Kupasuka tairi na uendeshaji kasi zilisababisha ajali ya gari ya Anthony Joshua

Mamlaka ya usalama wa usafiri nchini Nigeria ilisema Jumanne kwamba uchunguzi wa awali ulionyesha gari lililohusika katika ajali ambayo bingwa wa zamani wa uzito wa juu duniani Anthony Joshua alinusurika lilipasuka tairi kabla ya kuligonga lori
31 Desemba, 2025
Rais wa Somalia awasili Uturuki kwa mazungumzo na Rais Erdogan

Majadiliano hayo yanatarajiwa kuangazia uhusiano baina ya nchi hizo mbili katika sekta mbalimbali na mivutano ya hivi punde iliyosababishwa na Israel kulitambua kwa upande mmoja eneo lililojitenga la Somalia la Somaliland.
30 Desemba, 2025
Marekani inakashifiwa kwa kulinganisha utambuzi wa Israeli wa Somaliland na ule wa Palestina

Marekani inaambia Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa Israel ina haki ya kuanzisha uhusiano wa kidiplomasia “kama nchi nyingine yoyote huru.”
30 Desemba, 2025
Kampuni ya UAE inatafuta fidia ya $28.9b kutokana na mkataba ulioghairiwa wa bauxite nchini Guinea

Axis International Ltd inatafuta dola bilioni 28.9 kutoka Guinea katika mahakama ya Benki ya Dunia baada ya nchi hiyo ya Afrika Magharibi kufutilia mbali kibali chake cha kuendesha mgodi wa bauxite huko mapema mwaka huu
30 Desemba, 2025

Chama cha Serikali cha Côte d’Ivoire chashinda asilimia 77 ya viti katika Bunge

DRC imemsimamisha kazi msemaji wa jeshi kwa matamshi yanayolenga jamii ya Watutsi

Misri yaitisha mkutano wa dharura wa AU kupinga uingiliaji wa Israel katika masuala ya Somalia

Afrika Kusini yalaani hatua ya Israel ya kuitambua Somaliland kama taifa huru

Rais wa Somalia kufanya ziara rasmi nchini Uturuki siku ya Jumanne
29 Desemba, 2025
‘Nchi yoyote haitakiwi kuunga mkono kujitenga’: China yapinga kutambuliwa kwa Somaliland na Israel
China imetoa wito kwa mamlaka za Somaliland kuangalia kuhusu muelekeo na mara moja waache ‘mkwaruzano na watu kutoka nje’.

29 Desemba, 2025
Mvua kubwa kunyesha katika mikoa 20 nchini Tanzania
Mamlaka ya Hali ya Hewa ya Tanzania (TMA) imeonya kuwa mvua kubwa zitanyesha katika mikoa ya 20 ya nchini humo.

29 Desemba, 2025
Burhan wa Sudan anakataa mapatano, kusitisha mapigano hadi waasi waondoke
Abdel Fattah al-Burhan alisema kwamba wale ambao waliitaka serikali kusalimu amri wanapaswa badala yake kuwashauri wapiganaji wa wanamgambo kujisalimisha.

29 Desemba, 2025
Eritrea inaomba kauli ya Baraza la Usalama la UN juu ya kutambuliwa kwa Somaliland na Israel
Eritrea imetaka kutolewa kauli thabiti kutoka kwa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa juu ya kuitambuliwa Somaliland na Israel, ikionya kwamba hatua hiyo inaweza kuchochea hali ya kukosekana kwa utulivu kikanda na kimataifa.

29 Desemba, 2025
Uingereza yabana utoaji viza kwa raia wa DRC kwa kukataa kupokea wahamiaji waliorejeshwa
Uingereza imeweka vizuizi vya viza kwa raia wa DR Congo kutokana na “ushirikiano duni” wa nchi hiyo kuwarudisha wahamiaji haramu, serikali ya Uingereza ilisema.

29 Desemba, 2025
Bunge la Somalia lapinga utambulisho wa Israel wa Somaliland
Bunge la Serikali kuu ya Somalia limepitisha azimio linalodai kwamba utambulisho wowote wa Somaliland na Israel au nchi nyingine yoyote ni kinyume cha sheria, batili, na bila athari ya kisheria chini ya sheria ya kimataifa.

28 Desemba, 2025
Libya inamuomboleza mkuu wa majeshi aliyefariki katika ajali ya ndege
Mamia ya watu Jumapili waliomboleza mkuu wa jeshi la Libya na wengine saba waliouawa katika ajali ya ndege huko Uturuki.

28 Desemba, 2025
Umoja wa Ulaya unahimiza kuheshimiwa kwa mamlaka ya Somalia baada ya Israel kuitambua Somaliland
Umoja wa Ulaya umesisitiza kuwa mamlaka ya Somalia inapaswa kuheshimiwa baada ya Israel kulitambua rasmi eneo lake la kaskazini la Somaliland kuwa taifa huru.

28 Desemba, 2025
Uingereza inasema Angola, Namibia zimekubali kupokea wahamiaji waliofurushwa
Mikataba hiyo inaashiria mabadiliko makubwa ya kwanza chini ya mageuzi yaliyotangazwa mwezi uliopita, ambayo yanalenga kufanya hadhi ya ukimbizi kuwa ya muda.

28 Desemba, 2025
Mzozo wa Sudan: Wanawake, watoto kati ya zaidi ya 200 wauawa katika mauaji mapya ya kikabila Darfur
Madaktari wa Sudan wanasema kuwa walionusurika waliripoti mauaji ya watu wengi Kaskazini na Magharibi mwa Darfur kufuatia mashambulizi ya Wanajeshi wa Rapid Support Forces.



