Uturuki inaongoza juhudi za kimataifa katika diplomasia ya kibinadamu na amani – Rais Erdogan

“Tunafanya juhudi kubwa kujenga nchi na eneo lisilo na ugaidi, ghasia,” anasema Recep Tayyip Erdogan.
17 Mei, 2025
Macho yote Istanbul wakati majadiliano ya amani ya pande tatu ya Urusi, Ukraine yanaanza

Istanbul inaandaa mikutano muhimu ya amani ya pande tatu wakati Uturuki ikiwaleta Ukraine, Urusi, na Marekani mezani katika juhudi mpya ya kumaliza vita.
16 Mei, 2025
Ukraine, Urusi kufanya mazungumzo ya kwanza ya ana kwa ana tangu 2022 Istanbul

Zelenskyy anatarajiwa kuongoza Ukraine, na ujumbe wa Urusi unatarajiwa kuongozwa na Vladimir Medinsky, msaidizi wa Putin mwenye ushawishi mkubwa na aliyekuwa waziri wa utamaduni ambae alihusika katika majadiliano ya 2022
15 Mei, 2025
Erdogan, Trump, Mohammed bin Salman na al-Sharaa waanza mazungumzo kwa njia ya mtandao

Trump amesema Mfalme Mohammed bin Salman na Rais wa Uturuki Tayyip Erdogan wamemhimiza kukutana na Rais wa Syria al-Sharaa
14 Mei, 2025

Uturuki inaongoza mchakato wa kimataifa wa diplomasia kwa ajili ya amani — Erdogan

Mazungumzo ya Urusi na Ukraine nchini Uturuki ‘ni ya muhimu sana’ — Trump

Mapigo ya kihistoria dhidi ya ugaidi: PKK inatangaza kuvunja na kuweka chini silaha

Putin yuko tayari kwa mazungumzo ya moja kwa moja na Ukraine nchini Uturuki

Mwanafunzi wa Kituruki aliyeachiliwa Marekani awashukuru waliomuunga mkono
10 Mei, 2025
Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki Fidan afichua alivyosalimika jaribio la kuuawa kwa sumu
Wanadiplomasia mkubwa wa Uturuki Hakan Fidan ameelezea alivyosalimika jaribio la kuuawa kupitia sumu ya zebaki na aseniki.

9 Mei, 2025
Rais wa Uturuki Erdogan awapongeza watu wa Ulaya wakati wakiadhimisha Siku ya Ulaya
Katika kipindi hiki kigumu, Umoja wa Ulaya uliyo thabiti ni muhimu kwa maslahi ya kila mtu, amesema Recep Tayyip Erdogan.

9 Mei, 2025
Uturuki yasema ripoti ya Bunge la Ulaya “inapotosha na haina msingi”
Ankara inasema ripoti ya Bunge la Ulaya ya mwaka 2023-2024 kuhusu Uturuki inakuza msimamo hasi dhidi ya Uturuki na kuzorotesha uhusiano na Umoja wa Ulaya kwa madai “yasiyo na msingi na yenye kuelemea upande mmoja.”

7 Mei, 2025
Waandishi wa habari wasifia Ziara ya Uturuki ya mbio za baiskeli
Waandishi wa habari wa kimataifa wanaoendesha baiskeli wamesifu Ziara ya Rais wa Baiskeli ya Uturuki ya miaka 60 kama tukio la aina yake katika jukwaa la kimataifa.

7 Mei, 2025
‘Meli ya Wema’ ya pili ya Uturuki yawasili Sudan na misaada
Meli hiyo ya kibinadamu iliwasilisha misaada muhimu ikiwa ni pamoja na vifurushi vya chakula, nguo, vifaa vya usafi na vifaa vya makazi huku mzozo wa kivita kati ya makundi hasimu ya kijeshi ukiendelea.

27 Aprili, 2025
Waziri wa mambo ya nje wa Uturuki Hakan Fidan aelekea Qatar kwa mazungumzo kuhusu Gaza
Waziri Fidan atakutana na amir na waziri mkuu wa Qatar ili kuimarisha ushirikiano wa pande mbili na kuratibu diplomasia ya kikanda huku kukiwa na mzozo wa Gaza.

27 Aprili, 2025
Spika wa bunge la Uturuki ahudhuria mazishi ya Papa Francis huko Vatican
Zaidi ya watu 250,000, ikiwa ni pamoja na viongozi mbalimbali wa dunia, familia ya kifalme, walihudhuria mazishi ya papa.

26 Aprili, 2025
Rais wa Uturuki, waziri mkuu wa New Zealand wajadili uhusiano wa pande mbili huko Istanbul
Mkutano katika Ofisi ya Rais ya Dolmabahce pia unashughulikia masuala ya kikanda na kimataifa.

24 Aprili, 2025
Erdogan: Uturuki iko tayari kuandaa michezo ya Olimpiki wakati UEFA ikifungua ofisi zake Istanbul
Rais wa Uturuki ameeleza sifa za taifa lake katika suala la michezo duniani wakati wa hafla ya maandalizi ya mechi za Euro 2032.

23 Aprili, 2025
Uturuki inasherehekea siku ya Uhuru na Siku ya Watoto, ikiwa pia ni siku ya kuanzishwa kwa Bunge
Huku sauti za watoto zikirindima kote nchini, Uturuki inaadhimisha kuanzishwa kwa bunge pia, ambapo mbegu ya uhuru ilipandwa na kutoa fursa kwa vizazi vya baadaye.

