25 Desemba, 2025

Polisi akataa rushwa ya dola $50,000 katika uwanja wa ndege nchini Zambia

Tume ya Kupambana na Rushwa ya Zambia (ACC) imempongeza polisi wa kike aliyekataa rushwa ya dola $50,000 kutoka kwa mshukiwa wa utakatishaji fedha katika uwanja wa ndege mji mkuu wa Lusaka.

927e4404e24a4373e6698ac70ad0cf2e8950b1a3b6f9147fe06de1d9941d68f3

25 Desemba, 2025

Uturuki, Libya kufanya uchunguzi wa pamoja wa ajali ya ndege iliyomuua mkuu wa majeshi, wengine saba

Mkuu wa Idara ya Upelelezi wa Makosa ya Jinai ya Libya na ujumbe wake, walitembelea Ofisi ya Mwendesha Mashtaka wa Ankara Alhamisi, huku uchunguzi wa pamoja wa ajali ya Jumanne ya ndege ukiendelea.

277240671b3f3d671b3e1256f67a0390bed46c08c7426ea1a085ac338d4d792f

25 Desemba, 2025

Waendesha mashtaka Uturuki kufanya uchunguzi wa kina kuhusu ajali ya ndege ya Libya Ankara

Uturuki pia itaangazia hali ya rubani, ubora wa kiufundi, rekodi za ndege, ikiwemo vipuri.

27fc125300a5eaf16f121dba67fdaadade8d005ef69132772b354f98a0b0c779

25 Desemba, 2025

Mlipuko msikitini waua kadhaa katika jimbo la Borno, Nigeria

Mlipuko ulitokea msikitini wakati wa sala ya jioni Jumatano katika eneo la Maiduguri, mji mkuu wa jimbo la Borno nchini Nigeria, kwa mujibu wa shahidi aliyeongea na Reuters.

2025 03 23t133122z 267456682 mt1usdaynetlp7058761001 frtpip 3 usa today network 1 main

24 Desemba, 2025

Tembo waua watu wanne Kenya katika kipindi cha wiki moja

Baadhi ya raia wa Kenya walilalamika siku ya Jumatano baada ya tembo waliokuwa wakiranda randa kuwaua watu wanne katika kipindi cha wiki moja kwa kile wataalamu wanaeleza mzozo kati ya binadamu na wanyamapori unaosababishwa na uhaba wa malisho.

d67eb33ad36a5acd2bd74e60710de7f453e18404535cd24cdeb56b6df1c9be0b

24 Desemba, 2025

RSF yadai kuchukuwa udhibiti wa maeneo mawili katika eneo la Sudan la Kaskazini mwa Darfur

Wapiganaji wa Rapid Support Forces (RSF) wanadai kuchukuwa udhibiti wa maeneo mawili katika jimbo la magharibi mwa Sudan la Darfur Kaskazini.

371e3b261fbb6cfd1efd4efc25ba20324955c2bd85584e50b082d480e9328f6a

24 Desemba, 2025

Waziri wa Ulinzi wa Uturuki awatembelea kuwafariji maafisa wa Libya, familia zao jijini Ankara

Yasar Guler, Mkuu wa Majeshi Bayraktaroglu walitoa salamu zao za rambirambi kwa maafisa wa Libya na familia zao baada ya ajali ya ndege

82b32692b977b4148f25a01a21d022ce1d67882e3be76d2300a02c564cfbaf22

24 Desemba, 2025

Rais wa Uturuki ametoa salamu za rambirambi kwa Waziri Mkuu Libya kufuatia ajali mbaya ya ndege

Recep Tayyip Erdogan ametoa salamu zake za rambirambi kwa Abdul Hamid Dbeibah katika mazungumzo kwa njia ya simu baada ya ajali ya ndege jijini Ankara iliyosababisha kifo cha mkuu wa majeshi ya Libya, mkurugenzi wa mawasiliano wa Uturuki amesema.

ad5058b9f6bcbb9451b996f68df6fcb58ba87faaad7c8b56b6808bcc6d2f39da

24 Desemba, 2025

Haftar wa Libya atoa salamu za rambirambi kufuatia kifo cha mkuu wa jeshi katika ajali ya ndege

Khalifa Haftar ameonyesha “huzuni kubwa” baada ya Mkuu wa Jeshi wa Libya, Mohammed al-Haddad, pamoja na maafisa wanne wakuu wa kijeshi, kufariki dunia katika ajali ya ndege karibu na Ankara.

8192c8f2a6b694e5787f73318a228da15f54ae9761e8daf15a7e7bb7f0e0060a

24 Desemba, 2025

Libya inatangaza siku tatu za maombolezo baada ya Mnadhimu Mkuu wa jeshi kufariki katika ajali

Mnadhimu mkuu wa jeshi nchini Libya Mohammed al-Haddad na maafisa wanne wakuu wamefariki katika ajali kusini mwa Ankara, ofisi za Kituruki zinasema.

64905d507d656bed6a4bf2486240e7bf36315ba24cf0903053a9eab520fa670a
Loading...