Mjumbe wa UN anasema usalama bado ni tete Tripoli, magharibi mwa Libya

Hanna Tetteh ametoa wito ‘kwa wadau wote kufanya kazi pamoja kwa lengo la kutekeleza masuala ya usalama, mabadiliko muhimu ili kupata uthabiti’
19 Desemba, 2025
WHO inasema mashambulizi kwa sekta ya afya Sudan yanaendelea kuwa hatari, na kuenea kila mahali

Shirika la afya la Umoja wa Mataifa linaripoti kuwa vifo zaidi ya 1,800 kutokana na mashambulizi kwa sekta ya afya tangu 2023
19 Desemba, 2025
Sudan: Watu zaidi ya 50,000 wakimbia mapigano Kordofan, Umoja wa Mataifa unasema

Shirika la Umoja wa Mataifa linasema raia wanakimbia wakiwa na hofu huku mapigano yakienea kote katika miji muhimu katika maeneo ya Kordofan ya Sudan
19 Desemba, 2025
Ujumbe wa Umoja wa Mataifa waondoka Kadugli baada ya shambulio dhidi ya walinda amani

Shambulio la droni la RSF limeua walinda amani sita kutoka Bangladesh na wengine wanane kujeruhiwa, tarehe 13 Disemba.
19 Desemba, 2025

Nigeria yafungua upya shule 47 za serikali zilizofungwa kufuatia utekaji wa wanafunzi

Majasusi wa M23 wasalia Uvira, DRC, licha ya majeshi kuondoka, wanasema wenyeji

Zaidi ya raia 50,000 wameondoka katika makazi yao eneo la Kordofan, Sudan sababu ya usalama: UN

Burkina Faso, Mali, Niger yaanzisha benki ya uwekezaji kufadhili miradi ya miundombinu

Takriban watu 12 wameuawa katika eneo la uchimbaji madini nchini Nigeria
17 Desemba, 2025
RSF yaharibu ushahidi wa ukatili nchini Sudan: ripoti
Wapiganaji nchini Sudan wa kundi la RSF wamekuwa wakifanya kwa makusudi maujai ya kikatili na kuharibu miili katika mji wa Al Fasher, ripoti mpya imebaini.

17 Desemba, 2025
Somalia na Uturuki kuimarisha ushirikiano katika sekta ya uvuvi kupitia makubaliano ya kimkakati
Makubaliano hayo yatatoa fursa kwa sekta ya uvuvi ya Uturuki kufikia bahari ya Somalia na una lengo la kutengeneza za ajira mpya kwa watu wa Somalia na kufanya taifa hilo kufikia biashara ya kimataifa.

17 Desemba, 2025
Tanzania miongoni mwa nchi zilizopigwa marufuku kusafiri Tanzania
Tanzania ni miongoni mwa nchi za Afrika zilizoathiriwa na hatua mpya za serikali ya Marekani za kudhibiti uingiaji wa raia wa baadhi ya mataifa nchini humo.

17 Desemba, 2025
Tanzania yatuma mwaliko kwa wabunge wa Marekani
Mwaliko huo unakuja wiki chache, baada ya serikali ya Marekani kusema kuwa inatathimini upya uhusiano wake na Tanzania.

17 Desemba, 2025
Tanzania: Maafisa uhamiaji watatu wahukumiwa kunyongwa kwa kusababisha kifo
Hukumu hiyo imetolewa Desemba 15, 2025, na Jaji Augustine Rwizile, ambapo amesema kuwa ushahidi uliowasilishwa mahakamani hapo umethibitisha pasi na kuacha shaka kuwa maafisa hao watatu walimuua Enos, kwa kumtuhumu kuwa si raia wa Tanzania.

17 Desemba, 2025
DRC inamkamata waziri wa zamani wa mambo ya ndani katika serikali ya kiongozi wa zamani Kabila
Aliyekuwa mgombea urais katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo alikamatwa siku ya Jumanne mjini Kinshasa, chama chake cha kisiasa kilitangaza, kikisema kuwa hakuna sababu zilizotolewa za kukamatwa kwake.

16 Desemba, 2025
Mke wa rais wa Guinea-Bissau aliyepinduliwa akamatwa baada ya abiria mwenzake kukutwa na $5.9m
Mamlaka za nchini Ureno zimemshtaki mke wa rais wa Guinea-Bissau aliyepinduliwa, ikiwa ni sehemu ya uchunguzi kuhusu madai ya utakatishaji fedha, polisi walisema siku ya Jumanne.

16 Desemba, 2025
Droni zimewaua raia zaidi ya 100 Sudan tangu Disemba 4: Umoja wa Mataifa
Watu wasiopungua 104 wameuawa, ikiwemo watoto 43, katika mashambulizi mbalimbali eneo la Kordofan nchini Sudan tangu Disemba 4, ofisi ya Umoja wa Mataifa kuhusu haki za binadamu ilisema siku ya Jumanne.

16 Desemba, 2025
Wamisri wasiopungua 14 wafariki baada ya boti la wahamiaji kuzama Crete: Cairo
Wamisri wasiopungua 14 wamefariki baada ya boti la wahamiaji kuzama karibu na bandari katika kisiwa cha Crete cha Ugiriki, Wizara ya Mambo ya Nje ilisema siku ya Jumanne.

16 Desemba, 2025
Benin yawakamata watu karibu 30 kuhusiana na jaribio la mapinduzi
Benin imewakamata watu takriban 30, wengi wao wanajeshi, kwa madai ya kuhusika na jaribio la mapinduzi lililotibuliwa mwezi huu, vyanzo vya kisheria vimeiambia AFP.



