17 Desemba, 2025

RSF yaharibu ushahidi wa ukatili nchini Sudan: ripoti

Wapiganaji nchini Sudan wa kundi la RSF wamekuwa wakifanya kwa makusudi maujai ya kikatili na kuharibu miili katika mji wa Al Fasher, ripoti mpya imebaini.

da123b79282b05a3e203b382b1310f524c20c8abeb7ca58fe09addba5af04b3e

17 Desemba, 2025

Somalia na Uturuki kuimarisha ushirikiano katika sekta ya uvuvi kupitia makubaliano ya kimkakati

Makubaliano hayo yatatoa fursa kwa sekta ya uvuvi ya Uturuki kufikia bahari ya Somalia na una lengo la kutengeneza za ajira mpya kwa watu wa Somalia na kufanya taifa hilo kufikia biashara ya kimataifa.

e09f63c8899230a0dc09994ff22e776dce24046f394448a40a8e638c233d6847

17 Desemba, 2025

Tanzania miongoni mwa nchi zilizopigwa marufuku kusafiri Tanzania

Tanzania ni miongoni mwa nchi za Afrika zilizoathiriwa na hatua mpya za serikali ya Marekani za kudhibiti uingiaji wa raia wa baadhi ya mataifa nchini humo.

1765977137876 alydxm ecac2c7d4a199b533a0b2479f186f65c6e7b723a4be49b132a5d66f5398f8b0c main

17 Desemba, 2025

Tanzania yatuma mwaliko kwa wabunge wa Marekani

Mwaliko huo unakuja wiki chache, baada ya serikali ya Marekani kusema kuwa inatathimini upya uhusiano wake na Tanzania.

880d11a8ea66aa13f019bfd94fa4b998c2aca3cc9c2cb158c5e7eb82300e9355

17 Desemba, 2025

Tanzania: Maafisa uhamiaji watatu wahukumiwa kunyongwa kwa kusababisha kifo

Hukumu hiyo imetolewa Desemba 15, 2025, na Jaji Augustine Rwizile, ambapo amesema kuwa ushahidi uliowasilishwa mahakamani hapo umethibitisha pasi na kuacha shaka kuwa maafisa hao watatu walimuua Enos, kwa kumtuhumu kuwa si raia wa Tanzania.

3a9e16aa63b15e36e19d0af4ca7ad708f6cc4e81518cfc86fe9b8d79275213ee

17 Desemba, 2025

DRC inamkamata waziri wa zamani wa mambo ya ndani katika serikali ya kiongozi wa zamani Kabila

Aliyekuwa mgombea urais katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo alikamatwa siku ya Jumanne mjini Kinshasa, chama chake cha kisiasa kilitangaza, kikisema kuwa hakuna sababu zilizotolewa za kukamatwa kwake.

83b8f46bca883012a5616f4d48cd83c8f0cb88ab71cc3677a23bbacc65c75fd8 main

16 Desemba, 2025

Mke wa rais wa Guinea-Bissau aliyepinduliwa akamatwa baada ya abiria mwenzake kukutwa na $5.9m

Mamlaka za nchini Ureno zimemshtaki mke wa rais wa Guinea-Bissau aliyepinduliwa, ikiwa ni sehemu ya uchunguzi kuhusu madai ya utakatishaji fedha, polisi walisema siku ya Jumanne.

f66d0b020fb2c88eeaddc742f006d2410224c85175cdcf06aa0180a3b80f6bce

16 Desemba, 2025

Droni zimewaua raia zaidi ya 100 Sudan tangu Disemba 4: Umoja wa Mataifa

Watu wasiopungua 104 wameuawa, ikiwemo watoto 43, katika mashambulizi mbalimbali eneo la Kordofan nchini Sudan tangu Disemba 4, ofisi ya Umoja wa Mataifa kuhusu haki za binadamu ilisema siku ya Jumanne.

7ed4489e4665c28caf2868bf9aef4427de237f4d97a14d2a59e4b1f03ba168e8

16 Desemba, 2025

Wamisri wasiopungua 14 wafariki baada ya boti la wahamiaji kuzama Crete: Cairo

Wamisri wasiopungua 14 wamefariki baada ya boti la wahamiaji kuzama karibu na bandari katika kisiwa cha Crete cha Ugiriki, Wizara ya Mambo ya Nje ilisema siku ya Jumanne.

77a8d444d5e83b5e2446b848d80fa21738f24baf06d7090d67635e960a8f0d03

16 Desemba, 2025

Benin yawakamata watu karibu 30 kuhusiana na jaribio la mapinduzi

Benin imewakamata watu takriban 30, wengi wao wanajeshi, kwa madai ya kuhusika na jaribio la mapinduzi lililotibuliwa mwezi huu, vyanzo vya kisheria vimeiambia AFP.

c6d7b92717451588a610f4781e56138c6d16759214d3d4918eda2256d05b9687
Loading...