Uturuki yaadhimisha Siku ya Afrika na nafasi yake ya uangalizi ndani ya umoja huo

Kulingana na Wizara ya Mambo ya Nje, Uturuki ni moja kati ya wadau wa kimkakati wa Umoja wa Afrika.

Newstimehub

Newstimehub

26 Mei, 2025

uturuki

Uturuki inalenga kuimarisha uhusiano wake na Umoja wa Afrika wakati bara hilo likiadhimisha siku yake, Juni 25, 2025.

“Mwaka huu, tunaadhimisha miaka 20 ya nafasi ya Uturuki kama muangalizi ndani ya Umoja wa Afrika,” ilisema Wizara hiyo kupitia ukurasa wake wa X.