Serikali ya Ghana yaunga mkono mapendekezo ya kuongeza muda wa urais

Mapendekezo hayo ni sehemu ya mipango ya marekebisho ya katiba ya Ghana.
31 Julai, 2026
Rais Samia Suluhu Hassan kuzindua Hospitali ya Mwalimu Nyerere nchini Angola

Kiongozi huyo wa Tanzania, anatarajiwa kuzindua hospitali ya rufaa iliyopewa jina la Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, iliyopo jijini Luanda Angola.
31 Julai, 2026
Nigeria yaharibu silaha haramu 2,819 katika kukabiliana na utovu wa usalama

Shirika la kudhibiti silaha nchini Nigeria siku ya Alhamisi lilisema kuwa limeharibu na kuvunja silaha haramu 2,819, katika juhudi za kukabiliana na ukosefu wa usalama.
30 Julai, 2026
Uwanja wa Ndege wa Bishoftu nchini Ethiopia: Kwa nini Marekani inakodolea macho mradi huo?

Marekani inashindana na mataifa mengine yenye uwezo kwa ushawishi wa miundombinu na uwekezaji barani Afrika.
30 Julai, 2026

Kenya: Sumu chanzo cha vifo vya tembo wa Amboseli

Mwanasiasa wa upinzani Uganda Besigye alazwa ICU baada ya kuanguka mahakamani: mke wake

Marekani yasitisha huduma za viza katika miji 25 ya Afrika kuanzia Agosti 1, 2026

Mahakama ya juu ya DRC yaruhusu mchakato ambao utampa nafasi Tshisekedi kugombea muhula wa tatu

Uganda bado iko katika hatari kutokana na mlipuko wa Ebola DRC: WHO
29 Julai, 2026
Maafisa 5 wa usalama wauawa nchini Kenya wakikabiliana na kundi linalodaiwa kuwa la al Shabaab
Kundi la Al-Shabaab limekuwa likifanya vurugu kwa miaka kadhaa likilenga kuipindua serikali kuu ya Somalia.

29 Julai, 2026
Mjusi wa miaka milioni 210 agundulika nchini Zimbabwe
Ugunduzi huo, umemuibua Mjusi wa Tendaguru, ambayo ni mabaki ya mjusi mkubwa aliyegundulika katika wilaya ya Lindi, Tanzania, ambaye alikuwa na urefu wa mita 43, akidhaniwa kuishi miaka milioni 150 iliyopita.

29 Julai, 2026
Kenya kuchunguza chanzo cha vifo vya tembo 15 ndani ya hifadhi ya Amboseli
Kulingana na kanzi data ya Amboseli Trust for Elephants, eneo la Amboseli lilikuwa na zaidi ya tembo 2,000 elephants, ilipofika mwaka 2025.

29 Julai, 2026
Katambi: Tanzania ipo salama kuandaa AFCON 2027
Hakikisho hilo linakuja wakati ambapo kuna wasiwasi wa hali ya utulivu wa kisiasa wakati wa mashandano hayo hasa kutokana na msuguano uliopo kati ya serikali na chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania tangu kumalizika kwa Uchaguzi Mkuu, Oktoba 2025.

28 Julai, 2026
Uingereza kuanza tena mazoezi ya kijeshi Kenya baada ya kucheleweshwa kwa hofu ya haki za binadamu
Kenya na Uingereza siku ya Jumanne walikubaliana kuanza tena mazoezi katika taifa hilo la Afrika Mashariki baada ya ucheleweshwaji wa kutia saini makubaliano mapya ya ushirikiano wa kijeshi.

28 Julai, 2026
Kiongozi wa Sudan Burhan atembelea miji ya kimkakati iliodhibitiwa tena kutoka kwa RSF
Jeshi limechukua udhibiti wa miji ya Bara, Jabrat al-Sheikh na Umm Sayala ambayo iko katika maeneo ya kimkakati yanayounganisha kanda ya Darfur Magharibi.

28 Julai, 2026
Waholanzi wanne waliopata ajali Ziwa Nyasa wapatikana hai baada ya saa 27
Raia hao, ni kati ya abiria saba waliopotea baada ya dhoruba ya mawimbi iliyokumba boti yao, ikiwa Ziwa Nyasa, na kuja kupatikana hai baada ya saa 27.

28 Julai, 2026
Nigeria yaitaka Afrika Kusini kuchukua hatua zaidi dhidi ya vurugu zinazowalenga wahamiaji
Mamlaka za Nigeria zinasema kuwa polisi wa Afrika Kusini walionekana kutokuwa tayari kuwalinda raia wa kigeni, ingawa serikali ya Afrika Kusina inasema inapinga chuki dhidi ya wageni.

28 Julai, 2026
Kipindupindu chaua 170 nchini Sudan
Katika taarifa yake ya Jumatatu, Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kuratibu Misaada ya Kibinadamu (OCHA), imesema kuwa inaendelea kuratibu shughuli za misaada katika maeneo yaliyoathirika zaidi nchini humo.

28 Julai, 2026
Chad yatangaza mpango wa kujiondoa ICC, yasema mahakama hiyo inalenga zaidi nchi za Afrika
Chad imekuwa nchi ya hivi karibuni kutangaza mpango wa kujiondoa katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC).



