Mke wa Rais wa Uturuki, Emine Erdoğan, ametoa tahadhari kuhusu ongezeko la uhaba wa maji duniani, akisisitiza kuwa maji ni msingi wa maisha na maendeleo ya jamii.
Katika ujumbe wake wa World Water Day, amewataka wananchi kuwa na uelewa mkubwa kuhusu matumizi sahihi ya maji na kuchukua hatua za kulinda rasilimali hiyo muhimu.
CHANZO: Newstimetr














