10 Juni, 2026

Watu wasiopungua 12 wauawa katika mashambulizi ya risasi jijini Johannesburg

Polisi wanasema wameanzisha msako wa washukiwa zaidi ya 10 kufuatia mashambulizi hayo katika kitongoji duni cha Jumpers.

94f3b341b9e4cb66fdb1fc6a12b7826b79ad3d8a89e3495945d19efbb2ea70f9

10 Juni, 2026

Refa wa Somalia arudi nyumbani baada ya kukataliwa kuingia Marekani

“Nataka kuishukuru FIFA kwa kuniunga mkono muda wote na watu wa Somalia pia,” Omar Abdulkadir Artan aliwaambia waandishi wa habari katika Uwanja wa Ndege wa Istanbul.

f2435432c4b2d5869e9c95166faa4567c4d126d6b6420bb0a98c2169d5284459

9 Juni, 2026

Trump: Helikopta ya Jeshi la Marekani imedunguliwa na Iran, tutalipiza kisasi

Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema kuwa marubani wako salama baada ya helikopta ya Marekani kudunguliwa na Iran karibu na Mlango-Bahari wa Hormuz.

2026 06 09t063812z 1973947870 rc24qla81cqt rtrmadp 3 usa trump

9 Juni, 2026

Wakazi wa Afrika Kusini KwaZulu-Natal katika tahadhari baada ya simba kutoroka hifadhi ya wanyama

Onyo hilo linakuja wakati mamlaka ya wanyamapori huko Mpumalanga hivi majuzi ilihitimisha operesheni nyingine inayohusisha simba watoro.

c6222d15801f9d2d9ca0b340258d84dbaf04feb8952aee7c10f1a3c0d4c22839

9 Juni, 2026

FIFA yamuondoa mwamuzi kutoka somalia Artan katika Kombe la Dunia baada ya kuzuiwa kuingia Marekani

FIFA imesema haina uwezo wa kushawishi Omar Artan kuruhusiwa kuingia nchini Marekani, na kusema uamuzi huo unabaki kwa Marekani ambayo ni nchi mwenyeji.

5b1a000f0777b85ab3d79a96dc66b8f6c6627bfc8feb21a1dca9557ba30b1e36

9 Juni, 2026

Waandamanaji wanaopinga kujengwa kwa kituo cha Marekani cha Ebola wakamatwa nchini Kenya

Ujenzi wa kituo cha Ebola ulizuiwa kwa muda na Mahakama ya Juu nchini Kenya na pia umekuwa ukipingwa na wanasiasa wa nchi hiyo.

67dd6fca16904dc721459fef10edbe40cb6ca545aae092a832bb698efb9b6a40

9 Juni, 2026

Mwendesha Mashtala wa ICC asimamishwa kazi kwa madai ya dhulma za ngono

Karim Khan atafikishwa kwa kamati ya nidhamu ambayo inawakilishwa na mataifa wanachama 125, kulingana na ICC.

d91d554bbbcc7d09a9783956e7029ce4527a07e38bfb2e02f43db1ad96441c46

8 Juni, 2026

Mahakama Kuu ya Kenya: Mchakato wa kumuondoa Gachagua madarakani ulifuata Sheria

Mahakama Kuu ya Kenya imeidhinisha kuondolewa madarakani kwa Gachagua, pamoja na kuamuru kulipwa fidia ya shilingi milioni 50 za Kenya kwa ukiukwaji wa haki zake.

2025 05 15t122810z 611303276 rc26ieaefafc rtrmadp 3 kenya politics

8 Juni, 2026

Mwamuzi wa kwanza wa Somalia aliyetarajiwa kuchezesha Kombe la Dunia azuiwa kuingia Marekani

Mwamuzi wa Soka Omar Artan alipewa tuzo ya mwamuzi bora zaidi Afrika 2025.

0f98a845f32bc37a7cf39bbb700ef7034e69203f09a9a121120dfe75c47950c0

8 Juni, 2026

Uhamiaji: Afrika Kusini kuhamisha vituo vya wakimbizi hadi maeneo ya mpakani

Rais Cyril Ramaphosa anasema Afrika Kusini haiwezi kukabiliana na changamoto za uhamiaji peke yake, na ametoa wito wa ushirikiano zaidi katika bara zima.

f093a2d5838a059ad77cf0c631e95d2c31d81a760ab6979b018652e1dd095250
Loading...