27 Julai, 2025

Uturuki yazindua bomu lake lenye nguvu zaidi lisilo la nyuklia la GAZAP

Silaha za Kisukuma GAZAP na NEB-2 zilizoletwa na Wizara ya Ulinzi ya Uturuki katika IDEF 2025.

51342498cef0b31183a3f99628155c37278ac286905473703771adcfc0ee7236

26 Julai, 2025

Uturuki yasaini makubaliano ya kuuzia Indonesia ndege 48 za kivita za KAAN

Makubaliano hayo yanajumuisha uhamisho wa teknolojia na uzalishaji pamoja, ambapo utoaji utakamilishwa katika miaka 10 ijayo, huku Ankara ikipanua nafasi yake ya ulinzi.

77d57c9d03f2cb0e54e5493ada030d05b1ebead886a9b14e5f37612b8156f611

26 Julai, 2025

Uturuki yaonya juu ya kuongezeka kwa mvutano nchini Syria, yahimiza umoja na azimio la amani

Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki Hakan Fidan anasema Uturuki inaendelea kujitolea kwa utimililifu wa eneo la Syria na kuwaita pande zote kuondoa silaha na kutafuta mazungumzo.

db4df3828bab3c817aca994662e5f6bb6505a4ffa3465e919171e3883bb407c0

26 Julai, 2025

Uturuki yaonya juu ya kuongezeka kwa mvutano nchini Syria, yahimiza umoja na azimio la amani

Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki Hakan Fidan anasema Uturuki inaendelea kujitolea kwa utimililifu wa eneo la Syria na kuwaita pande zote kuondoa silaha na kutafuta mazungumzo.

db4df3828bab3c817aca994662e5f6bb6505a4ffa3465e919171e3883bb407c0

2 Juni, 2025

Erdogan apongeza mazungumzo ya amani ya Urusi na Ukraine jijini Istanbul kama ‘hatua muhimu’

Matamshi ya rais wa Uturuki yanafuatia hatua nyingine ya mazungumzo ya Urusi na Ukraine jijini Istanbul, ambayo aliyapongeza licha ya mashambulizi ya Ukraine ya hivi karibuni ya ndege zisizokuwa na rubani dhidi ya miundombinu ya kijeshi ya Urusi.

ce2a3238a44ef9ef187d041cec863ff14ca17c5abc81f4d10496b04452a76983

2 Juni, 2025

Hatua ya pili ya mazungumzo ya Urusi na Ukraine yakamilika jijini Istanbul

Ukraine inasema imetaka kurudishwa kwa watoto kutoka Urusi

e3da168adfa268c3970c6cbf2ad09fbdd196157c23295d8b8858d8b053f1231e

2 Juni, 2025

Klabu ya Alves Kablo ya nchini Uturuki yashinda Ligi ya Mabingwa kwa upande wa walemavu

Timu ya walemavu ya Alves Kablo imetwaa ubingwa huo baada ya kuibugiza Wisla Krakow ya Poland kwa jumla ya mabao 6-1, katika mchezo wa fainali uliofanyika jijini Ankara.

4434faaf3106034cbe10bc5c7713c1558fa1c8e179ef3523a82430fa9a891e9c

31 Mei, 2025

Familia Imara, Jamii Imara: Rais Erdogan anasisitiza umuhimu wa kukuza maadili ya familia

Rais wa Uturuki Erdogan anapongeza bodi ya wakurugenzi na wafanyakazi wa Istanbul Family Foundation, pamoja na wale waliosaidia kuandaa Kongamano la 3 la Kimataifa la Familia, na pia aliwasalimu washiriki na wageni wote.

2a8afcd8c942ed3f6fae8611790c14cff712bc9647ae4c7a1a5f32c3323d0145

30 Mei, 2025

Uturuki inatarajia kuwa mwenyeji wa Trump, Putin na Zelenskyy lengo kumaliza vita Urusi na Ukraine

‘Tumeonesha kuwa mazungumzo ya Urusi na Ukraine jijini Istanbul yanaweza kuleta matokeo yenye tija,’ Hakan Fidan amesema wakati wa ziara yake nchini Ukraine

715603e99fb352722cfce99643789f2dfc48c8ddee00434a2c3e740643c75da1

29 Mei, 2025

Erdogan aisindikiza meli ya kuzalisha gesi ya Uturuki Bahari Nyeusi

Kadiri Uturuki inavyoendelea kuwekeza kwenye uzalishaji wa gesi ya ndani, ndivyo Osman Gazi inavyozidi kuongeza nafasi ya nchi kujitegemea katika usalama wa nishati na ulinzi.

924ff8ec7b1f97f6bc104981a0fd28af59c2c3b215bbbbce8856680813fb422a
Loading...