6 Mei, 2026

Tanzania: Gharama za mafuta zazidi kupanda

Kulingana na EWURA, mabadiliko ya bei hayo yamechangiwa kwa kiasi kikubwa na vita inayoendelea eneo la Mashariki ya Kati, ikihusisha Marekani, Israel na Iran, pamoja na kufungwa kwa Mlango Bahari wa Hormuz.

54b0fbb1481ce512c18870a891475313fc44f7961fcd3cbdcde2cf2cd4583d5e

6 Mei, 2026

Rais wa Algeria Tebboune kuwasili Uturuki kwa ziara rasmi ya siku tatu

Mkutano wa kwanza wa Baraza la Ushirikiano wa Kimkakati wa Ngazi ya Juu kati ya Uturuki na Algeria utafanyika katika mji mkuu Ankara.

0f235c9a51a9f8f27dc70ffec806b21433951b4b4b16c62268fa8ce2a5c797ab

5 Mei, 2026

Burkina Faso yapiga marufuku NGO zaidi, kufikisha idadi ya mashirika 205

Uongozi wa Burkina Faso umeagiza kufutwa kwa mashirika zaidi yasiyokuwa ya serikali, na kufikisha idadi ya mashirika yaliyopigwa marufuku kuwa 205.

358e57e4ea6bd7445cc3be0f1f459ea2b56704807abe2428afb83d14243da3f8

5 Mei, 2026

Burkina Faso yapiga marufuku kituo cha televisheni cha Ufaransa kwa ‘upotoshaji’

Burkina Faso imepiga marufuku kituo cha televisheni cha Ufaransa TV5 Monde, ikikishtumu kwa kutoa “taarifa za kupotosha” kwa namna wanavyoangazia ugaidi nchini humo na katika nchi jirani ya Mali.

54444dbef1ec228568e1caf9ba584fa75b2d9f924c3e69a7fde6d8c06f41623b

5 Mei, 2026

Shambulio la kigaidi la Boko Haram katika kambi ya jeshi Chad laua watu wasiopungua 24

Shambulio la usiku la wanaoshukiwa kuwa magaidi wa Boko Haram katika kambi ya jeshi Chad limewaua watu wasiopungua 24, afisa mmoja wa jeshi na msimamizi wa kanda walisema siku ya Jumanne.

b4d4196bb7dfcebc49ac69be1b2156a08bd6ead700c87b4a2ac9ccff211fccca

5 Mei, 2026

Ghana kuwa mwenyeji wa kongamano la dunia kuhusu fidia kwa watumwa

Maafisa wanasema mkutano huo wa jijini Accra unalenga kuendeleza mjadala zaidi ya kukiri kuelekea katika kuweka mifumo thabiti ya fidia.

d28b2394693b9e8fc1c468409c5edc1091bb93231a16d94ea2e4439af24d1283

5 Mei, 2026

Shirika la Afya Duniani (WHO) lathibitisha maambukizi ya kirusi cha Hanta

Shirika la WHO lilisema siku ya Jumanne, kuwa linaendelea kufanya mawasiliano na mgonjwa mmojawapo aliyesafiri na meli hiyo Aprili 25, 2026, kati ya Saint Helena na Johannesburg.

a8f790ce2572d302ede70c60692f8469485721bcd34daf08507cbe44d178ffca

5 Mei, 2026

Rais wa Taiwan asema hawatokubali kukandamizwa baada ya ziara yake ya Eswatini

Rais Lai Ching-te awali alipangwa kutembelea Eswatini mwezi Aprili lakini alilazimika kufuta safari hiyo.

97df908909c5c67f5d0fd287da54accfe374fe03cf1673cbe16e54600c634af8

5 Mei, 2026

Zambia yasema matamshi ya balozi wa Marekani anayeondoka ‘si ya kidiplomasia’

Zambia inasema imeshangazwa na matamshi ya Balozi wa Marekani anayeondoka Michael Gonzales, ikiyataja kama yasiyo ya kistaarabu, yasiyo ya kidiplomasia na kinyume na utaratibu wa kuheshimiana.

48f0d878921c81f50587077ad8584a083245f795e46b0351d609d8b54e9588a8

4 Mei, 2026

Jeshi la Sudan linasema limeangusha droni zilizokuwa zimeelekezwa uwanja wa ndege wa Khartoum

Shambulizi la droni lililenga uwanja wa ndege wa mji mkuu wa Sudan siku ya Jumatatu, chanzo cha kijeshi kilisema, siku mbili baada ya mashambulizi ya wapiganaji hao mjini Khartoum kuua watu watano.

757e728386afaa62db9f224d8f74aed0082ab5f8e0d214abfca3e3b0a24e5f9a
Loading...