Iran inachukulia kila tishio kutoka kwa wapinzani kuwa “halisi na la kuaminika” : Kaimu Waziri

Kaimu Waziri wa Ulinzi wa Iran, Majid Ibn al-Reza, alisema, kuwa Iran itatumia vitishio hivyo kama msingi wa kuongeza utayari wake wa kijeshi
2 Agosti, 2026
Trump asitisha shambulio lililopangwa dhidi ya Iran

Rais wa Marekani anasema Marekani na Israel zitasitisha kwa muda hatua za kijeshi huku mazungumzo yakiendelea.
2 Agosti, 2026
Hamas yakubali kusalimisha silaha nzito katika ‘uamuzi mgumu’ kama sehemu ya makubaliano

Kundi la Wapalestina linaendelea na awamu ya pili ya mpango wa kusitisha mapigano Gaza unaoongozwa na Donald Trump.
1 Agosti, 2026
Gwiji wa soka wa Italia Franco Baresi afariki dunia

Baresi alikuwa sehemu ya kikosi cha Italia, kilichopoteza mchezo wa fainali ya Kombe la Dunia kwa Brazil, mwaka 1994.
31 Julai, 2026

Taifa la Nauru labadilisha jina, sasa kuitwa Naoero

China yakana taarifa za kusafirisha vifaa vya kurusha makombora Iran

Marekani yaanzisha wimbi jipya la mashambulizi dhidi ya Iran

Watu wasiojulikana waharibu kituo cha hija ya Wakatoliki nchini Bosnia

Zelenskyy awasili Marekani, kukutana na Trump
27 Julai, 2026
Iran yazishutumu baadhi ya nchi kwa kushirikiana na Marekani kuishambulia
Iran imezituhumu baadhi ya nchi za kanda kwa kuunga mkono mashambulizi ya Marekani dhidi yake, ikisema kuwa mazungumzo yoyote yatategemea mabadiliko ya mwenendo wa Marekani.

27 Julai, 2026
Iran imesema meli sita vimejaribu kuvuka Mlango Bahari wa Hormuz kinyume na utaratibu
Iran imesema meli hizo zilizima mfumo wamasiliano, huku meli tano zikielekezwa upande wa Ghuba.

26 Julai, 2026
Uganda yamteua Balozi Olara Otunnu kuwania nafasi ya Katibu Mkuu Umoja wa Mataifa
Mpaka sasa, Otunnu atakuwa ni mgombea wa pili kutoka Afrika, baada ya rais wa zamani wa Senegal Macky Sall nae kuingia katika kinyang’anyiro hicho.

24 Julai, 2026
Venezuela yapanga kujiondoa ICC
Licha ya kujiondoa ICC, waendesha mashitaka wa mahakama hiyo, wamesisitiza kuwa, kesi za uhalifu wa kibinadamu zilizofunguliwa mwaka 2021, bado zitaendelea.

24 Julai, 2026
Marekani yatadhaharisha raia wake na uwezekano wa kushambuliwa Iraq
Ubalozi huo umewataka raia wa Marekani waliopo Iraq, kufuatilia vyombo vya habari wakati wote, kujiandaa kwa lolote na kufuata maelekezo kutoka mamlaka za Iraq.

24 Julai, 2026
Iran yakataa pendekezo la usitishaji mapigano la Marekani lililowasilishwa na Iraq: ripoti
Iran imekataa pendekezo la Marekani la usitishaji mapigano lililowasilishwa na Waziri Mkuu wa Iraq, Ali al-Zaidi, ambaye hivi karibuni amekutana na Rais wa Marekani Donald Trump katika Ikulu ya White House, kwa mujibu wa gazeti la The New York Times.

23 Julai, 2026
Raia wa Ghana waiomba ICC ichunguze ghasia za chuki dhidi ya wageni Afrika Kusini
Ombi hilo linaishutumu serikali ya Rais Cyril Ramaphosa kwa kushindwa kuzuia au kuwaadhibu wahusika wa uhalifu huo, ikiwemo uhalifu wa mauaji.

22 Julai, 2026
Trump ataka Infantino awe Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa
Infantino, mwenye umri wa miaka 56, amejenga ukaribu na Rais Trump, hususani wakati wa fainali za michuano ya Kombe la Dunia 2026, zilizoandaliwa kwa pamoja na Marekani, Mexico na Canada.

22 Julai, 2026
Iran yakana madai ya kuwa na mtambo wa Nyuklia
Kauli ya Iran inakuja baada ya Rais Donald Trump wa Marekani, kutishia kushambulia eneo la kati ya nchi hiyo.

22 Julai, 2026
Sanders: Israel haikuwa na haki ya kutekeleza mauaji ya halaiki Gaza
“Serikali ya Netanyahu yenye msimamo mkali Israel haipaswi kupata hata senti moja zaidi kutoka kwa walipa kodi wa Marekani,” anasema Seneta wa Marekani Sanders.



