27 Julai, 2026

Iran yazishutumu baadhi ya nchi kwa kushirikiana na Marekani kuishambulia

Iran imezituhumu baadhi ya nchi za kanda kwa kuunga mkono mashambulizi ya Marekani dhidi yake, ikisema kuwa mazungumzo yoyote yatategemea mabadiliko ya mwenendo wa Marekani.

c91197a7 9c8d 4e28 96e4 e9503b6e5ed6 1785157406364

27 Julai, 2026

Iran imesema meli sita vimejaribu kuvuka Mlango Bahari wa Hormuz kinyume na utaratibu

Iran imesema meli hizo zilizima mfumo wamasiliano, huku meli tano zikielekezwa upande wa Ghuba.

2b0bc5d1 b7fb 4d4a a49c 806468cf2e7a 1785145127865

26 Julai, 2026

Uganda yamteua Balozi Olara Otunnu kuwania nafasi ya Katibu Mkuu Umoja wa Mataifa

Mpaka sasa, Otunnu atakuwa ni mgombea wa pili kutoka Afrika, baada ya rais wa zamani wa Senegal Macky Sall nae kuingia katika kinyang’anyiro hicho.

b7b63b2b 792b 408a b1c8 acaf2d17423a 1785061917682

24 Julai, 2026

Venezuela yapanga kujiondoa ICC

Licha ya kujiondoa ICC, waendesha mashitaka wa mahakama hiyo, wamesisitiza kuwa, kesi za uhalifu wa kibinadamu zilizofunguliwa mwaka 2021, bado zitaendelea.

9a8a9fbf 2b80 4825 a9c8 e4394f30a0c4 1784923733260

24 Julai, 2026

Marekani yatadhaharisha raia wake na uwezekano wa kushambuliwa Iraq

Ubalozi huo umewataka raia wa Marekani waliopo Iraq, kufuatilia vyombo vya habari wakati wote, kujiandaa kwa lolote na kufuata maelekezo kutoka mamlaka za Iraq.

c269b25f 4a0a 4c9a 83aa cf8b7b2d40cb 1784919618468

24 Julai, 2026

Iran yakataa pendekezo la usitishaji mapigano la Marekani lililowasilishwa na Iraq: ripoti

Iran imekataa pendekezo la Marekani la usitishaji mapigano lililowasilishwa na Waziri Mkuu wa Iraq, Ali al-Zaidi, ambaye hivi karibuni amekutana na Rais wa Marekani Donald Trump katika Ikulu ya White House, kwa mujibu wa gazeti la The New York Times.

e2d3d185 d170 433c 91a3 ebcf3f2e7ce1 1784873569938

23 Julai, 2026

Raia wa Ghana waiomba ICC ichunguze ghasia za chuki dhidi ya wageni Afrika Kusini

Ombi hilo linaishutumu serikali ya Rais Cyril Ramaphosa kwa kushindwa kuzuia au kuwaadhibu wahusika wa uhalifu huo, ikiwemo uhalifu wa mauaji.

e2433f18 603f 409e 8de2 0261d4255cb2 1784793869028

22 Julai, 2026

Trump ataka Infantino awe Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa

Infantino, mwenye umri wa miaka 56, amejenga ukaribu na Rais Trump, hususani wakati wa fainali za michuano ya Kombe la Dunia 2026, zilizoandaliwa kwa pamoja na Marekani, Mexico na Canada.

328b7359 678a 4704 8fdc 15a9ce44cd22 1784737116302

22 Julai, 2026

Iran yakana madai ya kuwa na mtambo wa Nyuklia

Kauli ya Iran inakuja baada ya Rais Donald Trump wa Marekani, kutishia kushambulia eneo la kati ya nchi hiyo.

18d0984f 633d 459d ba9b ecf79b4e18f0 1784735069417

22 Julai, 2026

Sanders: Israel haikuwa na haki ya kutekeleza mauaji ya halaiki Gaza

“Serikali ya Netanyahu yenye msimamo mkali Israel haipaswi kupata hata senti moja zaidi kutoka kwa walipa kodi wa Marekani,” anasema Seneta wa Marekani Sanders.

cd2f757a a6f8 459b 8e51 90095f937f32 1784723400599
Loading...