Uturuki inalenga kuimarisha uhusiano wake na Umoja wa Afrika wakati bara hilo likiadhimisha siku yake, Juni 25, 2025.
“Mwaka huu, tunaadhimisha miaka 20 ya nafasi ya Uturuki kama muangalizi ndani ya Umoja wa Afrika,” ilisema Wizara hiyo kupitia ukurasa wake wa X.