10 Mei, 2026

Dangote anazingatia Kenya kwa ujenzi wa kiwanda kipya cha kusafisha mafuta

Mtu tajiri zaidi barani Afrika Aliko Dangote anadhamiria kujenga kiwanda cha kusafisha mafuta huko Mombasa nchini Kenya, cha uwezo wa kusafisha mapipa 650,000.

08620dc5bd71b01c3c159758ac65e760d3ba5d8c55e2e1c360f1181f5896edaf

10 Mei, 2026

Macron aanza ziara ya Afrika kwa kituo cha kwanza Misri

Ziara ya Rais Emmanuel Macron inajumuisha Kenya na Ethiopia na inakuja huku kukiwa na chuki kali dhidi ya Ufaransa katika bara hilo.

d45925b3775643ffa266f800428769eb9dddb5ee8b095d4287157f7aec2812de

9 Mei, 2026

WHO inathibitisha maambukizi 6 ya hantavirus yaliyohusishwa na meli ya kitalii ya Uhispania

Meli hiyo inayoendeshwa na Uholanzi iliondoka Cabo Verde Jumatano baada ya kukwama kutokana na mlipuko wa virusi hivyo.

2026 05 08t142515z 1 lynxmpem470wf rtroptp 3 cruiseship hantavirus

9 Mei, 2026

Niger yafungia mashirika 10 ya habari ya Ufaransa

Serikali ya Niger ilishutumu vyombo vya habari vya Ufaransa kwa kutangaza maudhui yenye uwezo wa kuhatarisha ”utulivu wa kitaasisi.”

5a40711afe41d9ec4aa05354e1bf1d95f815ebd0892fc2bdb1a2e3e91ad97ae2

8 Mei, 2026

Serikali ya Mali haitofanya mazungumzo na makundi ya kigaidi

Waziri wa Mambo ya Nje Abdoulaye Diop amewaambia mabalozi kuwa serikali “haina mpango wa majadiliano” na makundi hayo ambayo wanayalaumu kwa mashambulizi ya hivi karibuni.

17f6b6ed44d41b2ae61dae7bc77814040d451916d45e03b126bcec70487724e9

8 Mei, 2026

Umoja wa Mataifa unasema msaada kwa watu wa Somalia huenda ukasitishwa mwezi Juni

Somalia inakabiliwa na matatizo kadhaa, ikiwemo mashambulizi ya kigaidi ya kundi la Al-Shabaab dhidi ya serikali kuu.

c386d1c58f16ecab57168874c58800bdfd68f091e8f5cf52844a838c56557fbd

8 Mei, 2026

Rais wa zamani wa Botswana Festus Mogae afariki dunia akiwa na umri 86

Festus Mogae aliongoza taifa hilo la kusini mwa Afrika kwa mwongo mmoja kuanzia 1998 na anakumbukwa kwa kuimarisha ukuaji wa uchumi na kukabiliana na maambukizi ya UKIMWI.

e111bd10e4c8cb8d2bcbaaeb5975fa351d7186c30795f8e83c437c840c3d5ecb

8 Mei, 2026

Mahakama ya Afrika Kusini ‘yafufua’ kesi ya kumng’oa madarakani Rais Cyril Ramaphosa

Ramaphosa anatuhumiwa kukwepa mamlaka za kodi za nchi hiyo, kuhusika na wizi wa fedha za kigeni ambazo baadaye anadaiwa kuzificha alizificha kwenye ranchi yake iliyopo Kaskazini mwa Jimbo la Limpopo.

734b20d7a9657556de2abd46fb9a2d7322f4ba9bd7620d903a5b29a7bc6160d5

8 Mei, 2026

Uganda yataka Umoja wa Ulaya kuheshimu nchi za Afrika

Hii ni baada ya Bunge la Ulaya kumuita balozi wa Uganda ili ajibu malalamiko yaliyotolewa kuhusu ghasia zilizotokea wakati wa Uchaguzi Mkuu wa Januari 2026.

6d2d9a6d5151b9416f90d9c14697fe4fc7d14d646168b2b766709149ddb9f64e

8 Mei, 2026

Zaidi ya watengeneza maudhui 200 wa Afrika wakutana Ethiopia

Mbali na kujenga mahusiano ya kikazi, mkutano huo unalenga kushirikiana katika kutengeneza maudhui na kuielezea taswira halisi ya bara la Afrika duniani.

a0aff0bb541c2646f0328bd010c2b63672f79a14b87ae5dc16b1801a3b205efe
Loading...