29 Julai, 2026

Maafisa 5 wa usalama wauawa nchini Kenya wakikabiliana na kundi linalodaiwa kuwa la al Shabaab

Kundi la Al-Shabaab limekuwa likifanya vurugu kwa miaka kadhaa likilenga kuipindua serikali kuu ya Somalia.

eaae5c99 c7d8 4aa4 8344 84420eacff73 1785333044351

29 Julai, 2026

Mjusi wa miaka milioni 210 agundulika nchini Zimbabwe

Ugunduzi huo, umemuibua Mjusi wa Tendaguru, ambayo ni mabaki ya mjusi mkubwa aliyegundulika katika wilaya ya Lindi, Tanzania, ambaye alikuwa na urefu wa mita 43, akidhaniwa kuishi miaka milioni 150 iliyopita.

7ae3f4e4 309c 4b28 b78d bad82ba75916 1785331500642

29 Julai, 2026

Kenya kuchunguza chanzo cha vifo vya tembo 15 ndani ya hifadhi ya Amboseli

Kulingana na kanzi data ya Amboseli Trust for Elephants, eneo la Amboseli lilikuwa na zaidi ya tembo 2,000 elephants, ilipofika mwaka 2025.

fcafb042 4f6a 44c7 a929 4042d0a46ad9 1785323551817

29 Julai, 2026

Katambi: Tanzania ipo salama kuandaa AFCON 2027

Hakikisho hilo linakuja wakati ambapo kuna wasiwasi wa hali ya utulivu wa kisiasa wakati wa mashandano hayo hasa kutokana na msuguano uliopo kati ya serikali na chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania tangu kumalizika kwa Uchaguzi Mkuu, Oktoba 2025.

c9c294a4 869e 4399 af43 88ff97601881 1785319382599

28 Julai, 2026

Uingereza kuanza tena mazoezi ya kijeshi Kenya baada ya kucheleweshwa kwa hofu ya haki za binadamu

Kenya na Uingereza siku ya Jumanne walikubaliana kuanza tena mazoezi katika taifa hilo la Afrika Mashariki baada ya ucheleweshwaji wa kutia saini makubaliano mapya ya ushirikiano wa kijeshi.

cc1b893a 088e 4d5e a28d a2cd48447a85 1785266158422

28 Julai, 2026

Kiongozi wa Sudan Burhan atembelea miji ya kimkakati iliodhibitiwa tena kutoka kwa RSF

Jeshi limechukua udhibiti wa miji ya Bara, Jabrat al-Sheikh na Umm Sayala ambayo iko katika maeneo ya kimkakati yanayounganisha kanda ya Darfur Magharibi.

df6e5e45 0a49 4595 8999 1548f72ff823 1785243678477

28 Julai, 2026

Waholanzi wanne waliopata ajali Ziwa Nyasa wapatikana hai baada ya saa 27

Raia hao, ni kati ya abiria saba waliopotea baada ya dhoruba ya mawimbi iliyokumba boti yao, ikiwa Ziwa Nyasa, na kuja kupatikana hai baada ya saa 27.

84cac717 2d75 46dd 90fd 5f6c11bd384c 1785239937477

28 Julai, 2026

Nigeria yaitaka Afrika Kusini kuchukua hatua zaidi dhidi ya vurugu zinazowalenga wahamiaji

Mamlaka za Nigeria zinasema kuwa polisi wa Afrika Kusini walionekana kutokuwa tayari kuwalinda raia wa kigeni, ingawa serikali ya Afrika Kusina inasema inapinga chuki dhidi ya wageni.

bb626f3c bfc2 4de4 83b4 4e7f816952b0 1785232900928

28 Julai, 2026

Kipindupindu chaua 170 nchini Sudan

Katika taarifa yake ya Jumatatu, Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kuratibu Misaada ya Kibinadamu (OCHA), imesema kuwa inaendelea kuratibu shughuli za misaada katika maeneo yaliyoathirika zaidi nchini humo.

d15beb4a c464 4912 ac8a bf915db555fe 1785229065508

28 Julai, 2026

Chad yatangaza mpango wa kujiondoa ICC, yasema mahakama hiyo inalenga zaidi nchi za Afrika

Chad imekuwa nchi ya hivi karibuni kutangaza mpango wa kujiondoa katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC).

76762fc6 075b 4fdf b936 298cbe34e817 1785223944568
Loading...