21 Aprili, 2025

Uwanja wa Ndege wa Istanbul unakuwa wa kwanza Ulaya kuzindua ndege tatu kuruka kwa wakati mmoja

“Hii siyo tu mara ya kwanza kwa Uturuki, bali katika sekta ya anga barani Ulaya. Baada ya Marekani, Uturuki ndio nchi pekee ambayo imeanzisha utaratibu huo,” amesema Waziri.

istanbul 20airport

16 Aprili, 2025

Erdogan: Wale wanaozuia utulivu wa Syria watakabiliana na Uturuki na Damascus kwa pamoja

Erdogan kuendeleza ushirikiano na serikali ya Syria kulinda umoja wa nchi hiyo, kuzuia juhudi za uvunjifu wa amani zinazoungwa mkono na mataifa ya kigeni, na kupinga majaribio ya kurudisha nyuma maendeleo yaliyopatikana tangu mabadiliko ya Disemba 8

aa 20250415 37643645 37643641 cum 1467d42eb504abfdb5b 1744735062777

15 Aprili, 2025

Uturuki yalaani shambulio baya katika kambi ya wakimbizi ya Sudan

Ankara yataka kusitishwa kwa mzingiro wa Al Fasher baada ya shambulio kwenye kambi ya Zamzam kuua raia na wafanyikazi wa misaada.

fab 1 1

15 Aprili, 2025

Emine Erdogan apokea tuzo ya ‘Kiongozi Bora wa Kike Ulimwenguni’ katika Global Donors Forum

Mke wa Rais Emine Erdogan anatunukiwa mjini Istanbul kwa maono yake ya kibinadamu na utetezi wa kimataifa.

fab

15 Aprili, 2025

Uturuki ‘tegemeo’ Afrika, kiwango cha biashara chafika dola bilioni 36: Naibu Waziri wa Mambo ya Nje

Kiwango cha biashara cha Uturuki kimeongezeka katika miaka ya hivi karibuni, na kukuwa kutoka dola bilioni 3.6 hadi dola bilioni 36.

aa 20250414 37630097 37630096 dis afrika iliskilerini degerlendirdi

15 Aprili, 2025

Maandalizi ya mkutano wa Rais wa Uturuki, Marekani yanaendelea: Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki

Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki Hakan Fidan amesema kwamba jitihada zinaendelea kufanyika katika kuratibu mkutano kati ya Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan na Rais wa Marekani Donald Trump, pia akisema Erdogan anatarajia kuitembelea Syria.

hakan 20diplomasia
Loading...