15 Mei, 2026

FBI yatoa zawadi ya Dola 200,000 kwa afisa wa Zamani wa Jeshi la Marekani anayetuhumiwa kujiunga na

Katika taarifa iliyotolewa Alhamisi, FBI imesema inaamini kuwa Witt bado anaendelea kushirikiana na shughuli za kijasusi za Iran hadi sasa.

620ce66b99598a1e57bd86c1e220179f0e1264fb61ee7316a6629179095b8161

15 Mei, 2026

Kansela wa Ujerumani Friedrich Merz azomewa baada ya kuzinadi sera za serikali

Moja wa washiriki wa kongamano hilo, alimjia juu kiongozi huyo kufuatia matamshi yake ya hivi karibuni ya kuwataka Wajerumani waongezewe muda wa kufanya kazi.

1778848388349 kqq3v af715de609e608bbea7d03d552830e0e67d62a4c2e5bbb4cdbe16deecec73274

15 Mei, 2026

Droni za Ukraine zaua 4 Urusi

Tukio hilo linafuatia shambulio la awali lililofanywa na Urusi dhidi ya Ukraine, na kuua watu 24 huko Kiev.

0c9578cf3e9b64dd06a4f48f9dc57263440a78e38619d9007fe5b0860d24c4c1

14 Mei, 2026

Rais wa China asema hatoipatia Iran silaha: Trump

“Alisema hatatoa vifaa vya kijeshi. Hio ni kauli muhimu sana”, Rais Trump wa Marekani amesema baada ya kukutana na Rais Xi wa China, akiongeza kuwa China inataka kuona Mlango-Bahari wa Hormuz ukifunguliwa.

ce209bb5a50cc1414c000486cfb13fd3bf9f06f5475669538524e41292230556

14 Mei, 2026

Xi na Trump wakubaliana kwamba ‘Mlango-Bahari wa Hormuz lazima ubaki wazi – Ikulu ya White House

Marais wa Marekani na China walifanya “mkutano mzuri,” wakijadili pia kupanua upatikanaji wa soko kwa biashara za Marekani nchini China, Msemaji wa Ikulu ya White House amesema.

2026 05 14t102136z 149424028 rc2y8la3bbqc rtrmadp 3 china usa

14 Mei, 2026

Wapalestina kufanya uchaguzi wa rais na wabunge

Abbas na Mamlaka ya Palestina, wapo katika shinikizo kubwa kutoka kwa Marekani, Umoja wa Ulaya na Umoja wa Nchi za Kiarabu, ya kuleta mageuzi na kuendesha uchaguzi, huku taifa hilo likikabiliwa na kudumaa kwa siasa na uwepo wa tuhuma za ufisadi.

49ab79bd4f120717e920a36cb4ff0ede038d0c52a504eecee88c285860a949d2

14 Mei, 2026

Hamas haipaswi kuondoka kisiasa: Balozi wa Bodi ya Amani

Nickolay Mladenov anasema kundi la upinzani la Palestina la Hamas linaweza kubaki kama kundi la kisiasa, lakini makundi yenye silaha lazima yaweke silaha chini.

mideast wars mladenov 69762

13 Mei, 2026

Netanyahu amezuru UAE na kukutana na Rais wa nchi hiyo kwa siri wakati wa vita vya Iran

Tangazo kutoka Israel limekuja siku moja baada ya balozi wa Marekani Mike Huckabee kusema kuwa Israel ilipeleka mfumo wa Ulinzi wa Iron Dome pamoja na maafisa wa kuiendesha katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) wakati wa vita na Iran.

2549840088263c1cf5af4cda806c90a30d931241dba67ae53d1fcdf90e13e279

13 Mei, 2026

Rais Trump wa Marekani awasili Beijing kwa mazungumzo muhimu na Rais Xi wa China

Rais wa Marekani Donald Trump ameanza ziara yake ya kwanza nchini China katika karibu muongo mmoja huku mazungumzo na Xi Jinping yakitarajiwa kujikita katika masuala ya Iran, Taiwan, ushuru wa forodha na usafirishaji wa madini adimu.

1778678828738 ad5v1l 2e23173e0c9263befef3ee4e53e65c6e72952f08fb1971e5bb40d648893d70c2

13 Mei, 2026

Taarifa za kijasusi za Marekani zaonyesha kuwa Iran bado ina uwezo mkubwa wa kurusha makombora

Tathmini ya kijasusi zinaonyesha kuwa Iran imerejesha uwezo wa kutumia sehemu nyingi za kurushia makombora, ikiwemo maeneo 30 kati ya 33 ya makombora yaliyo karibu ya Mlango-Bahari wa Hormuz.

7856098654cf98b12230376e79b7e659d66e54672a454822bdb51921a3f792c8
Loading...