Mapigano yazuka tena mashariki mwa DRC licha ya wito wa kusitisha vita

Jeshi la Congo na waasi wa AFC-M23 watupiana lawama kwa kuvunja makubaliano ya usitishaji mapigano yaliyopendekezwa na Angola.
23 Februari, 2026
Somaliland yajitolea kuwapa Marekani ufikiaji wa madini na vituo vya kijeshi

Eneo hilo linalotaka kutambuliwa kimataifa lasema liko tayari kushirikiana na Marekani na Israel katika rasilimali na usalama.
22 Februari, 2026
Mahakama ya kijeshi Cameroon yawahukumu askari watatu kwa mauaji ya raia 21 mwaka 2020

Askari watatu wafungwa jela kwa kuhusika katika mauaji ya raia, wakiwemo watoto na mwanamke mjamzito, katika mgogoro wa maeneo yanayozungumza Kiingereza.
21 Februari, 2026
Mtoto wa mwisho wa Robert Mugabe akamatwa baada ya tukio la kumpiga risasi mfanyakazi

Mwana wa rais wa zamani wa Zimbabwe anahojiwa na polisi Afrika Kusini kufuatia shambulio la risasi lililomjeruhi mfanyakazi wa bustani.
20 Februari, 2026

Uvujaji wa gesi mgodini Nigeria wauwa watu 37, wengine 26 walazwa hospitalini

Waandamanaji wakabili maonyesho ya silaha huko Tel Aviv

Uingereza yaweka marufuku ya matangazo ya vyakula visivyo na afya kwenye televisheni na mitandaoni
Loading...


