa teknolojia na uzalishaji pamoja, ambapo utoaji utakamilishwa katika miaka 10 ijayo, huku Ankara ikipanua nafasi yake ya ulinzi.
26 Julai, 2025

Uturuki yaonya juu ya kuongezeka kwa mvutano nchini Syria, yahimiza umoja na azimio la amani

Uturuki yaonya juu ya kuongezeka kwa mvutano nchini Syria, yahimiza umoja na azimio la amani

Erdogan apongeza mazungumzo ya amani ya Urusi na Ukraine jijini Istanbul kama ‘hatua muhimu’

Hatua ya pili ya mazungumzo ya Urusi na Ukraine yakamilika jijini Istanbul

Klabu ya Alves Kablo ya nchini Uturuki yashinda Ligi ya Mabingwa kwa upande wa walemavu
31 Mei, 2025
Familia Imara, Jamii Imara: Rais Erdogan anasisitiza umuhimu wa kukuza maadili ya familia
Rais wa Uturuki Erdogan anapongeza bodi ya wakurugenzi na wafanyakazi wa Istanbul Family Foundation, pamoja na wale waliosaidia kuandaa Kongamano la 3 la Kimataifa la Familia, na pia aliwasalimu washiriki na wageni wote.

30 Mei, 2025
Uturuki inatarajia kuwa mwenyeji wa Trump, Putin na Zelenskyy lengo kumaliza vita Urusi na Ukraine
‘Tumeonesha kuwa mazungumzo ya Urusi na Ukraine jijini Istanbul yanaweza kuleta matokeo yenye tija,’ Hakan Fidan amesema wakati wa ziara yake nchini Ukraine

29 Mei, 2025
Erdogan aisindikiza meli ya kuzalisha gesi ya Uturuki Bahari Nyeusi
Kadiri Uturuki inavyoendelea kuwekeza kwenye uzalishaji wa gesi ya ndani, ndivyo Osman Gazi inavyozidi kuongeza nafasi ya nchi kujitegemea katika usalama wa nishati na ulinzi.

29 Mei, 2025
Sarajevo kuhodhi vikao vya umma ya Mahakama Maalum ya Gaza inayochunguza uhalifu wa vita vya Israeli
Majadiliano yatashughulika na mada mbalimbali, ikiwemo uhalifu wa ukoloni wa wakaaji, mifumo ya uhalifu, ubaguzi wa rangi, uhamisho wa lazima wa watu, ulinzi wa wananchi, mapungufu ya mfumo wa Umoja wa Mataifa, na kufanya maandamano kuwa uhalifu.

28 Mei, 2025
Uturuki yafanya maandalizi mazuri kwa mahujaji 84,000, yasifu ushirikiano na Saudia
Rais wa Masuala ya Dini wa Uturuki (Diyanet) amesema nchi imefanya operesheni kubwa mpaka sasa kusaidia mahujaji.

27 Mei, 2025
Uturuki, Urusi wasisitiza dhamira yao ya umoja wa Syria na mazungumzo ya amani ya Ukraine
Lavrov amepongeza hatua ya Uturuki katika kuwezesha mazungumzo ya amani kati ya Urusi na Ukraine, na kupendekeza jiji la Istanbul kama eneo la hatua ya pili ya majadiliano

27 Mei, 2025
Baghladesh yatafuta msaada Uturuki kurudisha misitu, na kuhifadhi mazingira
Dhaka inatafuta msaada wa kitaalamu wa Uturuki katika kudumisha utalii na uhifadhi wa mazingira baada ya kupoteza wanyama pori. Ankara imeonyesha utayari wa kusaidia katika mradi wa pamoja kupitia Shirika lake la Maendeleo TIKA.

27 Mei, 2025
Istanbul yaipita Frankfurt kama uwanja wa ndege unaotumika sana Ulaya kwa mizigo
Kundi la usafiri wa Ujerumani linasema kuwa Frankfurt imeachwa nyuma kwa sababu ya kuongezeka kwa gharama za ardhi, na urasimu.

26 Mei, 2025
Uturuki yaadhimisha Siku ya Afrika na nafasi yake ya uangalizi ndani ya umoja huo
Kulingana na Wizara ya Mambo ya Nje, Uturuki ni moja kati ya wadau wa kimkakati wa Umoja wa Afrika.

26 Mei, 2025
Kufundisha Kituruki kwa ulimwengu ni dhamira mpya ya Chuo Kikuu cha Anadolu
Maslahi ya kimataifa katika lugha ya Kituruki, ambayo yamezidishwa na TV na filamu, yamechochea fursa ya kitaaluma kupitia shahada ya kwanza ya ushiriki ya dijitali inayolenga wanafunzi wa kimataifa.



