29 Januari, 2026

Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran kuelekea Uturuki kwa mazungumzo muhimu siku ya Ijumaa

Uturuki inatarajiwa kusisitiza kupinga kwake hatua ya kijeshi dhidi ya Iran huku ikishinikiza kuwepo kwa uhusiano wa kina wa kiuchumi na uratibu wa kikanda.

efb1b8943318f55b1e26b4d7aaf4cc0d1f1b6cc39e76d3d86abe56191b71ee83

23 Januari, 2026

Erdogan amesema Uturuki inapinga uingiliaji wa nje nchini Iran katika mazungumzo na Pezeshkian

Rais wa Uturuki Erdogan asema kupunguzwa kwa uhasama na utulivu wa kikanda bado ni jambo muhimu huku maandamano yakiendelea kote Iran.

ff9ca3c9f541694f8e72f96f9e5f01288486de6cf457ef859743ed49d1eb2ced

22 Januari, 2026

Uturuki yaongeza muda wa vikosi vyake vya wanamaji katika Ghuba ya Aden kwa mwaka mmoja

Hatua hiyo inalenga kulinda meli za Uturuki, kuimarisha mapambano dhidi ya uharamia, na usalama wa baharini.

74853df47fa027bc2c7af06887ba68557869061c007bafdd5af2571cd5dd546d

21 Januari, 2026

Erdogan na Trump wamejadili hali ya Syria, Uturuki kuratibu na Marekani kuhusu Gaza

Rais wa Uturuki, Recep Tayyip Erdogan, amesema kuwa “Syria iliyo na amani, isiyo na ugaidi na inayokua katika nyanja zote, itachangia utulivu wa eneo zima.”

3bb5cacf75ad5b8c7a4f71c3da1d3ada64e79c1188d6be50553b48e5dc392c1b

16 Januari, 2026

Hakuna anayetaka kupigwa picha na Netanyahu tena, anasema Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki Fidan

Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki anasema sera za Netanyahu, ambazo zimesababisha vifo na uharibifu katika eneo, zimeifanya Israel kutengwa kimataifa.

ac81723ded8cb0ff0b940b10aa4813dea1011b325a431f6d2f007d510b293804

16 Januari, 2026

Mkataba wa ulinzi kati ya Uturuki, Pakistan na Saudi Arabia ‘unajadiliwa’

Waziri wa Pakistan Raza Hayat Harraj amesema kuwa “nchi zote tatu zinaendelea kujadiliana” kuhusu rasimu ya makubaliano, huku waziri mkuu wa mambo ya nje wa Uturuki, Hakan Fidan, akithibitisha kuwa mazungumzo hayo yamefanyika.

7022c315c1a7eaecee8f404648322eb5c17ae33ee09fc699fdfa38ad542ef37b

15 Januari, 2026

Uturuki yapinga vikali hatua yoyote ya kijeshi dhidi ya Iran

Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki amesema matatizo ya kiuchumi ya Iran yanatokana na vikwazo vilivyowekwa dhidi ya nchi hiyo, na kwamba Iran kutatua matatizo na “baadhi ya wadau” kuntanufaisha pia Uturuki.

7585943a445961a686c6edb96d9787e87657866c6e717fef8aa625de01cb17eb

14 Januari, 2026

Watalii wawili wa Uturuki wauawa katika shambulio la risasi Ethiopia

Shambulio la risasi lilitokea katika eneo la vijijini karibu na mji wa Tum, Kusini-Magharibi mwa Ethiopia, huku uchunguzi bado unaendelea, kulingana na balozi wa Uturuki nchini Ethiopia.

067d9dec8fc14f6d95dc33d32bceecaa240870a37b198ceb983fdd3f0ea590ab

14 Januari, 2026

Uturuki na Somalia zasaini makubaliano ya ajira, kuimarisha ushirikiano wa nguvukazi

Makubaliano hayo yanaweka mfumo wa kisheria wa kufaidishana kitaalamu, nyaraka, na kuratibu sera za ajira kati ya Uturuki na Somalia.

1768390119925 97mmva abe64c56513152095181d07c7cebb7bf6fb5f1e7cf5b514f8c2765fdee6e8d60

12 Januari, 2026

Uturuki yaonya dhidi ya uingiliaji wa nje nchini Iran, yatoa wito wa suluhu za ndani

Uturuki imeonya kuwa uingiliaji wowote wa nje katika nchi jirani ya Iran utaongeza na kuzidisha migogoro, si tu nchini humo bali pia katika eneo lote.

04874cf2bdc6425bf96216ed8736a29795d2c2ce89b008f0b7ec8f535f6df0d3
Loading...